Hakuna chama cha siasa makini cha upinzani nchini kinaweza kuthubu kukubali wito kuungana na chama tapeli na kibaka wa demokrasia

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
24,458
25,271
Yaani anataka vyama vya upinzani kuungana ili kuomba pesa nyingi zaid kwa wananchi wanaoitwa maskini?
Yaani vyama vya siasa vya upinzani viache malengo yao wafuate ulaghai wa huyo mpiga makelele mwenye chuki na uhasama na viongozi na baadhi ya wanachama wa chama chake mwenyewe, inawezekana kweli? Kwanza itakuaje kama sio unafiki wa kiwango cha juu sana, kwa kiongozi kua na chuki na viongozi wa ndani chama chake halafu akawa na upendo na vyama vingine?

Au anataka kuwarubuni vyama vya upinzani waungane nae ili baadae apate kisingizio cha kushindwa uchaguzi vibaya na kisha awaache kwenye mataa?

Ama anataka kuwaingiza mkenge vyama vya upinzani ili hatimae vivurugike, vipoteze misingi na malengo yao na kusambaratika kama ilivyo kua wakati wa UKAWA, ili kukinufaisha chama chake tu?

Kulikoni leo atoe wito wa kuungana na vyama vingine vya upinzani hali ya kua siku zote huonyesha chuki navyo kwa kuvituhumu kufadhiliwa na CCM na vingine akiviita ni ccmB? Kaitoa wapi imani ya ghafla kiasi hiki kwa wapinza wa vyama vingine kuungana nae kama sio ulaghai, utapeli wa kisiasa, kupoteza dira na uelekeo?

Kama mdau wa siasa nchini,
nashauri na kutoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini, hususan vya upinzani, kupuuza wito wa kibaraka na kibaka huyo wa siasa za Tanzania na kutothubutu kabisa kuungana na laghai huyo wa siasa kwa namna yoyote ile, kwasababu huyo ndie alikua chanzo cha kusamabaratika UKAWA na kudumaza vyama vingine, lakini pia aliwarubuni ACT wazalendo 2015 wakamuunga mkono na athari kurubuniwa huko mpaka leo bado kunawatesa ACT. Waliachwa kwenye mataa licha ya kumtosa mgonbea urais wao hayati Bernad Membe, hawakuamini kilichowatokea baada ya uchaguzi.

Wapinzani ina faa kujiepusha na kuogopa utapeli wa kuunganishwa na mpiga dili ombaomba pesa asieaminika, ili kunusuru misingi ya vyama vyao na fedhea za kutoswa na kuachwa kwenye mataa mbeleni.

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana makazi ya kudumu ughaibuni. :NoGodNo:

Mungu ibariki Tanzania
 
Yaani anataka vyama vya upinzani kuungana ili kuomba pesa nyingi zaid kwa wananchi wanaoitwa maskini?
Yaani vyama vya siasa vya upinzani viache malengo yao wafuate ulaghai wa huyo mpiga makelele mwenye chuki na uhasama na viongozi na baadhi ya wanachama wa chama chake mwenyewe, inawezekana kweli? Kwanza itakuaje kama sio unafiki wa kiwango cha juu sana, kwa kiongozi kua na chuki na viongozi wa ndani chama chake halafu akawa na upendo na vyama vingine?

Au anataka kuwarubuni vyama vya upinzani waungane nae ili baadae apate kisingizio cha kushindwa uchaguzi vibaya na kisha awaache kwenye mataa?

Ama anataka kuwaingiza mkenge vyama vya upinzani ili hatimae vivurugike, vipoteze misingi na malengo yao na kusambaratika kama ilivyo kua wakati wa UKAWA, ili kukinufaisha chama chake tu?

Kulikoni leo atoe wito wa kuungana na vyama vingine vya upinzani hali ya kua siku zote huonyesha chuki navyo kwa kuvituhumu kufadhiliwa na CCM na vingine akiviita ni ccmB? Kaitoa wapi imani ya ghafla kiasi hiki kwa wapinza wa vyama vingine kuungana nae kama sio ulaghai, utapeli wa kisiasa, kupoteza dira na uelekeo?

Kama mdau wa siasa nchini,
nashauri na kutoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini, hususan vya upinzani, kupuuza wito wa kibaraka na kibaka huyo wa siasa za Tanzania na kutothubutu kabisa kuungana na laghai huyo wa siasa kwa namna yoyote ile, kwasababu huyo ndie alikua chanzo cha kusamabaratika UKAWA na kudumaza vyama vingine, lakini pia aliwarubuni ACT wazalendo 2015 wakamuunga mkono na athari kurubuniwa huko mpaka leo bado kunawatesa ACT. Waliachwa kwenye mataa licha ya kumtosa mgonbea urais wao hayati Bernad Membe, hawakuamini kilichowatokea baada ya uchaguzi.

