Gen Z gather here: Tuko wapi mbona hatuonekani? Kenya wametuonesha njia tunaweza washughulikia kigeneration yetu!

Dec 16, 2023
57
82
Gen Z tupo?

Tumekuwa tukisemwa sana hadi na mabroo kuwa tumelala, tupo nyuma, ninwaoga kama kunguru kukimbiza mabawa, lakini je, hilo ni kweli?

Najua tuko wengi humu kwanini sasa kwanini hatushiriki kudai haki zetu?

Kizazi chetu ndio kinaongoza kutumia teknolojia vizuri hata millenials wanakaa sasa kwanini tupo kimya?

Tunapandishiwa bundles kila siku kimya, club house imezuiliwa kimya, sasa vuguvugu X (Twitter) kufungiwa kimya! Mnafikiri wataishia hapo? Tiktok itafuata, wataenda Insta na kote turudi zama za millenials kutumiana barua kwa njia ya posta.

Sisi wengi content creation ndio inatuingizia hela, sasa "UCHUMI WETU" unaguswa tuko kimya, why? We don't have kuingia barabarani kumake the difference, tuwaletee the fight ambako tunajua kupambana vizuri.

Tukisikia kuna mbongo anashindana sehemu anahitaji votes zetu huwa tunashow up vizuri, tukisikia kuna taifa limetuonea au kuna page imefanya udhalilishaji kwa mwezetu huwa tunaenda kuwaonesha, sasa hapa tunashindwa nini?

TCRA na Nape wanataka kutuharibia 'Uchumi' wetu zile page zao mbona tunaziangalia tu? Hashtag ya #FreeX wapi? Tunapandishiwa Tax kila siku hastag ya #AffordableInternet iko wapi? Kwanini hatuendi spam pages za international bodies watie presha Tz? Tuna group of individuals ambao wakiandika a text Dunia inasimama, tuna poets wazuri sana kwanini TUMELALA?

This is a wake up call to us all, lets all bring the fight the best way we know. Gen Z muda wetu wa kuvimba huu
:MadCool::MadCool:

Pia Soma

 
Gen Z wa Tanzania wa kike wanashinda tik tok kubinua makalio, midomo na tumiguu kama ndezi aliye na kideli. Wa kiume wanashinda kubet, kuchambua mpira na kumuangalia chris brown akicheza komasava. Wengine ndo chawa wa akina Abduly bahati mbaya ni hadi mawaziri na viongozi vijana. Kazi yao kumsifia Rais ili wabaki kutembelea v8.
 
Gen Z tupo?

Tumekuwa tukisemwa sana hadi na mabroo kuwa tumelala, tupo nyuma, ninwaoga kama kunguru kukimbiza mabawa, lakini je, hilo ni kweli?

Najua tuko wengi humu kwanini sasa kwanini hatushiriki kudai haki zetu?

Kizazi chetu ndio kinaongoza kutumia teknolojia vizuri hata millenials wanakaa sasa kwanini tupo kimya?

Tunapandishiwa bundles kila siku kimya, club house imezuiliwa kimya, sasa vuguvugu X (Twitter) kufungiwa kimya! Mnafikiri wataishia hapo? Tiktok itafuata, wataenda Insta na kote turudi zama za millenials kutumiana barua kwa njia ya posta.

Sisi wengi content creation ndio inatuingizia hela, sasa "UCHUMI WETU" unaguswa tuko kimya, why? We don't have kuingia barabarani kumake the difference, tuwaletee the fight ambako tunajua kupambana vizuri.

Tukisikia kuna mbongo anashindana sehemu anahitaji votes zetu huwa tunashow up vizuri, tukisikia kuna taifa limetuonea au kuna page imefanya udhalilishaji kwa mwezetu huwa tunaenda kuwaonesha, sasa hapa tunashindwa nini?

TCRA na Nape wanataka kutuharibia 'Uchumi' wetu zile page zao mbona tunaziangalia tu? Hashtag ya #FreeX wapi? Tunapandishiwa Tax kila siku hastag ya #AffordableInternet iko wapi? Kwanini hatuendi spam pages za international bodies watie presha Tz? Tuna group of individuals ambao wakiandika a text Dunia inasimama, tuna poets wazuri sana kwanini TUMELALA?

This is a wake up call to us all, lets all bring the fight the best way we know. Gen Z muda wetu wa kuvimba huu:MadCool::MadCool::MadCool:
Sema Keybord worrior, Nchi imejaaa ma Keybord worriou wengi mno kuliko Taifa lolote lile Duniani.

Wakenya hawana Keybord worrior wao ni vitendo tu.
 
