Ex wangu na mwanamke wake wananisumbua

kadogo2

JF-Expert Member
Feb 16, 2024
642
1,181
Nipo na makasiriko pamoja na huzuni.. daah nyie wanaume mtakuja kutuua wanawake

Basi bwana nina huyo ex wangu king’ang’anizi yaani hataki kuachana na Mimi iwe jua ama mvua…

Kuna mwanamke anaishi nae ana ujauzito nahisi miezi 7 or 8 hiko ndio kitu kilichofanya nisitake kurudiana nae

Sasa mimi nimeamua ku move on na maisha yangu, akinipigia simu sipokei wala sijibu sms zake huu ni mwezi wa 2 Ila yeye kila siku kunitafuta hachoki yaani Kama chakula, Asubuhi mchana jioni

Jana nikashanga namba ngeni ila ina picha ya huyo ex wangu dp.. nikajua ni yeye nikaona nimjibu maana mpk anatumia namba ngeni labda kuna jambo la muhimu… huwezi amini hilo ndio kosa nimejutia kufanya mpk najisikia vibaya

Ile namba ni namba ya huyo dada wanaeishi pamoja sijui kakuta sms za zamani na miamala ya pesa nikitumiwa mimi ugomvi ukaanzia hapo akawa anajibamiza et atoe mimba mara anataka kujiua( Hii nimepewa na wifi yaani dada ake ex wangu) kwaiyo dada ndio akaamua kunitafuta

Kusema ukweli nilikwaZika nikaona Kama wananisumbua yeye na mpenzi wake maana alikuwa ananitambia ooh sijui nini nikajisikia vibaya na Mimi nikaanza kumwambia habari za uongo kusema ukweli tumetukanana sana

Hapa sasa najisikia vibaya kwa niliyoyafanya nimejisikia huruma ila pia najisikia kuumia moyo wangu sina raha

Sikuwai kuwaza Kama nitakuja kugombania mwanaume na kuzozana na mwanamke mwenzangu kisa mwanaume

Ex wangu nampenda ila sina namna ya kuwa nae

Wote tuna Miaka 24 kuanzia mwanaume mimi na huyo mwanamke wake

Nimechoka kujielezea
 
images.jpeg
 
Nipo na makasiriko pamoja na huzuni.. daah nyie wanaume mtakuja kutuua wanawake

Basi bwana nina huyo ex wangu king’ang’anizi yaani hataki kuachana na Mimi iwe jua ama mvua…

Kuna mwanamke anaishi nae ana ujauzito nahisi miezi 7 or 8 hiko ndio kitu kilichofanya nisitake kurudiana nae

Sasa mimi nimeamua ku move on na maisha yangu, akinipigia simu sipokei wala sijibu sms zake huu ni mwezi wa 2 Ila yeye kila siku kunitafuta hachoki yaani Kama chakula, Asubuhi mchana jioni

Jana nikashanga namba ngeni ila ina picha ya huyo ex wangu dp.. nikajua ni yeye nikaona nimjibu maana mpk anatumia namba ngeni labda kuna jambo la muhimu… huwezi amini hilo ndio kosa nimejutia kufanya mpk najisikia vibaya

Ile namba ni namba ya huyo dada wanaeishi pamoja sijui kakuta sms za zamani na miamala ya pesa nikitumiwa mimi ugomvi ukaanzia hapo akawa anajibamiza et atoe mimba mara anataka kujiua( Hii nimepewa na wifi yaani dada ake ex wangu) kwaiyo dada ndio akaamua kunitafuta

Kusema ukweli nilikwaZika nikaona Kama wananisumbua yeye na mpenzi wake maana alikuwa ananitambia ooh sijui nini nikajisikia vibaya na Mimi nikaanza kumwambia habari za uongo kusema ukweli tumetukanana sana

Hapa sasa najisikia vibaya kwa niliyoyafanya nimejisikia huruma ila pia najisikia kuumia moyo wangu sina raha

Sikuwai kuwaza Kama nitakuja kugombania mwanaume na kuzozana na mwanamke mwenzangu kisa mwanaume

Ex wangu nampenda ila sina namna ya kuwa nae

Wote tuna Miaka 24 kuanzia mwanaume mimi na huyo mwanamke wake

Nimechoka kujielezea
Unashindwa mbinu za kumwachisha penzi X wako, je kumwachisha ziwa mwanao muda ukifika utaweza?

Waweza kumwacha tu aendelee kukunyonya eti kwa sababu unamhurumia ?

Wewe siyo mtu mzuri, huna uamzi na msimamo binafsi wenye kueleweka.

Huruma gani za hivyo ulizonazo wewe, penzi la kwenye nafsi yako unalifanya kuwa shamba la bibi, kila mtu avune tu anavyotaka, loh!
 
Nipo na makasiriko pamoja na huzuni.. daah nyie wanaume mtakuja kutuua wanawake

Basi bwana nina huyo ex wangu king’ang’anizi yaani hataki kuachana na Mimi iwe jua ama mvua…

Kuna mwanamke anaishi nae ana ujauzito nahisi miezi 7 or 8 hiko ndio kitu kilichofanya nisitake kurudiana nae

Sasa mimi nimeamua ku move on na maisha yangu, akinipigia simu sipokei wala sijibu sms zake huu ni mwezi wa 2 Ila yeye kila siku kunitafuta hachoki yaani Kama chakula, Asubuhi mchana jioni

Jana nikashanga namba ngeni ila ina picha ya huyo ex wangu dp.. nikajua ni yeye nikaona nimjibu maana mpk anatumia namba ngeni labda kuna jambo la muhimu… huwezi amini hilo ndio kosa nimejutia kufanya mpk najisikia vibaya

Ile namba ni namba ya huyo dada wanaeishi pamoja sijui kakuta sms za zamani na miamala ya pesa nikitumiwa mimi ugomvi ukaanzia hapo akawa anajibamiza et atoe mimba mara anataka kujiua( Hii nimepewa na wifi yaani dada ake ex wangu) kwaiyo dada ndio akaamua kunitafuta

Kusema ukweli nilikwaZika nikaona Kama wananisumbua yeye na mpenzi wake maana alikuwa ananitambia ooh sijui nini nikajisikia vibaya na Mimi nikaanza kumwambia habari za uongo kusema ukweli tumetukanana sana

Hapa sasa najisikia vibaya kwa niliyoyafanya nimejisikia huruma ila pia najisikia kuumia moyo wangu sina raha

Sikuwai kuwaza Kama nitakuja kugombania mwanaume na kuzozana na mwanamke mwenzangu kisa mwanaume

Ex wangu nampenda ila sina namna ya kuwa nae

Wote tuna Miaka 24 kuanzia mwanaume mimi na huyo mwanamke wake

Nimechoka kujielezea
Umeutaka, unaitaka, unautaka tena
 
Back
Top Bottom