Funga kazi kwa ajli ya vodafone k3565-z and k3570-z zte modems "the best solution"

e2themiza

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
974
564
Habari zenu wakuu nikama muda sana ambapo watu kila siku wana uliza au bado hawafanikiwi kufaidika na kuweka line tofauti katia K3565-Z and

K3570-Z zte modems hizi zinazouzwa za vodacom ili kuweza kuweka line ya mtandao mwigine na kutumia vyema kabisa bila any problem...

wengine wanaweza shangaa kwanini nimefungua thread mpya kuzungumzia tena hili swala wakati limeshajadiliwa sana hapa na vile vile imetolewa

suluhu... na ikagundulika kuwa hizi modems haizija unlokiwa bali dashboard yake(vodafone mobile connect) imefungiwa isi kubal kusoma

line(mtandao) tofauti na VODACOM... vile vile watu waka post attach na vile vile kuweka links za dashboard ambazo ztaruhusu kusoma na

kuconnect line yoyote nyigine tofauti yenye mtandao wa GSM.. kwa mfano JOIN AIR 1.0... n.k mie nitaelezea kutoka mwanzo jinsi ya

jinsi ya kuweza kutumia kupitia JOIN AIR 1.0 dashboard kwa sababu pia watu mpaka leo bado wagumu kuelewa... BALI dhumuni ya hii THREAD

sana sana haija base sana jinsi ya kuweza kutumia JOIN AIR 1.0 bali ni kwamba kuta tatizo moja au USUMBUFU fulan unatokea na watu ambao

wanatumia DASHBOARD tofauti na vodafone mobile connect wata ungana na mimi... USUMBUFU unakuja pale ambapo UNALAZIMIKA

ukichomeka modem yako ya vodafone automatically ina run iyo vodafone mobile connect na vile vile inachukua muda kidogo kuload kwa

wale wenye pc zenye uwezo wa speed ndogo (RAM) vile vile ikishaload uiexit then sasa ufungue iyo dashboard nyigine ambayo itaruhusu

line zingine... sasa hi ni kero kidogo sana sana kwa Windows XP kwasababu ina automatically run bila kutoa prompts kama Windows 7..... sasa

nataka kueleza jinsi ya kudisable kautomatical autorun na kufunguka iyo dashboard ya vodafone mobile connect baada ya kujaribu njia nyinigi

kuizuia mpaka mwisho nimefanikiwa nitaelezea maelezo full kabisa kutumia JOIN AIR 1.0 apo chini maelezo yakifuatia na picha:

Mwanzo kabisa connect modem yako na automatically ita install vodafone mobile connect iache imalize kabisa na mpaka uone imefunguka

na umeweka line ya voda ni imeshika mtandao vyema kabia then exit vodafone mobile connect chomoa modem and chomoa line ya voda

na weka line tofauti ambazo unaweza kuweka line ya TIGO, AIRTEL na line ya ZANTEL ya GSM... then connect modem yako sasa iache ifunguke

automatically vodafone mobile connect kwa sasa mpaka italeta msg hii

one.JPG
Apo itatokea iyo msg click close

two.JPG three.JPG
Then utaona hivi ikikueambia kwamba haiwezi soma hyo line ok chakufanya ni kwenda chini kulia na kutafuta icon ya vodafone halafu

right click na chagua "Exit Vodafone Mobile Broadband"

four.JPG
Apo click Ok

Then sasa download JOIN AIR dashboard kupitia link hii apa ZTE Join Air-1.0.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download kisha install Then

ifungue apo chini ni picha ya dashboar ya JOIN AIR na nimeweka line ya ZANTEL ya GSM ambapo mwanzo kwenye vodafone mobile connect

sasa imefunguka na kusoma iyo line;


five.JPG

Then click settings

six.JPG
Then futisha na uclick sehemu kama kwenye picha kuanzia sehemu ya kwanza mpaka ya nne... kwenye sehemu ya PILI

unaweza weka jina lolote sehemu ya tatu andika kama ilivyo then click save

seven.JPG
Kisha apply then click OK

eight.JPG
Then Click Preferences.. sasa hapa ni muhimu sana kuwa makini nako utakuta iko selected Automatic lakini mie sikurecommend uchague Automatic kwann.. ni kwamba apa kuna selection ya 3G na GPRS/EDGE sasa ikiwa selcted automatic itachagua kuunga mtandoa ambao kwa eneo yako iko juu kati ya 3G na GPRS sasa kama 3G inashika mnara moja ni marakumi bora kuliko GPRS kujaa full so apo chagua iconnect manual na kuiforce ikamata 3G mpaka uone kabisa imegoma kata kata kuunga 3G ndo uselect GPRS/EDGE au pia kama kuna siku nyigine mtandao wa 3G haushiki so hii isikulazim usitumia net kabisa kwa siku iyo bali uchague GPRS/EDGE ili upate net vile vile sema speed kuwa ya kawaida na sio FAST kama 3G... then ksha click Apply and OK