Wapinzani ina faa kujiepusha na kuogopa utapeli wa kuunganishwa na mpiga dili ombaomba pesa asieaminika, ili kunusuru misingi ya vyama vyao na fedhea za kutoswa na kuachwa kwenye mataa mbeleni.

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana makazi ya kudumu ughaibuni. :NoGodNo:

Mungu ibariki Tanzania
Chama chenu kina mbinu za M23.Samia mitano tena.
 
Yaani anataka vyama vya upinzani kuungana ili kuomba pesa nyingi zaid kwa wananchi wanaoitwa maskini?
Yaani vyama vya siasa vya upinzani viache malengo yao wafuate ulaghai wa huyo mpiga makelele mwenye chuki na uhasama na viongozi na baadhi ya wanachama wa chama chake mwenyewe, inawezekana kweli? Kwanza itakuaje kama sio unafiki wa kiwango cha juu sana, kwa kiongozi kua na chuki na viongozi wa ndani chama chake halafu akawa na upendo na vyama vingine?

Au anataka kuwarubuni vyama vya upinzani waungane nae ili baadae apate kisingizio cha kushindwa uchaguzi vibaya na kisha awaache kwenye mataa?

Ama anataka kuwaingiza mkenge vyama vya upinzani ili hatimae vivurugike, vipoteze misingi na malengo yao na kusambaratika kama ilivyo kua wakati wa UKAWA, ili kukinufaisha chama chake tu?

Kulikoni leo atoe wito wa kuungana na vyama vingine vya upinzani hali ya kua siku zote huonyesha chuki navyo kwa kuvituhumu kufadhiliwa na CCM na vingine akiviita ni ccmB? Kaitoa wapi imani ya ghafla kiasi hiki kwa wapinza wa vyama vingine kuungana nae kama sio ulaghai, utapeli wa kisiasa, kupoteza dira na uelekeo?

Kama mdau wa siasa nchini,
nashauri na kutoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini, hususan vya upinzani, kupuuza wito wa kibaraka na kibaka huyo wa siasa za Tanzania na kutothubutu kabisa kuungana na laghai huyo wa siasa kwa namna yoyote ile, kwasababu huyo ndie alikua chanzo cha kusamabaratika UKAWA na kudumaza vyama vingine, lakini pia aliwarubuni ACT wazalendo 2015 wakamuunga mkono na athari kurubuniwa huko mpaka leo bado kunawatesa ACT. Waliachwa kwenye mataa licha ya kumtosa mgonbea urais wao hayati Bernad Membe, hawakuamini kilichowatokea baada ya uchaguzi.

Wapinzani ina faa kujiepusha na kuogopa utapeli wa kuunganishwa na mpiga dili ombaomba pesa asieaminika, ili kunusuru misingi ya vyama vyao na fedhea za kutoswa na kuachwa kwenye mataa mbeleni.

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana makazi ya kudumu ughaibuni. :NoGodNo:

Mungu ibariki Tanzania
Ushauri au ni lawama?
 
Chama chenu kina mbinu za M23.Samia mitano tena.
hakipo chama cha siasa cha upinzani nchini,

kitathubutu kuacha mipango na malengo yake kuungana na kibaka wa kisiasa na tapeli wa siasa za Tanzania chadema :BASED:
 
Ushauri au ni lawama?
ni muhimu vyama vya upinzani,
vikajiepusha kuungana na chadema, chama kinachoongozwa na tapeli na ombaomba pesa za kujikimu huku akijifanya ati ni kwaajili ya kufanya siasa,

utapeli ni kitu mbaya sana gentleman:NoGodNo:
 
ni muhimu vyama vya upinzani,
vikajiepusha kuungana na chadema, chama kinachoongozwa na tapeli na ombaomba pesa za kujikimu huku akijifanya ati ni kwaajili ya kufanya siasa,

utapeli ni kitu mbaya sana gentleman:NoGodNo:
Ni ushauri au lawama?
 
hakipo chama cha siasa cha upinzani nchini,

kitathubutu kuacha mipango na malengo yake kuungana na kibaka wa kisiasa na tapeli wa siasa za Tanzania chadema :BASED:
Umeandika kwa uchungu mno, unahofia kula yako itatetereka endapo CCM itang'olewa.
 
Yaani anataka vyama vya upinzani kuungana ili kuomba pesa nyingi zaid kwa wananchi wanaoitwa maskini?
Yaani vyama vya siasa vya upinzani viache malengo yao wafuate ulaghai wa huyo mpiga makelele mwenye chuki na uhasama na viongozi na baadhi ya wanachama wa chama chake mwenyewe, inawezekana kweli? Kwanza itakuaje kama sio unafiki wa kiwango cha juu sana, kwa kiongozi kua na chuki na viongozi wa ndani chama chake halafu akawa na upendo na vyama vingine?

