Hali ngumu ya maisha na tunavyoishi Kwa mazoea.

Jack Daniel

JF-Expert Member
Sep 23, 2021
2,839
12,585
Habari jamiiforum.

Bila kupoteza muda leo tujadili hali hii ngumu ya maisha.

Wakuu.maisha mtaani ni magumu,jiji la Dar es salaam ambalo pengine ndiyo kioo cha hata mikoa mingine linajumuisha watu wengi wenye vipato vya chini mno. Ukiangalia Kwa haraka haraka au ukidanganyikq na stori za mitandaoni unaweza sema Tanzania imepiga hatua lakini ukweli ni kwamba bado tupo kwenye umasikini wa kutisha sana.

Kipato cha walio wengi Constant ni laki tatu Kwa mwezi,

Wastani wa shilingi elfu kumi Kwa siku mtu huyu ana mke na watoto tena wakubwa tu halafu kuanzia watatu na kuendelea.swali la kujiuliza Kwa kipato hiki mwanaume anawezaje kutunza familia, majibu yapo hapa.

1.kuruhusu mke ajitegemee (naye atafute pesa)

Wanawake wengi wanauza matunda,uji na biashara ndogondogo kama kuuza mkaa wa kupima mboga mboga n.k

Pia kucheza michezo kama vikoba n.k
Hapa ndipo umalaya wa wazi unapoanzia.

2.Kushindwa kusomesha watoto.na kujikuta wanaanza kujitafutia mapema.

Leo hii kimbilio la vijana wengi wadogo (wakiume) ni kuendesha pikipiki (bodaboda) hii ni kazi ya hatari sana.kwanza inawaletea tamaa kuwaibia wateja wao,au kuwachoresha Kwa majambazi .

Lakini pia kushika pesa katika umri mdogo Mara nyingi wanaharibikiwa na kujikuta wanaanzisha mahusiano mapema pamoja na kuzijua starehe Katika umri mdogo.

(Wakike) hapa sisemi Sana kuna mkoa niliwahi kwenda nikawakuta mabinti wadogo nane wakiwa wanahudumia kwenye baa umri Kati ya miaka 15 hadi 18.nilipomuuliza meneja wa pale kwamba Kwanini ameajiri mabinti wadogo vile akajibu wateja wanataka vitoto vibichi,kuliko wenye umri mkubwa nilishangaa sana.

3.Kupiga dili za hatari,wizi na utapeli.

Mtu mwenye kipato cha chini ni dhahiri hakikidhi mahitaji,kinachofanyika ni kuishi kiujanjaujanja kama kufanya vibiashara bila leseni au vibali,uvuvi haramu,uwindaji haramu na udalali wenye hatari.
Hasara zake ni kufa mapema au kufungwa kutokana na hali ngumu ya maisha kumbe afanyaje.

4.Kupata watoto wasio na maadili.

Wapo vijana ambao wapo tayari kuwa wake za watu Kwa kutaka maisha mazuri (msinibishie ) Kwa masikio yangu mtoto wa kiume nimemsikia yupo tayari kutoa visivyoelezeka ili tu apate maisha mazuri.

Vijijini sehemu nyingi hazina lodge za kueleweka hivyo huwa nalazimika kuegesha (nisiite kulala)popote ili pakuche niendelee na mishe zangu,lakini nimewahi kugongewa mlango na mtoto wa kike mdogo Sana, akaniuliza nataka huduma? Kiukweli nilishangaa,

Siyo kwamba ni mgeni na wanawake wa hivyo,kilichonishangaza ni umri wake,hata nilipomuuliza kwamba wazazi wake wako wapi,na ana umri gani akadai hahitaji maswali ,Bali nimjibu nataka huduma au la.

Nikauliza anataka shilingi ngapi,

Akajibu hivi nanukuu (kijoti) yaani muda mfupi 10000 na kama kulala hadi asubuhi 20000 ,nilisikitika sana nikamwambia anipe namba ya simu halafu tuonane kesho tuongee huku nikitoa noti mbili za elfu kumi nikampa ,

Alishangaa Sana kupewa hela halafu eti huduma ni kesho.

Basi bwana kesho asubuhi Yule mtoto alinipigia na kudai ana shida ,nikamjibu tutaonana baada ya kupunguza kazi.

Jioni binti wa watu alikuja akiwa ananukia vizuri na mavazi ya kumtega zaidi mwanaume japo licha ya kuvaa na kujitahidi kunukia haikuondoa muonekano wa yeye kuwa local.

