Hembu kuwa muwazi hizo gharama za mpangaji anaeondoka.
Halafu unasema kuna patishen nne ?ukubwa huo ni sawa na 12meters by 4.5meters,mbona ndogo saana kulingana na sifa umezoipa,
La pili
Maana siku hizi watu kwa kuchomekea,inamaana hamkukubaliana akiweka Tiles na luuku iwe inakatwa kwenye kodi?
Maana Luku,Aluminiun na Tiles kwa ukubwa huo sio chini ya 3m ambazo anatakiwa alipe mpangaji mpya,kwa biashara gani ya kuingiza pesa hiyo..
Sasa ili mtu apange hapo,inabidi awe na 13millions kama kodi na gharama za mpangaji alieondoka.
Aisee hembu jipangeni wakuu,