Hadithi: Nimemla mfanyakazi mwenzangu

Washawasha

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
16,705
13,138
Mtunzi: Washawasha

Natumai mko poa na jumamosi ya leo,mi Niko swafi hali ya hewa inaruhusu kufanya yake mambo yetu.

Kwa jina naitwa Augusto nina miaka ishirini na tano,nimeajiriwa kwenye duka moja la kuuza vifaa vya ujenzi.

Mtoto wa mwenye duka ndiye aliyekuwa cashier wetu,huyu bint wa kuitwa Maimuna alikuwa mkali kweli kweli,tako tako,kifua chenye maziwa madogo,lips kubwa bila kusahau macho yake makubwa.
In short nikikuwekea picha yake hapa utakubaliana na mimi ila kwasababu ni mchumba wa mtu nasikitika sintoiweka.

Maimuna ana mchumba wake aitwaye Juma,huyu jamaa ni shombeshombe wa kutokea kule kisiwani Máfia,kwa kweli wanapenda sana kwa kuwa jamaa huwa anakuja kumchukua sometime.
Wafanyakazi wenzangu watukutu wameshatest zali lá kutongozwa ila wameambulia matusi na wale wenye damu ya kunguni waliletewa zengwe na kufukuzwa kazi,binafsi nilijua kuwa mwanamke ni Kama chips za moto ukizila utaungua ulimi ila ukisubiri zipoe utazila kwa raha mustarehe,kwahiyo niliamua kutuliza Ball ili muda ukifika nitupe karata yangu.

Binafsi hapa kazini ambapo tulikuwa wafanyakazi saba,wanawake wanne na wanaume watatu,nilitokea kupendwa kuanza kwa tajiri mpaka wafanyakazi wenzangu kutokana uchangamfu niliokuwa nao,hata pesa nyingi tu sometime anaamua kunituma nikaziweke Bank.

Ilikuwa ni sikukuu ya wakulima iliyodondokea siku ya ijumaa,tajiri wetu aliamua kutupa offer ya mtoko kwa kwenda kujirusha kwenye disco lililokuwa likisumbua sana jijini DAA SAA AM liitwalo CHINI-LICIOUS

Mida ya saa mbili usiku nikipigiwa simu na Maimuna na kuniambia naweza kwenda na makutano yatakuwepo pale lango kuu la kuingilia,kwa kuwa nilishajikoki kilichofuata nikazima Tv na taa ya mjengoni na kuelekea CHINI-LICIOUS,mwenzetu mmoja wa kiume alikataa kuna disco kwa kuwa ni mdinidini sana na mwengine wa kike alipata udhuru kidogo,kwahiyo tulikuwa wafanyakazi watano,wa kike wawili na wa kiume wawili.

Ndani ya Disco
Ilikuwa ni mida ya saa sita pombe teyari zilishatupanda kichwani,nashukuru mpaka mida hii nilishawabaashia wote kwa kuwa nilicheza nao muziki,wote wana mata ko laini.

Hawa wanawake waliokuwa wanaanza kupiga stori za mapenzi na kujisahau Kama wako na wanaume stori zao zilianza kunidindisha nilijitahidi kuizuia machine yangu isionekane Kama imedinda ila Maimuna aliniona na kuanza kunikodolea macho na kuanza kunikonyeza,Maimuna alisema anapenda sana dog style.
Niliwaaga kuwa naenda chooni mara zile zao zilidindi sha kwahiyo nikawa nataka nikapige punyeto,nikiwa nakaribia kufika chooni niliguswa bega ile nageuka nyuma nikakutana na uso wa Maimuna akanikumbatia na kuanza kunipa denda,tulitumia zaidi ya dakika tatu kulana denda halafu akaniambia inatakiwa iwe siri yetu kwa kuwa bwana wake akijua anaweza kutuua,vivyo hivyo aliniambia tutaondoka wote kwenda mjengoni kwangu ila tutaondoka njia tofauti ili kuwazubaisha wafanyakazi wenzetu,nilikubali kwa kichwa naye akaelekea choo chá wanawake,mi niliendelea kuganda na kutokuamini nini kinatokea.
Muda kidogo nilienda kuungana nao tena na tukaendelea na mitungi.

Mida ya saa nane usiku teyari watu wakawa wana hamu za kurudi makwao,tulitoka nje na kuagana,nilifanya Kama nilivyoelekezwa na Maimuna naye akaja kunipitia na tukaelekea nyumbani.
 
Umedata nini, hujamalizia kutusimulia ndoto uliyokuwa unaota au ilikatishwa na baba mwenye nyumba wako alipokugongea akitaka kodi yake
 
Umedata nini, hujamalizia kutusimulia ndoto uliyokuwa unaota au ilikatishwa na baba mwenye nyumba wako alipokugongea akitaka kodi yake
We unafikiri watu wote tumekuja Dar kwa mbio za mwenge au tunaishi kwa mashemeji na kulala sebuleni Kama wewe?
Nalog off
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…