Tulipiga stori huku kitoto kinakunywa bia si mchezo,kuja kunitajia umri nilichoka kabisa ,tena sana.baada ya hapo nikamwambia asinitafute kwakuwa Mimi Nina mke maeneo Yale nilidanganya.

Huku nikibadili lodge nikawa nakaa mjini zaidi .

Ndugu zangu haya ni machache kati ya mengi sana,kifupi maisha ni magumu mno , wazazi nao Wana watoto wengi kupitiliza na hawana uwezo kuwatunza .

Je nini kifanyike ili kuinusuru hii hali?

Toa maoni yako
 
Habari jamiiforum.

Bila kupoteza muda leo tujadili hali hii ngumu ya maisha.

Wakuu.maisha mtaani ni magumu,jiji la Dar es salaam ambalo pengine ndiyo kioo cha hata mikoa mingine linajumuisha watu wengi wenye vipato vya chini mno. Ukiangalia Kwa haraka haraka au ukidanganyikq na stori za mitandaoni unaweza sema Tanzania imepiga hatua lakini ukweli ni kwamba bado tupo kwenye umasikini wa kutisha sana.

Kipato cha walio wengi Constant ni laki tatu Kwa mwezi,

Wastani wa shilingi elfu kumi Kwa siku mtu huyu ana mke na watoto tena wakubwa tu halafu kuanzia watatu na kuendelea.swali la kujiuliza Kwa kipato hiki mwanaume anawezaje kutunza familia, majibu yapo hapa.

1.kuruhusu mke ajitegemee (naye atafute pesa)

Wanawake wengi wanauza matunda,uji na biashara ndogondogo kama kuuza mkaa wa kupima mboga mboga n.k

Pia kucheza michezo kama vikoba n.k
Hapa ndipo umalaya wa wazi unapoanzia.

2.Kushindwa kusomesha watoto.na kujikuta wanaanza kujitafutia mapema.

Leo hii kimbilio la vijana wengi wadogo (wakiume) ni kuendesha pikipiki (bodaboda) hii ni kazi ya hatari sana.kwanza inawaletea tamaa kuwaibia wateja wao,au kuwachoresha Kwa majambazi .

Lakini pia kushika pesa katika umri mdogo Mara nyingi wanaharibikiwa na kujikuta wanaanzisha mahusiano mapema pamoja na kuzijua starehe Katika umri mdogo.

(Wakike) hapa sisemi Sana kuna mkoa niliwahi kwenda nikawakuta mabinti wadogo nane wakiwa wanahudumia kwenye baa umri Kati ya miaka 15 hadi 18.nilipomuuliza meneja wa pale kwamba Kwanini ameajiri mabinti wadogo vile akajibu wateja wanataka vitoto vibichi,kuliko wenye umri mkubwa nilishangaa sana.

3.Kupiga dili za hatari,wizi na utapeli.

Mtu mwenye kipato cha chini ni dhahiri hakikidhi mahitaji,kinachofanyika ni kuishi kiujanjaujanja kama kufanya vibiashara bila leseni au vibali,uvuvi haramu,uwindaji haramu na udalali wenye hatari.
Hasara zake ni kufa mapema au kufungwa kutokana na hali ngumu ya maisha kumbe afanyaje.

4.Kupata watoto wasio na maadili.

Wapo vijana ambao wapo tayari kuwa wake za watu Kwa kutaka maisha mazuri (msinibishie ) Kwa masikio yangu mtoto wa kiume nimemsikia yupo tayari kutoa visivyoelezeka ili tu apate maisha mazuri.

Vijijini sehemu nyingi hazina lodge za kueleweka hivyo huwa nalazimika kuegesha (nisiite kulala)popote ili pakuche niendelee na mishe zangu,lakini nimewahi kugongewa mlango na mtoto wa kike mdogo Sana, akaniuliza nataka huduma? Kiukweli nilishangaa,

Siyo kwamba ni mgeni na wanawake wa hivyo,kilichonishangaza ni umri wake,hata nilipomuuliza kwamba wazazi wake wako wapi,na ana umri gani akadai hahitaji maswali ,Bali nimjibu nataka huduma au la.

Nikauliza anataka shilingi ngapi,

Akajibu hivi nanukuu (kijoti) yaani muda mfupi 10000 na kama kulala hadi asubuhi 20000 ,nilisikitika sana nikamwambia anipe namba ya simu halafu tuonane kesho tuongee huku nikitoa noti mbili za elfu kumi nikampa ,

Alishangaa Sana kupewa hela halafu eti huduma ni kesho.