Gen Z wa Tanzania wa kike wanashinda tik tok kubinua makalio, midomo na tumiguu kama ndezi aliye na kideli. Wa kiume wanashinda kubet, kuchambua mpira na kumuangalia chris brown akicheza komasava. Wengine ndo chawa wa akina Abduly bahati mbaya ni hadi mawaziri na viongozi vijana. Kazi yao kumsifia Rais ili wabaki kutembelea v8.
Wewe uko kundi gani? au ni Keybord Worriour? Una power sana kwenye keybord
 
Gen Z wa Tanzania wa kike wanashinda tik tok kubinua makalio, midomo na tumiguu kama ndezi aliye na kideli. Wa kiume wanashinda kubet, kuchambua mpira na kumuangalia chris brown akicheza komasava. Wengine ndo chawa wa akina Abduly bahati mbaya ni hadi mawaziri na viongozi vijana. Kazi yao kumsifia Rais ili wabaki kutembelea v8.
sawa lakini kubinua matako kenya ndo wanaongoza.
Kukiwa na mobilazation hasahasa ya watu maarufu watu wataingia barabarani
 
Gen z is illusion

Hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa tabia zako ,hustle na generation z only thing mmpewa ni lack of vision


Napenda vijana mnavyothubutK

sawa lakini kubinua matako kenya ndo wanaongoza.
Kukiwa na mobilazation hasahasa ya watu maarufu watu wataingia barabarani
Wakenya tangu enzi wana ujasiri, Tanzania imejaaa wajinga tupu, asilimia 90 ya Watanzania ni Mazezeta wajinga. Sana sana tunacho weza ni kuandamana kwa ajiki ya Yanga na Simba ila sio kwa ajili ya Maisha. Hii ni faida kubwa sana kwa watawala.
 
Gen Z tupo?

Tumekuwa tukisemwa sana hadi na mabroo kuwa tumelala, tupo nyuma, ninwaoga kama kunguru kukimbiza mabawa, lakini je, hilo ni kweli?

Najua tuko wengi humu kwanini sasa kwanini hatushiriki kudai haki zetu?

Kizazi chetu ndio kinaongoza kutumia teknolojia vizuri hata millenials wanakaa sasa kwanini tupo kimya?

Tunapandishiwa bundles kila siku kimya, club house imezuiliwa kimya, sasa vuguvugu X (Twitter) kufungiwa kimya! Mnafikiri wataishia hapo? Tiktok itafuata, wataenda Insta na kote turudi zama za millenials kutumiana barua kwa njia ya posta.

Sisi wengi content creation ndio inatuingizia hela, sasa "UCHUMI WETU" unaguswa tuko kimya, why? We don't have kuingia barabarani kumake the difference, tuwaletee the fight ambako tunajua kupambana vizuri.

Tukisikia kuna mbongo anashindana sehemu anahitaji votes zetu huwa tunashow up vizuri, tukisikia kuna taifa limetuonea au kuna page imefanya udhalilishaji kwa mwezetu huwa tunaenda kuwaonesha, sasa hapa tunashindwa nini?

TCRA na Nape wanataka kutuharibia 'Uchumi' wetu zile page zao mbona tunaziangalia tu? Hashtag ya #FreeX wapi? Tunapandishiwa Tax kila siku hastag ya #AffordableInternet iko wapi? Kwanini hatuendi spam pages za international bodies watie presha Tz? Tuna group of individuals ambao wakiandika a text Dunia inasimama, tuna poets wazuri sana kwanini TUMELALA?

This is a wake up call to us all, lets all bring the fight the best way we know. Gen Z muda wetu wa kuvimba huu:MadCool::MadCool::MadCool:
acheni kwanza mihemko, ghadhabu, matusi na kutukana viongozi, au imewasaidia? unao waelezea wametambua kwamba hilo halijawasaidia wala kuwapa ahueni hata kidogo kwenye maisha yao 🐒

kutegemea, upinzani na wanaharakati, ilihali nao wana mahitaji yao shida zao na familia zao za kuzipambania, ni makosa.
hao majirani ulio wataja wamebaini hili na kuona kwamba hakuna nia wala dhamira ya kweli kwa vyama vya kisiasa, hususan upinzani na wanaharakati kuwasemea na kuwatetea bali kujinufaisha wao wenyewe kwa maslahi yao na familia zao....

kutegemea hashtags# pekeyake hakuna maana wala tija yoyote, bila kujitokeza panapostahili na kuchukua hatua muhimu na muafaka. watakao shindwa kujitokeza waendelee kuhamasisha wengine kujitokeza zaidi kupitia mitandao ya kijamii, na kuposti, picha na video, kuuarifu umma, Africa na dunia kinachoendelea. angalau lolote linaweza kutokea 🐒

kung'ag'ana na upinzani, mihemko, ghadhabu na matusi sio kitu sio lolote 🐒
 
Gen Z tupo?

Tumekuwa tukisemwa sana hadi na mabroo kuwa tumelala, tupo nyuma, ninwaoga kama kunguru kukimbiza mabawa, lakini je, hilo ni kweli?

Najua tuko wengi humu kwanini sasa kwanini hatushiriki kudai haki zetu?

Kizazi chetu ndio kinaongoza kutumia teknolojia vizuri hata millenials wanakaa sasa kwanini tupo kimya?

Tunapandishiwa bundles kila siku kimya, club house imezuiliwa kimya, sasa vuguvugu X (Twitter) kufungiwa kimya! Mnafikiri wataishia hapo? Tiktok itafuata, wataenda Insta na kote turudi zama za millenials kutumiana barua kwa njia ya posta.