nine.JPG

Then kisha click System na unchek iyo option ya ku automatically kufungua JOIN AIR pale utakapo chomeka modem yako na hii tuna uncheck kwa sasa tutaiselect tena badaye then click Apply ok then close kwasabau mpaka apo tumemaliza kuconfigure

ten.JPG eleven.JPG

Kama unavyo ona apo juu imeconnect bila shida kabisa

SASA TUNAKUJA PART MUHIMU PIA AU SULUHU YA KUPUNGUZA KERO YA KUSUBIRI KWANZA VODAFONE MOBILE CONNECT KUFUNGUKA

THEN KUICLOSE THEN KUFUNGUA JOIN AIR;

sasa cha kwanza ni kudownload hii software kupitia hii link right click na select open new tab na itaanza kudownload then isave kwenye

DESKTOP yako na WAHAKIKISHIA sio VIRUS coz PIA WENGINE HUOGOPA sana KUDOWNLOAD BINARY FILES zenye .exe.... link ya

kudownload hii apa http://the.earth.li/~sgtatham/putty/latest/x86/putty.exe

Then sasa apa pia muhimu sana pia kwanza kwa windows xp fungua CONTROL PANEL then select SYSTEM alafu hardware then select DEVICE

MANAGER... na kwa VISTA na SEVEN easily fungua STARTMENU then apo kwny search andika device manager na ifungue... then tafuta

ambapo imeandikwa MODEMS na fuatsha picha apo chini;

twelve.JPG
apoi utaona ona iyo modem then double click it then chagua modem THEN sasa apo pamuhimu ni kukariri iyo PORT kama

kwangu ni COM10 sasa ikariri hio then close apo funga iyo device manager close control panel kisha fungua iyo software niliyo kupa link apo

uidownload PUTTY

fourteen.JPG
Then iyo software itafunguka kwanza click session then click serial alafu apo kwenye serial line andika ile port uliokariri kutoka kule then click open

fifteen.JPG
Apo sasa unaitaji uangalifu na umakini wa kutosha kwanza uki open itakuwa blank kabisa first type kwny keyboard yako.... ANGALIZO inawezekana ucikione unachokiandika lakini bali jua inajiandika so ucishtuke nakuandika ivyo ivyo ata kama hauoni unachokiandika ... ok first andika ATX then click enter ikileta jibu kama apo mwanzo OK basi umachagua au umeandika PORT yenyewe then andika ATI then hit enter apo italeta maelezo juu ya modem yako kama apo juu kwenye picha sasa ukiona ime leta results fresh ok... sasa apa inakuja the MOST IMPORTANT PART andika hii kitu AT+ZCDRUN=8 angalia usikosee kama UMEKOSEA ukisha click enter ita leta ERROR but kama umepatia ita leta Close autorun state result (0:FAIL 1:SUCCESS) :1... hii ina ashiria imekubal na umefanikiwa sasa BAADA ya hapa usiclose iyo window

sixteen.JPG
Then right click iyo icon and select EJECT na itakuonyesha kuwa ur safe to remove iyo drive then CHOMOA modem yako

seventeen.JPG
Then rudi katika ile software na utaona error iyo UCIJALI just click OK then close iyo SOFTWARE.... apo utakuwa UMEFANIKIWA kudhibiti autorun ya modem yako bila hofu yoyote.... sasa basi kwa mfano UNGEPENDA RUDISHA i autorun fuata njia za mwanzo vile sema kwenye kuweka code i disable andika hii AT+ZCDRUN=9 then click ENTER utaona ime andika Open autorun state result (0:FAIL 1:SUCCESS) :1 then EJECT alafu CHOMOA kama mwanzo then close iyo software na sasa ukichomeka tena utaona imerudi kama MWANZO na kufunguka AUTOMATICALLy


Sasa iyo picha chini ina THIBITISHA kama imekubali kuto ku autorun kwasababu ukianglaia kwneye My Computer iyo icon haipo kabisa lakin

Kwenye dashboard imesoma na kuconncet fresh kabisa

Last.JPG

Then sasa fungua dashboard ya JOIN AIR

eighteen.JPG
Sasa rudi tena kweney system na i check iyo option tulio uncheck mwanzo hii sio lazima lakini kwa wale wangeopenda ukichomeka modem tu ifunguke automatically JOIN AIR THEN select iyo OPTION apply then ok and now sasa utaweza kuconnect na line yoyote fast na bila usumbufu wowote


YAP MPAKA APO NIMEFIKIA MWISHO WA MAELEZO NA I HOPE KUWA MTAFANIKIWA NA KUONA HII

THREAD INA MSAADA KWAKO NI HAYO 2 HOPE MTAFANIKIWA ALL THE BEST NA NIGEPENDA KUONA

FEEDBACKS!
 

