Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,186
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Zoezi la chanjo litaanza kutolewa kesho kuna vituo kama 550 vilivyoandaliwa, chanjo hazijaleta madhara kwa waliotumia kama tulivyokuwa tunasikia. Chanjo zitaendelea kuletwa baada ya zile dozi milioni 1 kuna nyingine zitaendelea kuletwa
Vilevile Msigwa amesema Madiwani wa Halmashauri ambazo mapato yake si makubwa na zipo Daraja A wameanza kulipwa mishahara
Gerson Msigwa amesema madiwani wanalipwa moja kwa moja kutoka hazina
Madiwani wanalipwa Tsh. 300,000 huku mwenyekiti wao akilipwa Tsh. 400,000
Vilevile Msigwa amesema Madiwani wa Halmashauri ambazo mapato yake si makubwa na zipo Daraja A wameanza kulipwa mishahara
Gerson Msigwa amesema madiwani wanalipwa moja kwa moja kutoka hazina
Madiwani wanalipwa Tsh. 300,000 huku mwenyekiti wao akilipwa Tsh. 400,000