Basi bwana kesho asubuhi Yule mtoto alinipigia na kudai ana shida ,nikamjibu tutaonana baada ya kupunguza kazi.

Jioni binti wa watu alikuja akiwa ananukia vizuri na mavazi ya kumtega zaidi mwanaume japo licha ya kuvaa na kujitahidi kunukia haikuondoa muonekano wa yeye kuwa local.

Tulipiga stori huku kitoto kinakunywa bia si mchezo,kuja kunitajia umri nilichoka kabisa ,tena sana.baada ya hapo nikamwambia asinitafute kwakuwa Mimi Nina mke maeneo Yale nilidanganya.

Huku nikibadili lodge nikawa nakaa mjini zaidi .

Ndugu zangu haya ni machache kati ya mengi sana,kifupi maisha ni magumu mno , wazazi nao Wana watoto wengi kupitiliza na hawana uwezo kuwatunza .

Je nini kifanyike ili kuinusuru hii hali?

Toa maoni yako
Kitu cha muhimu kabisa ni kupunguza idadi ya watu kuzaliana sana.

Inatupasa tu focus kwenye quality of life, not quantity of life.

Ni bora uwe na watoto wachache uwawekee mazingira ya maisha mazuri, kuliko kuwa na utitiri wa watoto wanaoishi katika umasikini na kuishia kujiuza kwenye mabaa wakiwa na miaka 15. Inasikitisha sana.

Na katika hilo la kupunguza uzazi, kitu cha kwanza kabisa ni kuongeza elimu rasmi.

Ukiongeza elimu rasmi, hususan kwa wanawake, si tu unawasaidia kuwa na uwezo wa kuelimika na kupata kazi nzuri au kuweza kujiajiri vizuri zaidi, bali pia, kuongeza miaka ya kusoma kunapandisha miaka ambayo wanawake wanaanza kuzaa, badala ya mwanamke kuanza kuzaa akiwa na miaka 18 ataenda kuanza kuzaa akiwa na miaka 28. Kwa sababu wanawake wana miaka fulani tu ya kuzaa, hili kitapunguza idadi ya watoto kwa kila mwanamke.

Zaidi, itafanya wanawake wahusike katika kupanga familia, wawe na maamuzi, wawe na maamuzi ya watu wenye elimu. Sasa hivi wanawake wengi wanazalishwa kwa kupangiwa tu bila ya kuwa na maamuzi, kwa sababu wengi hawana nguvu za kiuchumi.

Matatizo ya uchumi ya nchi kama Tanzania hayawezi kutatuliwa bila mkakati kabambe wa uzazi wa mpango.

Kwa sababu, hata tukifanya kazi sana na kupiga hatua kubwa, kama population yetu inaongezeka kwa asilimia karibu 4 kwa mwaka, maana yake ni kuwa maendeleo yote yatafunikwa na ongezeko la watu, tutakuwa kama hatujafanya kitu.

Sasa hivi tupo watu takriban milioni 65 na tunaona joto hivi. Ikifika mwaka 2050, kwa rate hii ya kuzaana, tutakuwa zaidi ya watu milioni 140.

Kwa uchumi huu tutaumia sana.
 
Kitu cha muhimu kabisa ni kupunguza idadi ya watu kuzaliana sana.

Inatupasa tu focus kwenye quality if life, nit quantity of life.

Ni bira uwe na watoto wacjache uwawekee mazingira ya maisha mazuri, kuliko kuwa na utitiri wa watoto wanaoishi katika umasikini na kuishia kujiuza kwenye mabaa wakiwa na miaka 15. Inasikitisha sana.

Na katika hilo la kupunguza uzazi, kitu cha kwanza kabisa ni kuongeza elimu rasmi.

Ukiongeza elimu rasmi, hususan kwa wanawake, si tu unawasaidia kuwa na uwezo wa kuelimika na kupata kazi nzuri au kuweza kujiajiri vizuri zaidi, baki pia, kuongeza miaka ya kusoma kunapandiaha miaka ambayo wanawake wanaanza kuzaa, badala ya mwanamke kuanza kuzaa akiwa na miaka 18 ataenda kuanza kuzaa akiwa na miaka 28. Kwa sababu wanawake wana miaka fulani tu yavkuzaa, hili kitapunguza idadi ya watoto kwa kila mwanamke.

