Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,921
- 35,636
Salamu ni upotezaji wa muda twende moja kwa moja kwenye mada.
Tangu Yanga waibamize Simba 'Kigoli' kimoja huyu msemaji ambaye siku za hivi karibuni alionesha kuitaka sana hiyo kazi.
Hata kupelekea dogo msemaji kujiuzulu.
Leo yupo kimyaaaaaaa hakuna mahali alipojitokeza kuonesha kafurahishwa na matokeo chanya ya club yake ya Yanga. Je amesusa?
Je ametingwa ma majukumu memgine? Club imeamua kumweka pembeni na kuacha Ali Kamwe atambe?
Je hakufurahishwa na matokeo ya Yanga?
Tangu Yanga waibamize Simba 'Kigoli' kimoja huyu msemaji ambaye siku za hivi karibuni alionesha kuitaka sana hiyo kazi.
Hata kupelekea dogo msemaji kujiuzulu.
Leo yupo kimyaaaaaaa hakuna mahali alipojitokeza kuonesha kafurahishwa na matokeo chanya ya club yake ya Yanga. Je amesusa?
Je ametingwa ma majukumu memgine? Club imeamua kumweka pembeni na kuacha Ali Kamwe atambe?
Je hakufurahishwa na matokeo ya Yanga?