GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,422
- 120,747
Kuna Kipindi nakumbuka ( nikiwa kama Msikilizaji Balozi na Mwandamizi wa Kipindi chao nikipendacho cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One kila Jumapili Saa 1 na Nusu Asubuhi hadi Saa 4 Kamili Asubuhi ) aliwahi 'Kufiwa' na Dada yake tena wa toka nitoke ila wala hakuwa katika Majonzi na alisahau ghafla na wala hakutaka Kutukumbusha Wasikilizaji wake kama alifiwa.
Katika hali isiyo ya Kawaida Mtangazaji wa ITV na Radio One Farhia Middley leo tokea awe katika Kipindi cha Mazungumzo ya Familia anatumia muda mwingi Kumpongeza, Kumpamba na hata Kuonyesha Mahaba yake ya 'Kiagape' kwa DC Mteule wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kiasi cha mpaka ameshindwa Kufanya Kipindi na muda mwingi akiwa analia tu Studioni na hata Kutoka nje na Kurejea kwa 'Kupetiwapetiwa' na Wenzake.
Ombi Kwako Mheshimiwa Rais Samia kama 'ikikupendeza' nakuomba Mteue Mtangazaji Farhia Middley awe kati ya DED au DAS wa Mwanga ili aendelee kuwa karibu na Mtangazaji ( DC Mteule wa Mwanga ) Abdallah Mwaipaya kwani ameshaonyesha kuwa kuanzia sasa Kiutendaji hatokuwa na 'Ufanisi' tena kwakuwa 'Kipenzi' chake ( wake ) hatokuwepo tena katika Studio za ITV na Radio One pale 'Mjengoni' Mikocheni.
Katika hali isiyo ya Kawaida Mtangazaji wa ITV na Radio One Farhia Middley leo tokea awe katika Kipindi cha Mazungumzo ya Familia anatumia muda mwingi Kumpongeza, Kumpamba na hata Kuonyesha Mahaba yake ya 'Kiagape' kwa DC Mteule wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kiasi cha mpaka ameshindwa Kufanya Kipindi na muda mwingi akiwa analia tu Studioni na hata Kutoka nje na Kurejea kwa 'Kupetiwapetiwa' na Wenzake.
Ombi Kwako Mheshimiwa Rais Samia kama 'ikikupendeza' nakuomba Mteue Mtangazaji Farhia Middley awe kati ya DED au DAS wa Mwanga ili aendelee kuwa karibu na Mtangazaji ( DC Mteule wa Mwanga ) Abdallah Mwaipaya kwani ameshaonyesha kuwa kuanzia sasa Kiutendaji hatokuwa na 'Ufanisi' tena kwakuwa 'Kipenzi' chake ( wake ) hatokuwepo tena katika Studio za ITV na Radio One pale 'Mjengoni' Mikocheni.