Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Na kaburi lake tungeliwamba misumali ama kulizungushia pinguHuyu jamaa angekuwa tz angeshanyongwa.
Naona anaugomvi na mkuu maana kila siku yupo kinyume nae.
Inamaana magu hana jema hata moja?
Hapo amemaanisha ubaya gani mkuu?Huyu jamaa angekuwa tz angeshanyongwa.
Naona anaugomvi na mkuu maana kila siku yupo kinyume nae.
Inamaana magu hana jema hata moja?
Hapo kamaanisha nini ndio tuanze kusema ni mbaya au nzuriNa kaburi lake tungeliwamba misumali ama kulizungushia pingu
sijaelewa
Kawaida si useme kamaanisha nini.kuanza kutukana inaonekana umepaniki broCartoon ya kawaida sana, kuna mafala watakuja sema jamaa ni genius!
umemuelewaje mkuu?Cartoon ya kawaida sana, kuna watakuja sema jamaa ni genius!
inamaanisha nini?Angalieni vizuri! kiwiliwili upande wa juu kuanzia kiunoni hiyo katuni imekazana kukimbilia mbele ila upande wa kuanzia kiunoni kwenda miguuni inakimbia nyuma kwa speed ya hatari.. Hiyo katuni!
Ni wazi ana chuki na jpm, sababu anaijua yeye huyo malafyale ila cartoon yake hiyo haina uhalisia maana support na mwitikio wa watz wengi kumsapoti rais ktk hili ni mkubwa.Kawaida si useme kamaanisha nini.kuanza kutukana inaonekana umepaniki bro
Kwani nilivyosema ni cartoon ya kawaida unadhani nimekurupuka??umemuelewaje mkuu?