Sisi wengi content creation ndio inatuingizia hela, sasa "UCHUMI WETU" unaguswa tuko kimya, why? We don't have kuingia barabarani kumake the difference, tuwaletee the fight ambako tunajua kupambana vizuri.

Tukisikia kuna mbongo anashindana sehemu anahitaji votes zetu huwa tunashow up vizuri, tukisikia kuna taifa limetuonea au kuna page imefanya udhalilishaji kwa mwezetu huwa tunaenda kuwaonesha, sasa hapa tunashindwa nini?

TCRA na Nape wanataka kutuharibia 'Uchumi' wetu zile page zao mbona tunaziangalia tu? Hashtag ya #FreeX wapi? Tunapandishiwa Tax kila siku hastag ya #AffordableInternet iko wapi? Kwanini hatuendi spam pages za international bodies watie presha Tz? Tuna group of individuals ambao wakiandika a text Dunia inasimama, tuna poets wazuri sana kwanini TUMELALA?

This is a wake up call to us all, lets all bring the fight the best way we know. Gen Z muda wetu wa kuvimba huu:MadCool::MadCool::MadCool:
Contexts zinatofautiana ndugu yangu. Kuna Gen Z wenye akili pevu. Alafu wapo wale wanaongeza tu idadi.
 
Ila nchi inaumiza sana moyo hii viongozi wanajipigia mahela hovyo hovyo na kujidai wazalendo,
Mpaka wengine wamefikia hatua ya kushona tai za bendera tuwaone wema sana ,
Yule bwana wa kilimo nae alishoma mpaka kombati za mabwana shamba sijui huyu kaiba hiki lakini wazee huduma za kijamii ni mbaya mbaya mbaya mno, rushwa imetamalaki kila kona,raia kufa kisa kukosa hela ya paracetamol tu ashushe homa mana hospital za serikali hakuna madawa ni makopo tu ,ukitaka huduma kwenye ofisi ya serikali mpaka urambe watu miguu ujinyenyekeze weeee ugale gale chozi likutoke, kama TAIFA sijui tunakwenda wapi INAUMA SANA lakini bado hao hao watumishi na viburi vyao maofisini nao fainali kwenye kustaafu wanapigwa kikotoo ambacho hakuna mbunge au waziri yeyote angekubali akatwe hivyo,
Kama TAIFA tunakwenda wapi?

Hebu jaribu kuangalia ziara ya mheshimiwa Slaaa waziri wa ardhi Mungu ampe heri kwa tunayoyaona kwake katika ziara zake ni uozo uozo umeibuliwa lakinj hii imetokana na mifumo mibovu ya rushwa na kujuana katika utendaji kazi wa watumishi mbali mbali,
Hisia zangu zinaniambia kuwa hili bomu linalotengenezwa likija kulipuka hawa viongozi wanaotafuna keki ya nchi kwa maslahi yao binafsi ,
Hawataamini kabisa kabisa kitakachowakuta na bomu hilo litaenda kulipuliwa na vijana hawa hawa mnaowanyima fursa za ajira ,hawa hawa mnaowaona hawajielewi ,
Baada ya hapo nchi hii ndipo itakapoendelea🥹🥹🥹
 
Wakenya tangu enzi wana ujasiri, Tanzania imejaaa wajinga tupu, asilimia 90 ya Watanzania ni Mazezeta wajinga. Sana sana tunacho weza ni kuandamana kwa ajiki ya Yanga na Simba ila sio kwa ajili ya Maisha. Hii ni faida kubwa sana kwa watawala.
Sababu ya uzezeta na ujinga wa watanzania ni nini ? Suluhisho lake ni nini ?

Wengine wanasema sababu ya uzezeta na ujinga wa watanzania wakiwemo wasomi na wasio wasomi ni mwenge wa uhuru .

Suluhisho ni inatakiwa wabunifu wabuni "counter attack" inayo weza kuondoa athari hizi mbaya za mwenge wa uhuru kwa watanzania.
 
acheni kwanza mihemko, ghadhabu, matusi na kutukana viongozi, au imewasaidia? unao waelezea wametambua kwamba hilo halijawasaidia wala kuwapa ahueni hata kidogo kwenye maisha yao 🐒

kutegemea, upinzani na wanaharakati. nao wana mahitaji yao shida zao na familia zao za kuzipambania. hao makirani ulio wataja wamebaini hili na kuona kwamba hakuna nia wala dhamira ya kweli kwa vyama vya kisiasa na wanaharakati kuwasemea na kuwatetea bali kujinugaisha kwamaslahi yao....

kutegemea hashtags# pekeyake hakuna maana wala tija, yoyote bila kujitokeza panapostahili na kuchukua hatua. watakao shindwa kujitokeza waendelee kuhamasisha wengine kujitokeza zaidi kupitia mitandao na kuposti, picha na video, kuuarifu umma, Africa na dunia kinachoendelea. angalau lolote linaweza kutokea 🐒
Kweli bro, kama vp huyo anaelalamika ndo aanze kuandamana wengine tutafuata
 
Back
Top Bottom