Fatma Karume: Hakuna binadamu asiyekosea lakini siyo kumtumia Maulid kumchafua Zuhura Yunus kwa majungu ya kipuuzi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
89,691
155,305
1000059106.jpg

Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema si haki kumshambulia Zuhura Yunus kwa Sababu ya kubadilishiwa kituo Cha Kazi

Karume amesema Zuhura ni rafiki yake na anakerwa sana na Maulid Kitenge anayetumwa kumchafua

Fatma Karume amelalamika Ukurasani X

Nawatakia Dominica Njema 😀
 
View attachment 3012794
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema si haki kumshambulia Zuhura Yunus kwa Sababu ya kubadilishiwa kituo Cha Kazi

Karume amesema Zuhura ni rafiki yake na anakerwa sana na Maulid Kitenge anayetumwa kumchafua

Fatma Karume amelalamika Ukurasani X

Nawatakia Dominica Njema 😀
Ukisikia mbwa anabweka ujue ana anayemlisha. Fatuma Karume anajifanya hamji Abdul ni nani?
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema si haki kumshambulia Zuhura Yunus kwa Sababu ya kubadilishiwa kituo Cha Kazi

Karume amesema Zuhura ni rafiki yake na anakerwa sana na Maulid Kitenge anayetumwa kumchafua

Fatma Karume amelalamika Ukurasani X

Nawatakia Dominica Njema 😀
Nafikiri kosa analo Zuhura Yunus mwenyewe. Kwa Nini alikubali kuacha kazi kwenye taasisi imara na yenye hadhi kubwa duniani Kama BBC na kisha kukubali uteuzi wa kisiasa kutoka kwa Watawala wa nchi za ki-Afrika ambako anajua wazi kabisa kwamba kuna Siasa chafu Sana za majitaka ya mtaro??
Hakuna mtu wa kumlaumu Bali ajilaumu yeye mwenyewe kwa kufanya Uamuzi usiokuwa sahihi.
Ukilikoroga lazima ulinywe!

Let her reap what she sow!
 
Nafikiri kosa analo Zuhura Yunus mwenyewe. Kwa Nini alikubali kuacha kazi kwenye taasisi imara na yenye hadhi kubwa duniani Kama BBC na kisha kukubali uteuzi wa kisiasa kutoka kwa Watawala wa nchi za ki-Afrika ambako anajua wazi kabisa kwamba kuna Siasa chafu Sana za majitaka ya mtaro??
Hakuna mtu wa kumlaumu Bali ajilaumu yeye mwenyewe kwa kufanya Uamuzi usiokuwa sahihi.
Ukilikoroga lazima ulinywe!

Let her reap what she sow!
Kufanya kazi Ikulu (Serikali Kuu ya nchi yoyote) ni bonge la C.V popote utakapoenda duniani. Wacha kujidanganya! Hao BBC wenyewe wanaelewa hilo ingawa ni ikulu kutoka nchi iliyo Afrika.
 
Kufanya kazi Ikulu (Serikali Kuu ya nchi yoyote) ni bonge la C.V popote utakapoenda duniani. Wacha kujidanganya! Hao BBC wenyewe wanaelewa hilo ingawa ni ikulu kutoka nchi iliyo Afrika.
It depends, siyo kila Ikulu ya nchi fulani hapa duniani ina hadhi nzuri au ina sifa njema.

Kwa mfano, leo hii wewe upate uteuzi wa kufanya kazi Ikulu kutoka katika Ikulu ya nchi ya Haiti au Ikulu ya nchi ya Korea ya Kaskazini, Je, utakubali kupokea uteuzi huo??
 
View attachment 3012794
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema si haki kumshambulia Zuhura Yunus kwa Sababu ya kubadilishiwa kituo Cha Kazi

Karume amesema Zuhura ni rafiki yake na anakerwa sana na Maulid Kitenge anayetumwa kumchafua

Fatma Karume amelalamika Ukurasani X

Nawatakia Dominica Njema 😀
Naunga mkono hoja!.
P
 
Back
Top Bottom