Kuelekea 2025 Hakuna Uadui wala Urafiki wa Kudumu kwenye Siasa Lissu karibu CCM ulitumikie Taifa kwa maono uliyonayo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jul 31, 2024
64
71
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
 
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
Atakuja na wengi naona
 
Lissu kama Lissu anataka platform, ili aendelee kusikika kwa kishindo kama Mwenyekiti wa TLS,au mbunge,Au ndani ya serikali kama waziri, au Attorney General, Waziri Mkuu hata Raisi.

Hana ushawishi wa kuanzisha kitu kipya kika stawi na kuzaa matunda in short period ndio manake ataendelea kumlamba miguu Mheshimiwa Mbowe hata kama hakubaliane nae.

Kwa mwendo wa siasa za Tanzania yuko karibu kufikia crossroad. Kwani Gen Z hawajui Nyerere sembuse Lissu.Muda unasonga haraka sana.
Tulieni Macomred mmedanganywa kwa hila....
 
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
Itakuwa ni ujinga kiwango cha kinyesi,Lissu labda siyo Msigwa wala Manara,Kaborou alichokipata ni kutumika kama karai.
 
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
Hakuna rushwa? Pikipiki 700 zilianzia kugawiwa jimboni kwake mpaka akaongea kinyaturu.
 
Lissu kama Lissu anataka platform, ili aendelee kusikika kwa kishindo kama Mwenyekiti wa TLS,au mbunge,Au ndani ya serikali kama waziri, au Attorney General, Waziri Mkuu hata Raisi.

Hana ushawishi wa kuanzisha kitu kipya kika stawi na kuzaa matunda in short period ndio manake ataendelea kumlamba miguu Mheshimiwa Mbowe hata kama hakubaliane nae.

Kwa mwendo wa siasa za Tanzania yuko karibu kufikia crossroad. Kwani Gen Z hawajui Nyerere sembuse Lissu.Muda unasonga haraka sana.
Tulieni Macomred mmedanganywa kwa hila....
Upo sahihi Kama Bangladeshi Hakuna superstar Bali collective effort ya vijana wadogo wa kawaida .
 
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
Kwa namna navyooiona ccm hii kuelekea 2025 nao hawako salama
Kwa hiyo usifurahie dogo

Haya niambie makonda mtoto wenu pendwa Yuko wapi

Tuandike katiba mpya muda ni sasa
Kabla nchi haijavunjika vipande vipande

Wabongo wengi ni masikini hawana Cha kupoteza nchi ikovunjika
Wafanyabiashara na wawekezaji watatumia

Mwambie mama yenu alete katiba
Mpya mapema.! Hako kabandari na dp world yake katabaki redundunt muda si mrefu
 
Kwa namna navyooiona ccm hii kuelekea 2025 nao hawako salama
Kwa hiyo usifurahie dogo

Haya niambie makonda mtoto wenu pendwa Yuko wapi

Tuandike katiba mpya muda ni sasa
Kabla nchi haijavunjika vipande vipande

Wabongo wengi ni masikini hawana Cha kupoteza nchi ikovunjika
Wafanyabiashara na wawekezaji watatumia

Mwambie mama yenu alete katiba
Mpya mapema.! Hako kabandari na dp world yake katabaki redundunt muda si mrefu
CCM ni imara kuliko unavyotegemea
 
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
Leo sio msaliti tena?
 
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
Naam
 
Back
Top Bottom