Elimu hii muhimu sana hukufundishwa shuleni, ipate hapa

Makirita Amani

JF-Expert Member
Jun 6, 2012
1,912
3,389
Rafiki yangu mpendwa,

Kwa miaka yoyote ambayo ulikaa shuleni, ulifundishwa mambo mengi sana. Lakini kuna elimu moja muhimu sana ambayo hukufundishwa na ndiyo inayokutesa mpaka leo.

Ulifundishwa historia za mambo ya kale, jografia ya maeneo mbalimbali, sayansi ya viumbe wote na hisabati za kukokotoa mengi. Yote hayo ulikazaniwa sana kuyajua hata kwa kukariri.

Leo hii kwenye maisha yako, huyatumii kabisa hayo mengi uliyojifunza. Kwa maisha unayoishi na shughuli unazofanya, mengi sana uliyokazaniwa kuyajua huyatumii kabisa.

Lakini kuna kitu kimoja ambacho unakitumia kila siku ya maisha yako na hukufundishwa kabisa shuleni. Kitu hicho ni fedha.

Hakuna siku itakayopita kwenye maisha yako bila kufikiria kuhusu fedha. Ndiyo zinakufanya uwahi kuamka na uchelewe kulala. Unatumia muda wako wote kufikiria na kuhofu kuhusu fedha.

Pamoja na umuhimu huo mkubwa wa fedha, hukufundishwa kabisa shuleni. Na hilo ndiyo limepelekea swala la fedha kuwa gumu sana kwako.

Kwa sababu eneo la fedha ni ujuzi kama ilivyo ujuzi mwingine. Ili uwe vizuri kifedha ni lazima ujijengee ujuzi wa aina tatu.

Ujuzi huo ni KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha. Usipokuwa na ujuzi huo wa aina tatu kwa uhakika, utasumbuka sana kifedha.

TANGAZO-SEMINA.jpg

Rafiki, leo nina habari njema sana kwako kuhusu mahali sahihi unapoweza kupata elimu ya fedha uliyoikosa shuleni. Kuna fursa nzuri kwako kupata elimu na hatua za kuchukua ili kuwa vizuri kwenye eneo hilo la kifedha.

Mahali hapo ni SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 ambayo taarifa zake ziko hapo chini. Pitia kwa makini kisha chukua hatua mara moja.


View: https://youtu.be/llwvmiTDxCc

Karibu Kwenye SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024.

Semina hii inakwenda kukupa maarifa sahihi ya KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha kwa kutumia nguzo saba unazopaswa kuzijua.


Nguzo hizo saba za kukuwezesha kuwa imara kifedha ni kama ifuatavyo;


1. KIPATO; Kikubwa, Uhakika na Endelevu.

2. AKIBA; Dharura, Malengo na Nidhamu.

3. MATUMIZI; Mahitaji, Matakwa na Anasa.

4. MADENI; Mazuri, Mabaya na Kutokomeza.

5. MATOLEO; Sadaka, Misaada na Kodi.

6. UWEKEZAJI; Masoko, Hatifungani na Mali.

7. ULINZI (BIMA); Afya, Mali na Maisha

Kwenye nguzo hizo saba unakwenda kujifunza kwa vitendo na kutoka na hatua za kwenda kuchukua ili uwe imara kifedha.

Hupaswi kukosa SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 kama upo makini na fedha zako.

Semina itafanyika Mbezi Garden Hotel DSM tarehe 27/10/2024.

Ada ya kushiriki semina ni Tsh 65,000/= Kama utalipa kabla ya tarehe 01/10/2024 na kuanzia tarehe 01/10/2024 ada ya kushiriki itakuwa Tsh 100,000/=.

Kushiriki piga simu au tuma ujumbe wa kawaida au kwa wasap kwenda namba 0752977170 wenye maneno SEMINA 2024 na utapewa utaratibu mzima na nafasi ya kushiriki.

Karibu rafiki uchukue hatua sasa ili kufanya uwekezaji bora kabisa kwako, utakaoacha alama kubwa kifedha kwako.

Kutoka kwa rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,

Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE.

Daktari |Mwandishi |Kocha |Mkufunzi
 
Rafiki yangu mpendwa,


Kwa miaka yoyote ambayo ulikaa shuleni, ulifundishwa mambo mengi sana. Lakini kuna elimu moja muhimu sana ambayo hukufundishwa na ndiyo inayokutesa mpaka leo.


