Muungurumo mkubwa huletwa nayafuatayo! Jaribu kuipandisha juu gereji uchungulie chini
1. Ekisosi inaweza kuwa inavuja sehemu, tundu dogo au kreki ndogo inaweza sababisha muungurumo ukawa mkubwa ...kachomelee bei ni elfu 10000/tu.
2. Mounting ya ekisosi ikikatika au kuchoka pia huchangia mlio.
3. Engine mounting...hii si sana lakini huchangia
4. Plug ambazo zimechoka au zisizofaa husambabisha combustion kufail, kiasi kwamba hadi uganyage sana ndiyo ina burn.
.MWISHO,
Kutokana na barabara zetu ebu cheki ekisosi yawezekana ndiyo imepasuka...ndiyo maana wanaotaka milio mikubwa hutoboa ekisosi..
(NIMETUMIA LUGHA RAHISI ILI UELEWE)