Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,107
tatizo ni gari aina gani?View attachment 507062 Salam,
Ufunguo umechomoka kwenye handle yake baada ya handle kubomoka. Nimeshaunga na gundi lakini wapi.... Je, naweza kupata hiyo handle yenye remote ya namna hiyo?? Na je ni rahisi kubadilisha huo utumbo wa remote toka kwenye Hilo kava kwenda kava lingine??? Au ni nini kifanyike????
NB
Sijabandika kuonyesha kuwa ninamiliki gari, kwa hiyo watembea kwa miguu msilete mapovu yenu hapa.
Hiyo menu ya ufunguo inatokea au itaonekana wapi ?, kwenye display ya gari ?Simple nunua remote nyingine kisha I program upya.
Lakini unatakiwa uwe ndani ya gari... Funguo yako unaiweka kwenye on position pale kwenye ignition.
Ukiletewa menu una reset then utakua tayari kutumia remote yako.
Gari kama hiyo lazima imekuja na kama kitv fulani ambacho unatumia kama radio.Hiyo menu ya ufunguo inatokea au itaonekana wapi ?, kwenye display ya gari ?
Suzuki maruti!!!tatizo ni gari aina gani?
Sio kila gari ni gari
Wacha kujishtukia, kwani kunamtu amekuambia kwamba unagari?View attachment 507062 Salam,
Ufunguo umechomoka kwenye handle yake baada ya handle kubomoka. Nimeshaunga na gundi lakini wapi.... Je, naweza kupata hiyo handle yenye remote ya namna hiyo?? Na je ni rahisi kubadilisha huo utumbo wa remote toka kwenye Hilo kava kwenda kava lingine??? Au ni nini kifanyike????
NB
Sijabandika kuonyesha kuwa ninamiliki gari, kwa hiyo watembea kwa miguu msilete mapovu yenu hapa.
Pole sana Mkuu, kama uko Dar nenda kule Mtaa wa Lumumba, kaongee na wale vijana waouza mapambo ya magari watakuelekeza sehemu ya kuchonga funguo na sehemu ya utakayopata cover ya hiyo sensor kama bado ni nzima. Mimi cover ya sensor ilipasuka nikabadilisha. Ila ufunguo na sensor havitakuwa pamoja kama ilvyokuwa, unaweza kuziweka pamoja kwa kutumia ring. Kama unahitaji ufafanuzi zaidi, njoo inbox.View attachment 507062 Salam,
Ufunguo umechomoka kwenye handle yake baada ya handle kubomoka. Nimeshaunga na gundi lakini wapi.... Je, naweza kupata hiyo handle yenye remote ya namna hiyo?? Na je ni rahisi kubadilisha huo utumbo wa remote toka kwenye Hilo kava kwenda kava lingine??? Au ni nini kifanyike????
NB
Sijabandika kuonyesha kuwa ninamiliki gari, kwa hiyo watembea kwa miguu msilete mapovu yenu hapa.