Zaidi, litafanya wanawake wahusike katika kupanga familia, wawe na maamuzi, wawe na maamuzi ya watu wenye elimu. Sasa hivi wanawake wengi wanazalishwa kwa kupangiwa tu bika ya kuwa na maamuzi, kwa sababu wengi hawana nguvu za kiuchumi.

Matatizo ya uchumi ya nchi kama Tanzania hayawezi kutatuliwa bila mkakati kabambe wa uzazi wa mpango.

Kwa sababu, hata tukifanya kazi sana na kupiga hatua kubwa, kama population yetu inaongezeka kwa asikimia karibu 4 kwa mwaka, maana yake ni kuwa maendeleo yote yatafunikwa na ongezeko la watu, tutakuwa kama hatujafanya kitu.

Sasa hivi tupo watu takriban milioni 65 na tunaona joto hivi. Ikifika mwaka 2050, kwa rate hii ya kuzaana, tutakuwa zaidi ya watu miliini 140.

Kwa uchumi huu tutaumia sana.
Afrika sio rahisi kufuta mentality ya kuzaa watoto wengi au kutozaa kabisa , kila mtu anampost na kumuweza dp mtoto wake akiona kama ndiye tegemezi kwake huko baadae.

Wasiokuwa na watoto wanaishi kwa presha kutokana na kusemwa .
 
Afrika sio rahisi kufuta mentality ya kuzaa watoto wengi au kutozaa kabisa , kila mtu anampost na kumuweza dp mtoto wake akiona kama ndiye tegemezi kwake huko baadae.

Wasiokuwa na watoto wanaishi kwa presha kutokana na kusemwa .
Sio rahisi, sijasema rahisi, lakini mwanzo wa ngoma ni lele. Safari ya maili elfu kumi huanza kwa hatua moja.

Hata huko kwingine walikuwa na tatizo hili.

Iran, nchi ya kiislamu ambayo wengi wangetegemea iwe na influences za kidini za kuwa na famikia kubwa, imeweza kupunguza idadi ya watoto kwa kika mwanamke kwa kiasi kikubwa sana, katika muda mfupi sana.

Iran si Ulaya wala Marekani.

Kama Iran wameweza, na sisi tunaweza.

Hatujaamua tu.

Hiyo elimu ninayoisema itaweza juwakonbia watu kuishi kwa kujitegemea kimawazo zaidi, kutoshawishika kufanya jambo kubwa kama kuzaa, ama kuzaa watoto wengi kwa sababu ya social media post na pressures za familia.

This is exactly why we need more education.

Na hii tumeshaanza polepole, idadi ya university/higher learning institutions graduates inaongezeka. Ila inabidi tuongwze zaidi na zaidi kwa sababu kasi ya kukua population ni kubwa zaidi ya kasi yetu ya kuongeza elimu.
 
Kitu cha muhimu kabisa ni kupunguza idadi ya watu kuzaliana sana.

Inatupasa tu focus kwenye quality of life, not quantity of life.

Ni bira uwe na watoto wacjache uwawekee mazingira ya maisha mazuri, kuliko kuwa na utitiri wa watoto wanaoishi katika umasikini na kuishia kujiuza kwenye mabaa wakiwa na miaka 15. Inasikitisha sana.

Na katika hilo la kupunguza uzazi, kitu cha kwanza kabisa ni kuongeza elimu rasmi.

Ukiongeza elimu rasmi, hususan kwa wanawake, si tu unawasaidia kuwa na uwezo wa kuelimika na kupata kazi nzuri au kuweza kujiajiri vizuri zaidi, baki pia, kuongeza miaka ya kusoma kunapandiaha miaka ambayo wanawake wanaanza kuzaa, badala ya mwanamke kuanza kuzaa akiwa na miaka 18 ataenda kuanza kuzaa akiwa na miaka 28. Kwa sababu wanawake wana miaka fulani tu yavkuzaa, hili kitapunguza idadi ya watoto kwa kila mwanamke.

Zaidi, litafanya wanawake wahusike katika kupanga familia, wawe na maamuzi, wawe na maamuzi ya watu wenye elimu. Sasa hivi wanawake wengi wanazalishwa kwa kupangiwa tu bika ya kuwa na maamuzi, kwa sababu wengi hawana nguvu za kiuchumi.

Matatizo ya uchumi ya nchi kama Tanzania hayawezi kutatuliwa bila mkakati kabambe wa uzazi wa mpango.

