Freeman Mbowe achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,514
6,017
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), makamu wake akiwa ni Kiongozi wa Chama Cha ACTwazalendo, Dorothy Semu.
GRAG9_zWgAAGHIb.jpeg
 
Lisu huko aliko atakuwa kachanganyikiwa Kuona Mbowe.ndie.mwenyekiti.ea TCD ambaye watakaa pamoja na wenyeviti wa vyama Akiwemo Samia
 
Back
Top Bottom