Global Aridity Index Report : Tanzania na South Sudan Zinaongoza Duniani Kwa Kasi ya Kuheuka kuwa Jangwa.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
65,819
75,142
Riyadh: Wanasayansi wa Shirika la Kimataifa linalofiatilia Haki ya Ukame na ujamgwa Duniani wametoka tahadhari Kwa Nchi ya Tanzania na South Sudan kwamba Nchi hizi 2 ndio zinaongoza Duniani Kwa Kugeuka kuwa Jangwa.

Kwa mujibu wa ripoti ya Wanasayansi ya Global Aridity Index ,Tanzania na South Sudan zimekuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira ambao unasababishwa na ukataji miti hovyo,Kilimo,ufugaji wa kienyeji na Mabadiliko ya hali ya hewa mambo ambayo yatabadili Haki ya upatikanaji wa chakula miaka michache ijayo.
Screenshot_20241210-125846.jpg


My Take
Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira chukueni hii kama red alert kuiokoa Nchi maana tuna mabwawa mengi ya umeme wa Maji,msije kusema hamkuambiwa.

Aidha Wizara ya Nishati iharakishe Kampeni ya mama Samia ya Nishati safi 2024-2024 Ili kuokoa mazingira.

View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1866547625308115254?t=O4waVlUayhmAIKFMD8i7Kw&s=19
 
Aisee hawa wanaoruhusu wafugaji kuzunguka na mifugo maporini na kwenye misitu wameharibu sana hii nchi..

Kuna haja itungwe Sheria ya haraka kukataza ufugaji holela, na kulazimisha kila mfugaji awe na eneo lake la kulisha mifugo yake.. Wapande malisho na wachimbe mabwawa ya kunywesha mifugo yao.

Itasaidia kuhifadhi mazingira na kuepusha uharibifu wa mazao unaosababisha migongano ya mara kwa mara baina ya wakulima na wafugaji...
 
Aisee hawa wanaoruhusu wafugaji kuzunguka na mifugo maporini na kwenye misitu wameharibu sana hii nchi..

Kuna haja itungwe Sheria ya haraka kukataza ufugaji holela, na kulazimisha kila mfugaji awe na eneo lake la kulisha mifugo yake.. Wapande malisho na wachimbe mabwawa ya kunywesha mifugo yao.

Itasaidia kuhifadhi mazingira na kuepusha uharibifu wa mazao unaosababisha migongano ya mara kwa mara baina ya wakulima na wafugaji...

wamasai na wasukuma mpaka leo wanatembea nchi nzima kulisha mifugo. Sijui wamechelewa wapi
 
Riyadh: Wanasayansi wa Shirika la Kimataifa linalofiatilia Haki ya Ukame na ujamgwa Duniani wametoka tahadhari Kwa Nchi ya Tanzania na South Sudan kwamba Nchi hizi 2 ndio zinaongoza Duniani Kwa Kugeuka kuwa Jangwa.

Kwa mujibu wa ripoti ya Wanasayansi ya Global Aridity Index ,Tanzania na South Sudan zimekuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira ambao unasababishwa na ukataji miti hovyo,Kilimo,ufugaji wa kienyeji na Mabadiliko ya hali ya hewa mambo ambayo yatabadili Haki ya upatikanaji wa chakula miaka michache ijayo.
View attachment 3173894

My Take
Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira chukueni hii kama red alert kuiokoa Nchi maana tuna mabwawa mengi ya umeme wa Maji,msije kusema hamkuambiwa.

Aidha Wizara ya Nishati iharakishe Kampeni ya mama Samia ya Nishati safi 2024-2024 Ili kuokoa mazingira.

View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1866547625308115254?t=O4waVlUayhmAIKFMD8i7Kw&s=19

Tumshukuru mheshimwa doktari rais Samia Suluhu Hassan kwa hili.
 
Wasukuma Wana allergy na miti...hapo Morogoro Ifakara, Mlimba, Malinyi kote wamejazana aloo miti inaondoshwa kwa Kasi Sana.
 
Kwenye ishu ya kulinda mazingira dunia imejaa unafiki. Hela nyingi zinatumika kwenye warsha, semina na mikutano huku pesa kiduchu zikitumika kwenye shughuli halisi za utunzaji wa mazingira kama vile kupanda miti. NGO kibao zinavuna pesa kilaini lakini hazifanyi mambo yenye tija zaidi ya kuchapisha Tshirts na kwenda kufanya maigizo ya kusafisha beach na kudeki lami huku media zikirusha hizo habari. Yaani ni siasa tupu.
 
Back
Top Bottom