Mafuta us kampuma
Member
- May 1, 2017
- 56
- 43
Nani? Fanani?Kapelekwa sober house madaws yamemzidi
Chemsha bongo ipo ndani ya ALBUM hiiHiyo ni tofauti na chemsha bongo?
Niku pm whatsapp yang. UnrushieHii album ninayo kwa phone sema sijui namna ya ku upload hapa jf
Ni pm tuu mkuuNiku pm whatsapp yang. Unrushie
Napenda ukisema jay kurataribu hii ni yote yako zabibu
Nilivunja sheria za barabara na trafic alichekelea alijua akizuia msafara boss wake atamfokea
Pesa ziliongea hakuna aliyenisogelea na kila aliuenichezea alishia kunyea dege segerea
Asifiwe baba mwana na roho mtakatifu ushikashifuKila baa niliyoingia wapambe walishangalia kwa kuwa walipata hakika ya kula kitimoto na bia,
Kuna mstari naupenda kwenye huu wimbo anasema "fedha ni kama shetani ukiwa nayo huwezi tukuka"