Kwa sababu, hata tukifanya kazi sana na kupiga hatua kubwa, kama population yetu inaongezeka kwa asikimia karibu 4 kwa mwaka, maana yake ni kuwa maendeleo yote yatafunikwa na ongezeko la watu, tutakuwa kama hatujafanya kitu.

Sasa hivi tupo watu takriban milioni 65 na tunaona joto hivi. Ikifika mwaka 2050, kwa rate hii ya kuzaana, tutakuwa zaidi ya watu miliini 140.

Kwa uchumi huu tutaumia sana.
Hakika mkuu,umeongea ukweli mtupu
 
Sio rahisi, sijasema rahisi, lakini mwanzo wa ngoma ni lele. Safari ya maili elfu kumi huanza kwa hatua moja.

Hata huko kwingine walikuwa na tatizo hili.

Iran, nchi ya kiislamu ambayo wengi wangetegemea iwe na influences za kidini za kuwa na famikia kubwa, imeweza kupunguza idadi ya watoto kwa kika mwanamke kwa kiasi kikubwa sana, katika muda mfupi sana.

Iran si Ulaya wala Marekani.

Kama Iran wameweza, na sisi tunaweza.

Hatujaamua tu.

Hiyo elimu ninayoisema itaweza juwakonbia watu kuishi kwa kujitegemea kimawazo zaidi, kutoshawishika kufanya jambo kubwa kama kuzaa, ama kuzaa watoto wengi kwa sababu ya social media post na pressures za familia.

This is exactly why we need more education.

Na hii tumeshaanza polepole, idadi ya university/higher learning institutions graduates inaongezeka. Ila inabidi tuongwze zaidi na zaidi kwa sababu kasi ya kukua population ni kubwa zaidi ya kasi yetu ya kuongeza elimu.
Ni kweli walau tunapiga hatua, siku hizi ni kawaida kumkuta kijana wa miaka zaidi ya 30 hana mtoto kwa kigezo kua hajajipata bado.

Walau kuna kujali kuhusu kuleta kiumbe kipya duniani. Tofauti na miaka ya nyuma ni kitu cha ajabu kwa mtu wa umri huo kutokua na mtoto.
 
Ni kweli walau tunapiga hatua, siku hizi ni kawaida kumkuta kijana wa miaka zaidi ya 30 hana mtoto kwa kigezo kua hajajipata bado.

Walau kuna kujali kuhusu kuleta kiumbe kipya duniani. Tofauti na miaka ya nyuma ni kitu cha ajabu kwa mtu wa umri huo kutokua na mtoto.
Suala la kuleta kiumbe kipya duniani ni suala kubwa sana linalotakiwa kifikiriwa kwa umakini mkubwa sana kuanzia kifalsafa mpaka practical matters.

Lakini kwa utamaduni wetu linafanywa kimazoea zaidi, na wengine wengi wanafanya kuzaa kama akiba yao ya uzeeni.
 
We acha tu mkuu
Fikiria mtu anazungusha beseni ya matunda,mzigo thamani yake ni kama 15k, wengine mzigo worth 10k, anapigwa na jua heka heka zote. Alafu unamwangalia ni pisi imetulia tuu. Mabaharia ananunua matunda ya buku siku ya kwanza, ananunua siku ya pili, anachukua namba kwa gia ya mteja. Baada ya hapo njiwa kashaliwa
 
Habari jamiiforum.

Bila kupoteza muda leo tujadili hali hii ngumu ya maisha.

Wakuu.maisha mtaani ni magumu,jiji la Dar es salaam ambalo pengine ndiyo kioo cha hata mikoa mingine linajumuisha watu wengi wenye vipato vya chini mno. Ukiangalia Kwa haraka haraka au ukidanganyikq na stori za mitandaoni unaweza sema Tanzania imepiga hatua lakini ukweli ni kwamba bado tupo kwenye umasikini wa kutisha sana.

Kipato cha walio wengi Constant ni laki tatu Kwa mwezi,

Wastani wa shilingi elfu kumi Kwa siku mtu huyu ana mke na watoto tena wakubwa tu halafu kuanzia watatu na kuendelea.swali la kujiuliza Kwa kipato hiki mwanaume anawezaje kutunza familia, majibu yapo hapa.

1.kuruhusu mke ajitegemee (naye atafute pesa)

Wanawake wengi wanauza matunda,uji na biashara ndogondogo kama kuuza mkaa wa kupima mboga mboga n.k

Pia kucheza michezo kama vikoba n.k
Hapa ndipo umalaya wa wazi unapoanzia.

