Free vpn for internet

Sawa!si kila tajiri kwamba alifanikiwa kwa njia halali aukwa kufanya kazi sana acha ujinga.
Ona ulivyo mpumbavu sasa,, nikushauri tu ujinga wako ni kheri ukaudhuhirishe Fb huko na siyo huku.

Ishu yenyewe unayoitaka ni illegal halafu unataka kuleta ujuaji wa kipumbavu , jinga kweli wewe.
 
Ona ulivyo mpumbavu sasa,, nikushauri tu ujinga wako ni kheri ukaudhuhirishe Fb huko na siyo huku.

Ishu yenyewe unayoitaka ni illegal halafu unataka kuleta ujuaji wa kipumbavu , jinga kweli wewe.
We unafikiri heckers wote hawana hela au wanaupeo mdogo wa kufikili kama wewe kama huna si unapita tu kimya kimya
 
We unafikiri heckers wote hawana hela au wanaupeo mdogo wa kufikili kama wewe kama huna si unapita tu kimya kimya
Heckers = hacker,, ishu ni illegal halafu unakuja kuuliza mbele ya kadamnasi kama hivi kama siyo kudhihirisha matope uliyo jaza kichwani ni nini????

Hao hao ma hacker unao waongelea, bado vpn za bure wanazo na wanatamba nazo,, lakini kwa sababu ya wajinga kama wewe wanapost kitu bila ya kufikiria nje ya box nashauri hata wasigawe kabisa, uendelee kuteseka hivyo hivyo SHWAIN KABISA 🤒 😎
 
Heckers = hacker,, ishu ni illegal halafu unakuja kuuliza mbele ya kadamnasi kama hivi kama siyo kudhihirisha matope uliyo jaza kichwani ni nini????

Hao hao ma hacker unao waongelea, bado vpn za bure wanazo na wanatamba nazo,, lakini kwa sababu ya wajinga kama wewe wanapost kitu bila ya kufikiria nje ya box nashauri hata wasigawe kabisa, uendelee kuteseka hivyo hivyo SHWAIN KABISA 🤒 😎
Kwani mbona una makasiliko sana mzee tatizo lako nini,mi nimesema mwenye nayo anitumie inbox shida iko wapi au unauza vifurushi nini unaona soko linadoda
 
Kwani mbona una makasiliko sana mzee tatizo lako nini,mi nimesema mwenye nayo anitumie inbox shida iko wapi au unauza vifurushi nini unaona soko linadoda
Nakusikitikia wewe mjinga mwenye upeo mdogo wa kufikiri,, unadhani labda kwa kutangaza kama hivi hiyo vpn unayoitaka utaipata??

Pole sana,, siku ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri, utakuja kugundua ulichoki post leo ni ujinga wa hali ya juu 🤒😎
 
Nakusikitikia wewe mjinga mwenye upeo mdogo wa kufikiri,, unadhani labda kwa kutangaza kama hivi hiyo vpn unayoitaka utaipata??

Pole sana,, siku ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri, utakuja kugundua ulichoki post leo ni ujinga wa hali ya juu 🤒😎
Sawa!tuachane na hiyo mada
 
WAkuu kutokana na tigo kupiga lock baadhi ya vpn zilizokua zinatrend hapa kati basi imeniwia vigumu kwa upande wangu,kwahivyo kwa yeyote mwenye vpn ya bule kwa sasa naomba anitumie inbox plz!!!asiweke hadharani watu wabaya wasije wakachomesha tena
Kwa huzuni na masikito makubwa ni kwamba tigo tanzania kupitia sheria zake imeamua kubadili masafa yake ya mtandao ambayo yalikuwa UDP. kwa maana huyo hakuna VPN itakayotoa tena free net kupitia tigo mbali na hapo ni utapeli, njia pekee ya kurudisha matumizi ya VPN za free net UDP ni kuongea na tigo wenyewe
 
Kwa huzuni na masikito makubwa ni kwamba tigo tanzania kupitia sheria zake imeamua kubadili masafa yake ya mtandao ambayo yalikuwa UDP. kwa maana huyo hakuna VPN itakayotoa tena free net kupitia tigo mbali na hapo ni utapeli, njia pekee ya kurudisha matumizi ya VPN za free net UDP ni kuongea na tigo wenyewe
Hilo ndio jibu mjarabu na sio mwamba mmoja hapo juu kaporomosha matusi sijui ana hisa tigo hongera bhana kwa jibu lako na ahsant
 
Back
Top Bottom