Attachments

  • thirteen.JPG
    thirteen.JPG
    75.2 KB · Views: 116
  • fifteen.JPG
    fifteen.JPG
    20.2 KB · Views: 91
  • seventeen.JPG
    seventeen.JPG
    26.9 KB · Views: 95
Duh! Yote hii kisa uchakachuaji? Na voda nao si wanasoma hapa?
Hehehe kuna uchakachuaji wa kupm watu

lakini sio hii kwan wakishaona watafanyaje kwan coz sasa mzigo walionao au modem wanazouzwa ndo models hzo na sio apa 2 hzo models

zinauzwa sehemu bali mbali hawawezi zibiti kitu apa tena TANZANIA hiii hehehehehehe! we faidika 2 na modem yako ya vodafone ndo maana pia

nikafikiria na kuficha imei yangu kuto kudisplay full apo labda ndo kidogo wangeweza kuniblock mimi lakini hamna njia nyigine so ndo maana

nimewaga vyote furuu bila kuhofia kitu...
 
Du kaaaazi kweli kweli, nimechoka kabisa na bongo ila big up mkuu kazi nzuri. Ngoja nianze nisipofanikiwa nitakuja tena
 
mi nimejaribu lakin imedownload file ambayo siyo program bali ni docment
OK labda ugeniambia software ipi kati ya izo mbili umedownload lakini ni DOCUMENT.... link nyigine

ya JOIN AIR hii apa ZTE Join Air-1.0_NEW.zip - 4shared.com - online file sharing and storage - download... na vile vile iyo software ya pili ni

http://the.earth.li/~sgtatham/putty/latest/x86/putty.exe .... au kisa ni RAR file lazima uwe na WINRAR ili uweze kuextract iyo faili ya JOIN AIR 1.0
 
Itakuwa tayar imechakachulika? Ukienda weka ktk pc nyngne inabd urudie hzo procedure?
Hiyo apo juu ni

SOFT method vile vile kuna HARD method ambapo unatoa iyo ISO IMAGE ya VODAFONE MOBILE CONNECT na kuweka ya JOIN AIR na vile vile hii

kitu ilishaelezewa apa laknini mimi sirecommend utumie iyo HARD method mara inaweza ikakupelekea kwa kuharibu modem yako coz lazima uwe na

umakini sana kufanya hio process na huwa inachukua muda sana.. vile vile sioni ulazimu wa kufuta iyo vodafone mobile connect kwanza ina WIFI

connection ina kamata na unaweza ukaconnectia WIFI n.k.... na kuhusu kuwa imechakachuliwa kabisa sorry lakini hii ni TEMPORARY method sio

PERMANENT but kama unajiamini na unataka kuiflash na kuiset iwe ina JOIN AIR PERMANENTLY tembelea link hii ndo nilipopata kuelewa zaidi na

kupata kuweza kufanikiwa na iyo njia niliyoelezea link hii apa ZTE K3565-Z (Vodafone) - 3G modem wiki apo utaona

kuna HARD WAY pia.
 
The simplest way is just upgrade the dashboard by putting join air as the default dashboard or u can combine both of them and the user will select which dashboard to use..i can do that with zte modems.
 
kwanza asante kwa taarifa nzuri zitakasaidia kumiliki modem zisizo na idadi, msaada: hivi kuna software ambayo utaweka kwa cdma modem na ikaweza soma line nyingine kama ttcl au sasatel? Maana nipo na zantel modem ec122 ina mahali pa kuweka laini lakini inakuwa shida kusoma line nyingine ambazo zipo ktk mfumo mmoja
 
njia rahisi ninayotumia mie ni hii hapa mkuu. kama umeshainstall ile vodafone mobile connect basi itowe na kama kuna dashboard zote basi zi uninstall. pamoja na drivers. kama bado basi usi zinstall kabisa kabisa.
cha kufanya ni kutumia alternative drivers, wala usitumie drivers za vodafone zinokuwepo kwenye modem by default.
tumia drivers hizi hapa Download Win ZTEDrv zip
na kisha unaweza kutumia dashboard uipendayo isiwe ile ya vodafone tu , mie natumia Telstra Turbo Connection Manager na pia nikitaka natumia internet key hii hapa Download ZTE K3765 WinXP Vista zip
kazi ni kwako
au hama tigo hamia airtel weye ndugu jamaa na marafiki zako
 
Back
Top Bottom