2.Kushindwa kusomesha watoto.na kujikuta wanaanza kujitafutia mapema.

Leo hii kimbilio la vijana wengi wadogo (wakiume) ni kuendesha pikipiki (bodaboda) hii ni kazi ya hatari sana.kwanza inawaletea tamaa kuwaibia wateja wao,au kuwachoresha Kwa majambazi .

Lakini pia kushika pesa katika umri mdogo Mara nyingi wanaharibikiwa na kujikuta wanaanzisha mahusiano mapema pamoja na kuzijua starehe Katika umri mdogo.

(Wakike) hapa sisemi Sana kuna mkoa niliwahi kwenda nikawakuta mabinti wadogo nane wakiwa wanahudumia kwenye baa umri Kati ya miaka 15 hadi 18.nilipomuuliza meneja wa pale kwamba Kwanini ameajiri mabinti wadogo vile akajibu wateja wanataka vitoto vibichi,kuliko wenye umri mkubwa nilishangaa sana.

3.Kupiga dili za hatari,wizi na utapeli.

Mtu mwenye kipato cha chini ni dhahiri hakikidhi mahitaji,kinachofanyika ni kuishi kiujanjaujanja kama kufanya vibiashara bila leseni au vibali,uvuvi haramu,uwindaji haramu na udalali wenye hatari.
Hasara zake ni kufa mapema au kufungwa kutokana na hali ngumu ya maisha kumbe afanyaje.

4.Kupata watoto wasio na maadili.

Wapo vijana ambao wapo tayari kuwa wake za watu Kwa kutaka maisha mazuri (msinibishie ) Kwa masikio yangu mtoto wa kiume nimemsikia yupo tayari kutoa visivyoelezeka ili tu apate maisha mazuri.

Vijijini sehemu nyingi hazina lodge za kueleweka hivyo huwa nalazimika kuegesha (nisiite kulala)popote ili pakuche niendelee na mishe zangu,lakini nimewahi kugongewa mlango na mtoto wa kike mdogo Sana, akaniuliza nataka huduma? Kiukweli nilishangaa,

Siyo kwamba ni mgeni na wanawake wa hivyo,kilichonishangaza ni umri wake,hata nilipomuuliza kwamba wazazi wake wako wapi,na ana umri gani akadai hahitaji maswali ,Bali nimjibu nataka huduma au la.

Nikauliza anataka shilingi ngapi,

Akajibu hivi nanukuu (kijoti) yaani muda mfupi 10000 na kama kulala hadi asubuhi 20000 ,nilisikitika sana nikamwambia anipe namba ya simu halafu tuonane kesho tuongee huku nikitoa noti mbili za elfu kumi nikampa ,

Alishangaa Sana kupewa hela halafu eti huduma ni kesho.

Basi bwana kesho asubuhi Yule mtoto alinipigia na kudai ana shida ,nikamjibu tutaonana baada ya kupunguza kazi.

Jioni binti wa watu alikuja akiwa ananukia vizuri na mavazi ya kumtega zaidi mwanaume japo licha ya kuvaa na kujitahidi kunukia haikuondoa muonekano wa yeye kuwa local.

Tulipiga stori huku kitoto kinakunywa bia si mchezo,kuja kunitajia umri nilichoka kabisa ,tena sana.baada ya hapo nikamwambia asinitafute kwakuwa Mimi Nina mke maeneo Yale nilidanganya.

Huku nikibadili lodge nikawa nakaa mjini zaidi .

Ndugu zangu haya ni machache kati ya mengi sana,kifupi maisha ni magumu mno , wazazi nao Wana watoto wengi kupitiliza na hawana uwezo kuwatunza .

Je nini kifanyike ili kuinusuru hii hali?

Toa maoni yako
solution ya maisha yetu ipo mikononi mwa serikali yetu ambayo inawapa kikundi cha watu wachache kufaidi keki ya taifa huku tulio wengi tukipambana bila msaada wowote. Kama rasilimali za nchi zikitumika vema kuleta ustawi kwa wananchi hakika hali ya maisha ingebadilika sana.
Pia ni vema sheria itungwe ili kuwabana wazazi wanaotelekeza familia bila kuwapa malezi bora na isimamiwe.
 
Sio rahisi, sijasema rahisi, lakini mwanzo wa ngoma ni lele. Safari ya maili elfu kumi huanza kwa hatua moja.

