Nipo hapa jengo la polisi Kati dsm.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza niambie upo karibu na jengo, hotel au chuo gani lenye/chenye wifi iliyo na password search katika simu yako nipe jina la ilo jengo nitakupa password yake na uenjoy internet free
ni kwa wale wa dar na baadhi ya maeneo ya morogoro na dodoma
Kivipi chifu?nawakumbusha tu, ukiconect na wifi mnakuwa kwenye same network na hao mnaowaibia hivyo kama admin wa hio network ni kichaa unaweza ukajuta
Fanya mpango mi niko bandarini....Kama kichwa cha habari kinavyojieleza niambie upo karibu na jengo, hotel au chuo gani lenye/chenye wifi iliyo na password search katika simu yako nipe jina la ilo jengo nitakupa password yake na uenjoy internet free
ni kwa wale wa dar na baadhi ya maeneo ya morogoro na dodoma