hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,916
Ukiona hivyo hilo deni halina faida mwilini
Ni Gazeti la waandishi makanjanjaBwahahahahaha ili nalo gazeti,.. Aaeseeh hatariii
Watu kila siku wanajinyonga kwaajili ya madeni harafu gazeti linakuja linaandika faida za madeni mwili.Ni Gazeti la waandishi makanjanja
Hahaaa. Sasa faida si utazikosa mana faida yake ni pale utakapokuwa unawaza namna ya kulipa huku mfukoni huna kitu.
Mkuu pale utakapopelekwa polisi kwa kushindwa kulipa ndio utajua kukopa sio afyayaliyozungumuzwa yanaukweri wake. jamani tukope kwa ajili ya afya bora na kuongeza akili kwenye ubongo
Ndio ukope mkuu ili upate hizo faidaBwahahahahaha ili nalo gazeti,.. Aaeseeh hatariii
Hivyo shemela hapo una madeni ya kufa mtu?mwanaume lazima uwe una madeni
Ndio ukope mkuu ili upate hizo faida
Bora aisee basi uko kama mimi wacha hizo faida zitupite tu pembeni.Mimi sikopi,...
yapo tena ni hivi nataka nikukope shemeji ngoja niandae uongoHivyo shemela hapo una madeni ya kufa mtu?