Hata huko kwingine walikuwa na tatizo hili.

Iran, nchi ya kiislamu ambayo wengi wangetegemea iwe na influences za kidini za kuwa na famikia kubwa, imeweza kupunguza idadi ya watoto kwa kika mwanamke kwa kiasi kikubwa sana, katika muda mfupi sana.

Iran si Ulaya wala Marekani.

Kama Iran wameweza, na sisi tunaweza.

Hatujaamua tu.

Hiyo elimu ninayoisema itaweza juwakonbia watu kuishi kwa kujitegemea kimawazo zaidi, kutoshawishika kufanya jambo kubwa kama kuzaa, ama kuzaa watoto wengi kwa sababu ya social media post na pressures za familia.

This is exactly why we need more education.

Na hii tumeshaanza polepole, idadi ya university/higher learning institutions graduates inaongezeka. Ila inabidi tuongwze zaidi na zaidi kwa sababu kasi ya kukua population ni kubwa zaidi ya kasi yetu ya kuongeza elimu.
Iran wako sahihi hata mimi ni muislamu ila ishu za kuzaana sana nje ya uwezo wa mtu sio sawa , halaffu hata kweny dini kuna umuhimu wa kuoa na kuzaa ila sio lazima .

Kwa sasa maisha ni magumu kweli kama una kundi la watoto kibongo mpaka wafike miaka 20 na kitu huko uashkopa sana , umekonda kwa mawazo bora uwe na watoto wachache.
 
Ni kweli walau tunapiga hatua, siku hizi ni kawaida kumkuta kijana wa miaka zaidi ya 30 hana mtoto kwa kigezo kua hajajipata bado.

Walau kuna kujali kuhusu kuleta kiumbe kipya duniani. Tofauti na miaka ya nyuma ni kitu cha ajabu kwa mtu wa umri huo kutokua na mtoto.
Binadamu wanazaa kutokana na asili ya ubinafsi , kama kweli ingekuwa maisha ya duniani ni matamu wasingezaa mtoto hata mmoja ; kungekuwa hamna uzee wala magonjwa, umaskini . Kwa sasa wanachofanya wanataka watoto waje kuwa tegemezi baadaye huko huu ndio ubinafis kiwango cha juu .
 
Suala la kuleta kiumbe kipya duniani ni suala kubwa sana linalotakiwa kifikiriwa kwa umakini mkubwa sana kuanzia kifalsafa mpaka practical matters.

Lakini kwa utamaduni wetu linafanywa kimazoea zaidi, na wengine wengi wanafanya kuzaa kama akiba yao ya uzeeni.
Bongo watu wanazaa simple sana , mtu akiwa na kitanda cha mbao ya mwembe basi na vikochi anataka kuzaa eti anapanga kuanzisha familia ...Mwisho wa siku mtu miaka 30 kachoka kinoma; watoto wana afya duni , elimu duni , makazi duni ,mavazi ya hovyo haswa mitumba , hawapati fursa za kielimu nje ya shule za serikali .
 
Habari jamiiforum.

Bila kupoteza muda leo tujadili hali hii ngumu ya maisha.

Wakuu.maisha mtaani ni magumu,jiji la Dar es salaam ambalo pengine ndiyo kioo cha hata mikoa mingine linajumuisha watu wengi wenye vipato vya chini mno. Ukiangalia Kwa haraka haraka au ukidanganyikq na stori za mitandaoni unaweza sema Tanzania imepiga hatua lakini ukweli ni kwamba bado tupo kwenye umasikini wa kutisha sana.

Kipato cha walio wengi Constant ni laki tatu Kwa mwezi,

Wastani wa shilingi elfu kumi Kwa siku mtu huyu ana mke na watoto tena wakubwa tu halafu kuanzia watatu na kuendelea.swali la kujiuliza Kwa kipato hiki mwanaume anawezaje kutunza familia, majibu yapo hapa.

1.kuruhusu mke ajitegemee (naye atafute pesa)

Wanawake wengi wanauza matunda,uji na biashara ndogondogo kama kuuza mkaa wa kupima mboga mboga n.k

Pia kucheza michezo kama vikoba n.k
Hapa ndipo umalaya wa wazi unapoanzia.

2.Kushindwa kusomesha watoto.na kujikuta wanaanza kujitafutia mapema.

