Hakuna kitu kinaitwa kupoteza fedha, ukitumia kwa namna yoyote ile hiyo fedha haijapotea .

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
15,434
45,109
Waswahili wakitumia fedha na baadaye kujiona wahitaji wanahesabu yale matumizi ni bure ni kama wamepoteza fedha.
Iwe ulihonga, ulinunua pombe na kitimoto, ulinunua midoli, gari, nyumba, ulifungua duka likafail hiyo pesa hujapoteza bali ulitumia ila hali ya umaskini ndio inakufanya uhesabu umepoteza.
Wewe ulipata millioni moja ukanywea pombe na vibinti hujapoteza pesa, bali ulitumia matumizi sahihi kwa wakati ule. Ulinunua nyumba ambayo haina faida hujapoteza pesa bali ulitumia matumizi sahihi kwa wakati ule ingawa kwasasa unaona umepoteza.
Tuache kuwasema vijana waliokuwa kwenye line ya pesa kisha baadaye kuwekwa kando kuwa walipoteza na kutapanya pesa. Walitumia matumizi sahihi kwa wakati ule.
Kila mmoja atumie pesa kwa kadri akili yake inavyomtuma, pesa ni number zenye thamani , tutapata tena thamani na fedha zitakuja tena.
 
Upo sahihi,ila ukweli tuseme tu
Umeenda sehemu ya starehe lengo utumie laki tu ,shida inaanzia pale unqpotumia laki tano,bro hata kama hukushikiwa kisu hesabu umrpoteza .
 
Cha msingi ni kushukuru Pesa imeisha salama... Maana hakuna mtihani kupata pesa ukubwani halafu hujaizoea huwa inakosesha amani na kuleta kimuhe muhe wengine hupoteza maisha...
 
Cha msingi ni kutafuta pesa
Waswahili wakitumia fedha na baadaye kujiona wahitaji wanahesabu yale matumizi ni bure ni kama wamepoteza fedha.
Iwe ulihonga, ulinunua pombe na kitimoto, ulinunua midoli, gari, nyumba, ulifungua duka likafail hiyo pesa hujapoteza bali ulitumia ila hali ya umaskini ndio inakufanya uhesabu umepoteza.
Wewe ulipata millioni moja ukanywea pombe na vibinti hujapoteza pesa, bali ulitumia matumizi sahihi kwa wakati ule. Ulinunua nyumba ambayo haina faida hujapoteza pesa bali ulitumia matumizi sahihi kwa wakati ule ingawa kwasasa unaona umepoteza.
Tuache kuwasema vijana waliokuwa kwenye line ya pesa kisha baadaye kuwekwa kando kuwa walipoteza na kutapanya pesa. Walitumia matumizi sahihi kwa wakati ule.
Kila mmoja atumie pesa kwa kadri akili yake inavyomtuma, pesa ni number zenye thamani , tutapata tena thamani na fedha zitakuja tena.
 
Back
Top Bottom