Pre GE2025 G55 kundi lenu halina Mgombea Urais?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
22,242
41,829
Kila siku mnasema kundi lenu linawakilisha watia nia wa udiwani na ubunge. Mbona sijasikia mkisema mna mtia nia ngazi Urais!?

Naona kama hizi bidii zenu ni kubwa sana kama vile zinachagizwa zaidi na Mgombea Urais kuliko hao watia nia wa Udiwani na Ubunge mnaowataja Kila siku.

Jee G55 kundi lenu halina mtia nia wa ngazi ya Urais?
 
Kila siku mnasema kundi lenu linawakilisha watia nia wa udiwani na ubunge. Mbona sijasikia mkisema mna mtia nia ngazi Urais!?

Naona kama hizi bidii zenu ni kubwa sana kama vile zinachagizwa zaidi na Mgombea Urais kuliko hao watia nia wa Udiwani na Ubunge mnaowataja Kila siku.

Jee G55 kundi lenu halina mtia nia wa ngazi ya Urais?
Natamani wahamie vyama vingine na wapewe. nafasi ya kugombea
 
😀😆😃😄

Hizi harakati za hao watia nia wa Udiwani na Ubunge ni kafara tu.
Screenshot_20250422-125905_Instagram.jpg
 
Kila siku mnasema kundi lenu linawakilisha watia nia wa udiwani na ubunge. Mbona sijasikia mkisema mna mtia nia ngazi Urais!?

Naona kama hizi bidii zenu ni kubwa sana kama vile zinachagizwa zaidi na Mgombea Urais kuliko hao watia nia wa Udiwani na Ubunge mnaowataja Kila siku.

Jee G55 kundi lenu halina mtia nia wa ngazi ya Urais?
Ukiona mtoto wa mamba mjini ujue mama yake hayupo mbali🤣🤣🤣ila wameshafeli kabla yakuanza kama walishindwa uchaguzi wakiwa madarakani na wakiwa na pesa hakuna watachoweza kufanya
 
Back
Top Bottom