Leo hii kimbilio la vijana wengi wadogo (wakiume) ni kuendesha pikipiki (bodaboda) hii ni kazi ya hatari sana.kwanza inawaletea tamaa kuwaibia wateja wao,au kuwachoresha Kwa majambazi .

Lakini pia kushika pesa katika umri mdogo Mara nyingi wanaharibikiwa na kujikuta wanaanzisha mahusiano mapema pamoja na kuzijua starehe Katika umri mdogo.

(Wakike) hapa sisemi Sana kuna mkoa niliwahi kwenda nikawakuta mabinti wadogo nane wakiwa wanahudumia kwenye baa umri Kati ya miaka 15 hadi 18.nilipomuuliza meneja wa pale kwamba Kwanini ameajiri mabinti wadogo vile akajibu wateja wanataka vitoto vibichi,kuliko wenye umri mkubwa nilishangaa sana.

3.Kupiga dili za hatari,wizi na utapeli.

Mtu mwenye kipato cha chini ni dhahiri hakikidhi mahitaji,kinachofanyika ni kuishi kiujanjaujanja kama kufanya vibiashara bila leseni au vibali,uvuvi haramu,uwindaji haramu na udalali wenye hatari.
Hasara zake ni kufa mapema au kufungwa kutokana na hali ngumu ya maisha kumbe afanyaje.

4.Kupata watoto wasio na maadili.

Wapo vijana ambao wapo tayari kuwa wake za watu Kwa kutaka maisha mazuri (msinibishie ) Kwa masikio yangu mtoto wa kiume nimemsikia yupo tayari kutoa visivyoelezeka ili tu apate maisha mazuri.

Vijijini sehemu nyingi hazina lodge za kueleweka hivyo huwa nalazimika kuegesha (nisiite kulala)popote ili pakuche niendelee na mishe zangu,lakini nimewahi kugongewa mlango na mtoto wa kike mdogo Sana, akaniuliza nataka huduma? Kiukweli nilishangaa,

Siyo kwamba ni mgeni na wanawake wa hivyo,kilichonishangaza ni umri wake,hata nilipomuuliza kwamba wazazi wake wako wapi,na ana umri gani akadai hahitaji maswali ,Bali nimjibu nataka huduma au la.

Nikauliza anataka shilingi ngapi,

Akajibu hivi nanukuu (kijoti) yaani muda mfupi 10000 na kama kulala hadi asubuhi 20000 ,nilisikitika sana nikamwambia anipe namba ya simu halafu tuonane kesho tuongee huku nikitoa noti mbili za elfu kumi nikampa ,

Alishangaa Sana kupewa hela halafu eti huduma ni kesho.

Basi bwana kesho asubuhi Yule mtoto alinipigia na kudai ana shida ,nikamjibu tutaonana baada ya kupunguza kazi.

Jioni binti wa watu alikuja akiwa ananukia vizuri na mavazi ya kumtega zaidi mwanaume japo licha ya kuvaa na kujitahidi kunukia haikuondoa muonekano wa yeye kuwa local.

Tulipiga stori huku kitoto kinakunywa bia si mchezo,kuja kunitajia umri nilichoka kabisa ,tena sana.baada ya hapo nikamwambia asinitafute kwakuwa Mimi Nina mke maeneo Yale nilidanganya.

Huku nikibadili lodge nikawa nakaa mjini zaidi .

Ndugu zangu haya ni machache kati ya mengi sana,kifupi maisha ni magumu mno , wazazi nao Wana watoto wengi kupitiliza na hawana uwezo kuwatunza .

Je nini kifanyike ili kuinusuru hii hali?

Toa maoni yako
Africa haina shida na population toka tu Hapo Kibaha ukutane na mapori tele.
Africa Ina tatizo la watu wake kutoona fursa zimejaa kuliko idadi ya watu.
Tujikite kuwapa watu maarifa na sio vyeti ulimwengu wa sasa hivi elimu ipo kwenye mitandao ukiwa na smart tosha uhitaji kupoteza mda darasani kukariri.
 
Binadamu wanazaa kutokana na asili ya ubinafsi , kama kweli ingekuwa maisha ya duniani ni matamu wasingezaa mtoto hata mmoja ; kungekuwa hamna uzee wala magonjwa, umaskini . Kwa sasa wanachofanya wanataka watoto waje kuwa tegemezi baadaye huko huu ndio ubinafis kiwango cha juu
Ukielimika huwezi kuwa na watoto kwa kutegemea kama asset
 
Back
Top Bottom