Au anataka kuwarubuni vyama vya upinzani waungane nae ili baadae apate kisingizio cha kushindwa uchaguzi vibaya na kisha awaache kwenye mataa?

Ama anataka kuwaingiza mkenge vyama vya upinzani ili hatimae vivurugike, vipoteze misingi na malengo yao na kusambaratika kama ilivyo kua wakati wa UKAWA, ili kukinufaisha chama chake tu?

Kulikoni leo atoe wito wa kuungana na vyama vingine vya upinzani hali ya kua siku zote huonyesha chuki navyo kwa kuvituhumu kufadhiliwa na CCM na vingine akiviita ni ccmB? Kaitoa wapi imani ya ghafla kiasi hiki kwa wapinza wa vyama vingine kuungana nae kama sio ulaghai, utapeli wa kisiasa, kupoteza dira na uelekeo?

Kama mdau wa siasa nchini,
nashauri na kutoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini, hususan vya upinzani, kupuuza wito wa kibaraka na kibaka huyo wa siasa za Tanzania na kutothubutu kabisa kuungana na laghai huyo wa siasa kwa namna yoyote ile, kwasababu huyo ndie alikua chanzo cha kusamabaratika UKAWA na kudumaza vyama vingine, lakini pia aliwarubuni ACT wazalendo 2015 wakamuunga mkono na athari kurubuniwa huko mpaka leo bado kunawatesa ACT. Waliachwa kwenye mataa licha ya kumtosa mgonbea urais wao hayati Bernad Membe, hawakuamini kilichowatokea baada ya uchaguzi.

Wapinzani ina faa kujiepusha na kuogopa utapeli wa kuunganishwa na mpiga dili ombaomba pesa asieaminika, ili kunusuru misingi ya vyama vyao na fedhea za kutoswa na kuachwa kwenye mataa mbeleni.

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana makazi ya kudumu ughaibuni. :NoGodNo:

Mungu ibariki Tanzania
Hongera kwa makala ndefu, unastahili nafasi aliyopo Wassira
 
😂
Yaani anataka vyama vya upinzani kuungana ili kuomba pesa nyingi zaid kwa wananchi wanaoitwa maskini?
Yaani vyama vya siasa vya upinzani viache malengo yao wafuate ulaghai wa huyo mpiga makelele mwenye chuki na uhasama na viongozi na baadhi ya wanachama wa chama chake mwenyewe, inawezekana kweli? Kwanza itakuaje kama sio unafiki wa kiwango cha juu sana, kwa kiongozi kua na chuki na viongozi wa ndani chama chake halafu akawa na upendo na vyama vingine?

Au anataka kuwarubuni vyama vya upinzani waungane nae ili baadae apate kisingizio cha kushindwa uchaguzi vibaya na kisha awaache kwenye mataa?

Ama anataka kuwaingiza mkenge vyama vya upinzani ili hatimae vivurugike, vipoteze misingi na malengo yao na kusambaratika kama ilivyo kua wakati wa UKAWA, ili kukinufaisha chama chake tu?

Kulikoni leo atoe wito wa kuungana na vyama vingine vya upinzani hali ya kua siku zote huonyesha chuki navyo kwa kuvituhumu kufadhiliwa na CCM na vingine akiviita ni ccmB? Kaitoa wapi imani ya ghafla kiasi hiki kwa wapinza wa vyama vingine kuungana nae kama sio ulaghai, utapeli wa kisiasa, kupoteza dira na uelekeo?

Kama mdau wa siasa nchini,
nashauri na kutoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini, hususan vya upinzani, kupuuza wito wa kibaraka na kibaka huyo wa siasa za Tanzania na kutothubutu kabisa kuungana na laghai huyo wa siasa kwa namna yoyote ile, kwasababu huyo ndie alikua chanzo cha kusamabaratika UKAWA na kudumaza vyama vingine, lakini pia aliwarubuni ACT wazalendo 2015 wakamuunga mkono na athari kurubuniwa huko mpaka leo bado kunawatesa ACT. Waliachwa kwenye mataa licha ya kumtosa mgonbea urais wao hayati Bernad Membe, hawakuamini kilichowatokea baada ya uchaguzi.

Wapinzani ina faa kujiepusha na kuogopa utapeli wa kuunganishwa na mpiga dili ombaomba pesa asieaminika, ili kunusuru misingi ya vyama vyao na fedhea za kutoswa na kuachwa kwenye mataa mbeleni.

