GSM na Try Again uso kwa uso kwenye Ibada ya Sikukuu ya Eid Fitr

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,498
7,065
Mdhamini na Mfadhili wa Yanga SC Ghalib Said Mohamed leo amekutana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC Salim Abdallah Muhene Try Again katika Ibada ya Sikukuu ya Eid Fitr.

486810358_18496919188057742_6714836326874727333_n.jpg
GSM na Try wamekutana katika Msikiti wa Oysterbay na kusalimiana kwa kukumbatiana licha ya kuwa kuna mvutano mkubwa kwa sasa wa timu zao kuvutana kucheza derby iliyoahirishwa March 8.

Video: Millard Ayo
 
Yaani Binadamu wa Tanzania, kuwa Simba au Yanga sio uhasama, unatengenezwa na hao waliopewa usemaji.
.Simba na yanga, mtatofautiana kwenye Timu ya shabiki ila,
.mtakutana kwenye familia, ukoo.
.Mtakutana, Msikitini ama Kanisani.
.mtakutana kazini, ama ofisini.
.Tuzipende timu, ila tusitembe nazo mioyoni kila tulipo, bali tuwe na Mungu kila tulipo.
 
Unadhani wao hua Wana shida? YANI watu Wana mabilioni kwenye akaunti wabwatukiane kama makapuku? Mtabwatukiana mafukara tu kama akina ngara23 na Labani og na wengine akina MwananchiOG ila sio matajiri wa hizi timu hata huyo injinia wa mchongo hua anaongea kisiasa kuwapumbaza tu mashabiki mana anajua huo ndio mkate wake wa kila siku
Unadhani wao hua Wana shida? YANI watu Wana mabilioni kwenye akaunti wabwatukiane kama makapuku? Mtabwatukiana mafukara tu kama akina ngara23 na Labani og na wengine akina MwananchiOG ila sio matajiri wa hizi timu hata huyo injinia wa mchongo hua anaongea kisiasa kuwapumbaza tu mashabiki mana anajua huo ndio mkate wake wa kila siku
Utajiri ubaki kwao, Furaha ibaki kwetu. INATOSHA! Lengo la maisha ni FURAHA, utajiri bila furaha una maana gani?
 
Unadhani wao hua Wana shida? YANI watu Wana mabilioni kwenye akaunti wabwatukiane kama makapuku? Mtabwatukiana mafukara tu kama akina ngara23 na Labani og na wengine akina MwananchiOG ila sio matajiri wa hizi timu hata huyo injinia wa mchongo hua anaongea kisiasa kuwapumbaza tu mashabiki mana anajua huo ndio mkate wake wa kila siku
Huyo Try again anafanya biashara gani?
Huwa namuona na mandinga makali makali tu.
 
Huyo Try again anafanya biashara gani?
Huwa namuona na mandinga makali makali tu.
Ndio hivyo Sasa ujue mjini hapa mipango ya pesa kwa matajiri ipo kibao..yeye anaendelea kununua mandinga , mwingine anaumia kapuku, Kuna shabiki Ile siku ya derby alifariki sjui alipigwa na shoti ya umeme alilalia sjui nguzo ya umeme , jiulize anakumbukwa hata au hao matajiri wenye hizi timu do they give a damn?
 
Utajiri ubaki kwao, Furaha ibaki kwetu. INATOSHA! Lengo la maisha ni FURAHA, utajiri bila furaha una maana gani?
Endelea kujipa moyo na misemo ya kimasikini. Eti utajiri bila furaha...we umeona gsm anakenua Hadi jino la mwisho unaliona au try again ana bashasha nyingi , mapesa yote hayo uache kua na furaha utakua mwendawazimu.
 
Endelea kujipa moyo na misemo ya kimasikini. Eti utajiri bila furaha...we umeona gsm anakenua Hadi jino la mwisho unaliona au try again ana bashasha nyingi , mapesa yote hayo uache kua na furaha utakua mwendawazimu.
Kama jinsi wanavyofurahi ndivyo nami nafurahi na Yanga yangu, shida iko wapi?
 
Endelea kujipa moyo na misemo ya kimasikini. Eti utajiri bila furaha...we umeona gsm anakenua Hadi jino la mwisho unaliona au try again ana bashasha nyingi , mapesa yote hayo uache kua na furaha utakua mwendawazimu.
Kama jinsi wanavyofurahi ndivyo nami nafurahi na Yanga yangu, shida iko wapi?
 
Endelea kujipa moyo na misemo ya kimasikini. Eti utajiri bila furaha...we umeona gsm anakenua Hadi jino la mwisho unaliona au try again ana bashasha nyingi , mapesa yote hayo uache kua na furaha utakua mwendawazimu.
Kama jinsi wanavyofurahi ndivyo nami nafurahi na Yanga yangu, shida iko wapi?
 
Ukikutana sasa na mashabiki kapuku wanavyobishana sasa mechi hairudiwi, mkirudia mechi viongozi mtuachie timu,, yaan unaweza kuhisi watu vichaa unajua.
 
Back
Top Bottom