Haijapita Hata Wiki Tangu Spika Tulia Ackson na Mahakama Kuu kusema Habari za Utekaji ni dhana tu

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
17,146
30,328
Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List.

Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania hakulipa Umuhimu jambo hilo na kudai kuwa Habari za utekaji hazijamfikia rasmi hivyo hana sababu ya kulipa kipaumbele kwenye Meza yake ya Uspika.

Ndani ya wiki hiyi hiyo moja waathrika wa Kadhia hii wakiwemo watu wenye mapenzi Mema na Mawakili waliwakilisha malalamiko yao kisheria kupitia mifumo ya Utoaji Haki wakilenga Mahakama zitoe Maelekezo Muhimu na mwongo juu ya kukabiliana na hali hii kupitia vyombo vya Usalama na Polisi.

Hata hivyo matokeo ya usikilizwaji wa maombi hayo yaliwavunja moyo watanzania wengi kwa namna Majaji wa Mahakama walivyochukulia jambo hilo kwa wepesi sana huku likigharimu Uhai wa Watanzania siku hadi siku.

Kabla Week haijaisha watekelezaji wa vitendo vya kinyama wamefanya tena. Je bado Mahakama nq Bunge wanasubiri tena taarifa Rasmi?

Soma Pia:
 
Tulia ana roho wa kishetani sana. Zamani wanyakyusa tulikuwa na heshima ya ukarimu, uvumilivu staha upendo na kukata uchawa na kujipendejeza Kwa aina yoyote. Leo una una mwabukusi pure kyusa. Hapo hapo hapo una chawa spika wa mchongo Tulia. Aibu tunaona sie. Wazungu wanasema time will tell.. kama nimekosea mwàndiko Niko bar stress za utekaji.
 
Pole sana Mkuu, pesa na madaraka zinabadilisha watu
Tulia ana roho wa kishetani sana. Zamani wanyakyusa tulikuwa na heshima ya ukarimu, uvumilivu staha upendo na kukata uchawa na kujipendejeza Kwa aina yoyote. Leo una una mwabukusi pure kyusa. Hapo hapo hapo una chawa spika wa mchongo Tulia. Aibu tunaona sie. Wazungu wanasema time will tell.. kama nimekosea mwàndiko Niko bar stress za utekaji.
 
Nina miaka kibao sijachangia comment yeyeto hapa jukwani, ila Leo nimetokwa chozi. Tanzania ni yetu sote. Uzalendo SI lazima Kuwa chawa wa ccm. Upinzani ama vyama mmbadala ni kama kioo, huwezi pasua kioo kisa kimekuonyesha tongotongi machoni mwako. Isipoku unapaswa kwendae bafuni kunawa.
 
Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List.

Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania hakulipa Umuhimu jambo hilo na kudai kuwa Habari za utekaji hazijamfikia rasmi hivyo hana sababu ya kulipa kipaumbele kwenye Meza yake ya Uspika.

Ndani ya wiki hiyi hiyo moja waathrika wa Kadhia hii wakiwemo watu wenye mapenzi Mema na Mawakili waliwakilisha malalamiko yao kisheria kupitia mifumo ya Utoaji Haki wakilenga Mahakama zitoe Maelekezo Muhimu na mwongo juu ya kukabiliana na hali hii kupitia vyombo vya Usalama na Polisi.

Hata hivyo matokeo ya usikilizwaji wa maombi hayo yaliwavunja moyo watanzania wengi kwa namna Majaji wa Mahakama walivyochukulia jambo hilo kwa wepesi sana huku likigharimu Uhai wa Watanzania siku hadi siku.

Kabla Week haijaisha watekelezaji wa vitendo vya kinyama wamefanya tena. Je bado Mahakama nq Bunge wanasubiri tena taarifa Rasmi?

Soma Pia:
Kutokana na hali mbaya kabisa ya kiusalama iliyopo hapa nchini hivi sasa, kuna kila sababu ya ku-declare the State of Emergency.

Siyo siri, hali ni mbaya sana.
Uhakika wa kufa leo hii ni mkubwa zaidi kuliko matumaini ya uwezekano wa kuiona kesho.
 
Nina miaka kibao sijachangia comment yeyeto hapa jukwani, ila Leo nimetokwa chozi. Tanzania ni yetu sote. Uzalendo SI lazima Kuwa chawa wa ccm. Upinzani ama vyama mmbadala ni kama kioo, huwezi pasua kioo kisa kimekuonyesha tongotongi machoni mwako. Isipoku unapaswa kwendae bafuni kunawa.
Hakika, 100% perfect
 
Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List.

Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania hakulipa Umuhimu jambo hilo na kudai kuwa Habari za utekaji hazijamfikia rasmi hivyo hana sababu ya kulipa kipaumbele kwenye Meza yake ya Uspika.

Ndani ya wiki hiyi hiyo moja waathrika wa Kadhia hii wakiwemo watu wenye mapenzi Mema na Mawakili waliwakilisha malalamiko yao kisheria kupitia mifumo ya Utoaji Haki wakilenga Mahakama zitoe Maelekezo Muhimu na mwongo juu ya kukabiliana na hali hii kupitia vyombo vya Usalama na Polisi.

Hata hivyo matokeo ya usikilizwaji wa maombi hayo yaliwavunja moyo watanzania wengi kwa namna Majaji wa Mahakama walivyochukulia jambo hilo kwa wepesi sana huku likigharimu Uhai wa Watanzania siku hadi siku.

Kabla Week haijaisha watekelezaji wa vitendo vya kinyama wamefanya tena. Je bado Mahakama nq Bunge wanasubiri tena taarifa Rasmi?

