Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Nina binti yangu kamaliza Form Six kachaguliwa kwenda jeshi.
Nilikua nauliza je asipoenda inakuaje? Kuna hatua gani wanachukuliwa?
Maana yeye alipokua Form Two alifanyiwa operation KCMC ya tumbo.
Naombeni mwenye kufaham anijushe
Nilikua nauliza je asipoenda inakuaje? Kuna hatua gani wanachukuliwa?
Maana yeye alipokua Form Two alifanyiwa operation KCMC ya tumbo.
Naombeni mwenye kufaham anijushe