Habari Njema kwa Wakulima, Wafugaji na Wadau wa Kilimo!

Imani rubaba

Senior Member
Dec 31, 2013
145
204
Tatizo la soko sasa limepata suluhisho rahisi na la moja kwa moja!

Sasa kupitia Blog yetu ya Tanzania na Kilimo
👉 TANZANIA NA KILIMO
Unaweza kUUZA au kUNUNUA bidhaa na zana mbalimbali za kilimo na ufugaji bila kutumia dalali!

Faida za kutumia Soko letu:

Mteja atakupigia moja kwa moja – hakuna dalali!

Fursa ya kuwafikia zaidi ya watazamaji 100,000 kila mwezi!

Rahisi kutumia – bonyeza tu sehemu ya "Soko (Market)", weka tangazo lako au chagua bidhaa unayotaka.


Usikose nafasi hii ya kipekee kuboresha biashara yako!

Kwa maelezo zaidi au msaada wa kutangaza bidhaa zako, wasiliana nami moja kwa moja WhatsApp hapa: Rubaba Media
 
Umeisha malizana na Ng'ombe? Unacho elezea sio kigeni ziko plat form nyingi sana zimeanzishwa za kuuza na kununua mazao ila bado raia wanapendelea physical.
 
Back
Top Bottom