Soma Pia:
Nadhani Sasa itoshe kusema basi! Yaani Mheshimiwa Rais alitake bunge kusitisha malumbano mengi na amber uwekwe mswada wa sheria ya kuwa Polisi wasijihusishe na mambo ya vyama na siasa kwa ujumla! Na kutomkamata mwananchi bila kujieleza na kumpa muda wa kuwasiliana ama ndugu au mwanasheria na mkamataji aseme ni wapi anampeleka.
Kama Katiba ya nchi na PGO yao isemavyo!!
 
Nadhani Sasa itoshe kusema basi! Yaani Mheshimiwa Rais alitake bunge kusitisha malumbano mengi na amber uwekwe mswada wa sheria ya kuwa Polisi wasijihusishe na mambo ya vyama na siasa kwa ujumla! Na kutomkamata mwananchi bila kujieleza na kumpa muda wa kuwasiliana ama ndugu au mwanasheria na mkamataji aseme ni wapi anampeleka.
Kama Katiba ya nchi na PGO yao isemavyo!!
Mkuu sidhani kama wanaweza kufanya mambo mazuri hivi.
 
Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List.

Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania hakulipa Umuhimu jambo hilo na kudai kuwa Habari za utekaji hazijamfikia rasmi hivyo hana sababu ya kulipa kipaumbele kwenye Meza yake ya Uspika.

Ndani ya wiki hiyi hiyo moja waathrika wa Kadhia hii wakiwemo watu wenye mapenzi Mema na Mawakili waliwakilisha malalamiko yao kisheria kupitia mifumo ya Utoaji Haki wakilenga Mahakama zitoe Maelekezo Muhimu na mwongo juu ya kukabiliana na hali hii kupitia vyombo vya Usalama na Polisi.

Hata hivyo matokeo ya usikilizwaji wa maombi hayo yaliwavunja moyo watanzania wengi kwa namna Majaji wa Mahakama walivyochukulia jambo hilo kwa wepesi sana huku likigharimu Uhai wa Watanzania siku hadi siku.

Kabla Week haijaisha watekelezaji wa vitendo vya kinyama wamefanya tena. Je bado Mahakama nq Bunge wanasubiri tena taarifa Rasmi?

Soma Pia:
Spika na mahakama wanajua kila kitu, ila ni maagizo rasmi kuwa huo unyama utafanyika ili kutia watu hofu tayari kwa chaguzi za kihuni. Watapotezwa wengi ili kufikia hilo.
 
Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List.

Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania hakulipa Umuhimu jambo hilo na kudai kuwa Habari za utekaji hazijamfikia rasmi hivyo hana sababu ya kulipa kipaumbele kwenye Meza yake ya Uspika.

Ndani ya wiki hiyi hiyo moja waathrika wa Kadhia hii wakiwemo watu wenye mapenzi Mema na Mawakili waliwakilisha malalamiko yao kisheria kupitia mifumo ya Utoaji Haki wakilenga Mahakama zitoe Maelekezo Muhimu na mwongo juu ya kukabiliana na hali hii kupitia vyombo vya Usalama na Polisi.

Hata hivyo matokeo ya usikilizwaji wa maombi hayo yaliwavunja moyo watanzania wengi kwa namna Majaji wa Mahakama walivyochukulia jambo hilo kwa wepesi sana huku likigharimu Uhai wa Watanzania siku hadi siku.

Kabla Week haijaisha watekelezaji wa vitendo vya kinyama wamefanya tena. Je bado Mahakama nq Bunge wanasubiri tena taarifa Rasmi?

Soma Pia:
20240909_043657.jpg
 
Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List.

Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania hakulipa Umuhimu jambo hilo na kudai kuwa Habari za utekaji hazijamfikia rasmi hivyo hana sababu ya kulipa kipaumbele kwenye Meza yake ya Uspika.

Ndani ya wiki hiyi hiyo moja waathrika wa Kadhia hii wakiwemo watu wenye mapenzi Mema na Mawakili waliwakilisha malalamiko yao kisheria kupitia mifumo ya Utoaji Haki wakilenga Mahakama zitoe Maelekezo Muhimu na mwongo juu ya kukabiliana na hali hii kupitia vyombo vya Usalama na Polisi.

Hata hivyo matokeo ya usikilizwaji wa maombi hayo yaliwavunja moyo watanzania wengi kwa namna Majaji wa Mahakama walivyochukulia jambo hilo kwa wepesi sana huku likigharimu Uhai wa Watanzania siku hadi siku.

Kabla Week haijaisha watekelezaji wa vitendo vya kinyama wamefanya tena. Je bado Mahakama nq Bunge wanasubiri tena taarifa Rasmi?

Soma Pia:
Mimi naona Tulia na ndugu zake wako sawa kabisa. Maana wameshajipa haki juu ya kuamua hatma ya maisha ya wengine. So kwao sio utekaji bali ni haki yao kufanya hivyo.
 
Shida na yeye anapewa mwongozo hawezi akaenda kinyume na watu waliomuweka kwenye kitu Cha uspika yeye mwenyewe hapendi bt Hana Namna Cha muhimu anaona atetee ugali wake haya mambo ni shida sana kama kweli mungu anayaona atafanya jambo
 
Shida na yeye anapewa mwongozo hawezi akaenda kinyume na watu waliomuweka kwenye kitu Cha uspika yeye mwenyewe hapendi bt Hana Namna Cha muhimu anaona atetee ugali wake haya mambo ni shida sana kama kweli mungu anayaona atafanya jambo
Ameeni ameeni
 
Back
Top Bottom