Pre GE2025 Godbless Lema: Ikiwezekana Mkutano Mkuu utoke na jina la mgombea Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
22,227
49,628
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Ni wakati wa TAL.. Tumuunge mkono kwa nguvu moja na kwa sauti kubwa
20241218_051429.jpg
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.📌🔨🔨🔨🔨
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Kwani taratibu za kikatiba za kumpata mgombea urais kwa ticket ya CHADEMA zinasemaje?
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Lema naye kachoka kisiasa
Yeye alisema no reform no election za sasa anaongelea uteuzi wa wagombea

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Siasa za chadema ni za kinafiki sana. Yeye Lema anasimama na nani kwenye huu uchaguzi?

Akiulizwa anasema watu wasubiri, anacheza mchezo wa hide and seek.
 
Back
Top Bottom