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana makazi ya kudumu ughaibuni. :NoGodNo:

Mungu ibariki Tanzania
Lissu kamshika mama yenu pabaya. Mwaka huu ccm mtajamba cheche
 
Samia mi 5 tena
Yaani anataka vyama vya upinzani kuungana ili kuomba pesa nyingi zaid kwa wananchi wanaoitwa maskini?
Yaani vyama vya siasa vya upinzani viache malengo yao wafuate ulaghai wa huyo mpiga makelele mwenye chuki na uhasama na viongozi na baadhi ya wanachama wa chama chake mwenyewe, inawezekana kweli? Kwanza itakuaje kama sio unafiki wa kiwango cha juu sana, kwa kiongozi kua na chuki na viongozi wa ndani chama chake halafu akawa na upendo na vyama vingine?

Au anataka kuwarubuni vyama vya upinzani waungane nae ili baadae apate kisingizio cha kushindwa uchaguzi vibaya na kisha awaache kwenye mataa?

Ama anataka kuwaingiza mkenge vyama vya upinzani ili hatimae vivurugike, vipoteze misingi na malengo yao na kusambaratika kama ilivyo kua wakati wa UKAWA, ili kukinufaisha chama chake tu?

Kulikoni leo atoe wito wa kuungana na vyama vingine vya upinzani hali ya kua siku zote huonyesha chuki navyo kwa kuvituhumu kufadhiliwa na CCM na vingine akiviita ni ccmB? Kaitoa wapi imani ya ghafla kiasi hiki kwa wapinza wa vyama vingine kuungana nae kama sio ulaghai, utapeli wa kisiasa, kupoteza dira na uelekeo?

Kama mdau wa siasa nchini,
nashauri na kutoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini, hususan vya upinzani, kupuuza wito wa kibaraka na kibaka huyo wa siasa za Tanzania na kutothubutu kabisa kuungana na laghai huyo wa siasa kwa namna yoyote ile, kwasababu huyo ndie alikua chanzo cha kusamabaratika UKAWA na kudumaza vyama vingine, lakini pia aliwarubuni ACT wazalendo 2015 wakamuunga mkono na athari kurubuniwa huko mpaka leo bado kunawatesa ACT. Waliachwa kwenye mataa licha ya kumtosa mgonbea urais wao hayati Bernad Membe, hawakuamini kilichowatokea baada ya uchaguzi.

Wapinzani ina faa kujiepusha na kuogopa utapeli wa kuunganishwa na mpiga dili ombaomba pesa asieaminika, ili kunusuru misingi ya vyama vyao na fedhea za kutoswa na kuachwa kwenye mataa mbeleni.

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana makazi ya kudumu ughaibuni. :NoGodNo:

Mungu ibariki Tanzania
 
Shida ndio hii hapa unashindwa kujibu swali unaruka ruka
utashenyentwa mno ukija humu jukwaani na majibu yako ya mfukoni gentleman,

hakuna chama cha kuthubutu kuungana na kibaka wa kisiasa kutoka chadema :pedroP:
 
Utapeli wa CCM waliowafanyia watanganyika tangu 1995 sasa unakwenda kufikia mwisho.

Ni lazima wabadilishe mfumo wa uchaguzi watake wasitake. Hakuna mwanachi wa Tanganyika atapanga foleni kupiiga kura za kilaghai.
 
CCM ni chama changu ,wao ndio vibaka pro-max from fedha za umma,uchanguzi ,ajira ,rushwa nk Hawa wengine hawajafika hata nusu yake
 
CCM ni chama changu ,wao ndio vibaka pro-max from fedha za umma,uchanguzi ,ajira ,rushwa nk Hawa wengine hawajafika hata nusu yake
uoga wako ndio umaskini wako,
kua maskini au tajiri Tanzania ni uamuzi wako binafsi
hakuna haja ya kusingizia wengine, be free kuungana na vibaka na matapeli wa kisiasa chadema my lady,

but there is no room or escape root for puppet to interfere Tanzanians unity :NoGodNo:
 
Utapeli wa CCM waliowafanyia watanganyika tangu 1995 sasa unakwenda kufikia mwisho.

Ni lazima wabadilishe mfumo wa uchaguzi watake wasitake. Hakuna mwanachi wa Tanganyika atapanga foleni kupiiga kura za kilaghai.
Gentleman,
hakuna aya, nukta, wala koma kwenye sheria za uchaguzi na katiba ya nchi itabadilishwa kuelekea uchaguzi mkuu wa oct.2025 na chaguzi nyinginezo, eti kwa sababu ya kelele na kubwekabweka kwa matapeli ya kisiasa,

uchaguzi huru, wa haki na wazi utafanyika kwa salama na amani bila mbambamba yoyote:NoGodNo:
 
Back
Top Bottom