tayari njaa imeanza kuwatafuna?Ni baada ya Chadema kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi.
Mrema awasihi watia nia Ubunge na Udiwani kuwa watulivu kusubiri maamzi ya chama.
My Take; Kama wameamua kuhama wanasubiri maamzi ya chama kipi wanachotoka au wanachohamia.
View attachment 3312748
Waondoke haraka kabla hatujawafukuzaNi baada ya Chadema kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi.
Mrema awasihi watia nia Ubunge na Udiwani kuwa watulivu kusubiri maamzi ya chama.
My Take; Kama wameamua kuhama wanasubiri maamzi ya chama kipi wanachotoka au wanachohamia.
View attachment 3312748
stop posting this rubbish so-called gazetiNi baada ya Chadema kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi.
Mrema awasihi watia nia Ubunge na Udiwani kuwa watulivu kusubiri maamzi ya chama.
My Take; Kama wameamua kuhama wanasubiri maamzi ya chama kipi wanachotoka au wanachohamia.
View attachment 3312748
Wahame tu. Hizo fursa hazikuwepo kwenye chaguzi za 2019,2020 na 2024?Ni baada ya Chadema kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi.
Mrema awasihi watia nia Ubunge na Udiwani kuwa watulivu kusubiri maamzi ya chama.
My Take; Kama wameamua kuhama wanasubiri maamzi ya chama kipi wanachotoka au wanachohamia.
View attachment 3312748
naona wanajicheleweshaNi baada ya Chadema kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi.
Mrema awasihi watia nia Ubunge na Udiwani kuwa watulivu kusubiri maamzi ya chama.
My Take; Kama wameamua kuhama wanasubiri maamzi ya chama kipi wanachotoka au wanachohamia.
View attachment 3312748
The important is to get the information from everywhere whether is right or wrong, misinformed or disinformed. Ni wewe na akili yako kuzichuja.stop posting this rubbish so-called gazeti
Yaani hata wakipewa ubunge huko waendako hatunashida nao huku kinachoubiliwa ni madiriko ya milele na sio mabadiriko ya matumbo yaoWahame hata leo, bunch of sore losers. Tuone huko wanapoenda kama watatangazwa washindi!
Waje tu maana ACT kinajulikana ni chama cha frusa mladi mkono uende kinywani.Karibuni ACT wazalendo
Huenda wakaachiwa baadhi ya majimbo au wakapewa UDC,DAS n.kNi baada ya Chadema kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi.
Mrema awasihi watia nia Ubunge na Udiwani kuwa watulivu kusubiri maamzi ya chama.
My Take; Kama wameamua kuhama wanasubiri maamzi ya chama kipi wanachotoka au wanachohamia.
Wahame hata leo, bunch of sore losers. Tuone huko wanapoenda kama watatangazwa washindi!
View attachment 3312748
Watajuana na ccm yao lakini hakuna kushiriki uchaguzi wa kijinga wa nchi hii
Hata wakipewa urais hakuna shida cha msingi hawatakuwa wanachama wa Chadema, kila chama kina misingi yake na taratibu zake hata CCM wana misingi yao ukiikiuka wanakufukuza.