Ulifundishwa historia za mambo ya kale, jografia ya maeneo mbalimbali, sayansi ya viumbe wote na hisabati za kukokotoa mengi. Yote hayo ulikazaniwa sana kuyajua hata kwa kukariri.


Leo hii kwenye maisha yako, huyatumii kabisa hayo mengi uliyojifunza. Kwa maisha unayoishi na shughuli unazofanya, mengi sana uliyokazaniwa kuyajua huyatumii kabisa.


Lakini kuna kitu kimoja ambacho unakitumia kila siku ya maisha yako na hukufundishwa kabisa shuleni. Kitu hicho ni fedha.


Hakuna siku itakayopita kwenye maisha yako bila kufikiria kuhusu fedha. Ndiyo zinakufanya uwahi kuamka na uchelewe kulala. Unatumia muda wako wote kufikiria na kuhofu kuhusu fedha.


Pamoja na umuhimu huo mkubwa wa fedha, hukufundishwa kabisa shuleni. Na hilo ndiyo limepelekea swala la fedha kuwa gumu sana kwako.


Kwa sababu eneo la fedha ni ujuzi kama ilivyo ujuzi mwingine. Ili uwe vizuri kifedha ni lazima ujijengee ujuzi wa aina tatu.


Ujuzi huo ni KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha. Usipokuwa na ujuzi huo wa aina tatu kwa uhakika, utasumbuka sana kifedha.

TANGAZO-SEMINA.jpg

Rafiki, leo nina habari njema sana kwako kuhusu mahali sahihi unapoweza kupata elimu ya fedha uliyoikosa shuleni. Kuna fursa nzuri kwako kupata elimu na hatua za kuchukua ili kuwa vizuri kwenye eneo hilo la kifedha.


Mahali hapo ni SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 ambayo taarifa zake ziko hapo chini. Pitia kwa makini kisha chukua hatua mara moja.



View: https://youtu.be/llwvmiTDxCc

Karibu Kwenye SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024.


Semina hii inakwenda kukupa maarifa sahihi ya KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha kwa kutumia nguzo saba unazopaswa kuzijua.


Nguzo hizo saba za kukuwezesha kuwa imara kifedha ni kama ifuatavyo;


1. KIPATO; Kikubwa, Uhakika na Endelevu.


2. AKIBA; Dharura, Malengo na Nidhamu.


3. MATUMIZI; Mahitaji, Matakwa na Anasa.


4. MADENI; Mazuri, Mabaya na Kutokomeza.


5. MATOLEO; Sadaka, Misaada na Kodi.


6. UWEKEZAJI; Masoko, Hatifungani na Mali.


7. ULINZI (BIMA); Afya, Mali na Maisha


Kwenye nguzo hizo saba unakwenda kujifunza kwa vitendo na kutoka na hatua za kwenda kuchukua ili uwe imara kifedha.


Hupaswi kukosa SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 kama upo makini na fedha zako.


Semina itafanyika Mbezi Garden Hotel DSM tarehe 27/10/2024.


Ada ya kushiriki semina ni Tsh 65,000/= Kama utalipa kabla ya tarehe 01/10/2024 na kuanzia tarehe 01/10/2024 ada ya kushiriki itakuwa Tsh 100,000/=.


Kushiriki piga simu au tuma ujumbe wa kawaida au kwa wasap kwenda namba 0752977170 wenye maneno SEMINA 2024 na utapewa utaratibu mzima na nafasi ya kushiriki.


Karibu rafiki uchukue hatua sasa ili kufanya uwekezaji bora kabisa kwako, utakaoacha alama kubwa kifedha kwako.


Kutoka kwa rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,


Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE.


Daktari |Mwandishi |Kocha |Mkufunzi

Wewe una shillingi ngapi Benki mpaka uje utufundishe sisi?. Bila kuweka bank statement tuone salio lako wewe mtoa mada/ muendesha semina itakuwa ni sawa na comedy tu.

Kama unazo fedha kweli kutokana na uelewa wako basi fanya semina isiwe na kiingilio! Iwe BURE
 
Kwahiyo Mkuu,unataka tukulipe Tshs 65,000 ili utufundishe jinsi ya kutunza fedha zetu?
Kwanini tusianze kuitunza hiyo Tshs 65K yetu?

Au mimi ndio sijaelewa?

Wanangu wa huko mjini Daslamu ufafanuzi unahitajika tafadhali,

Anyway all the best mleta mada.
 
Rafiki yangu mpendwa,

Kwa miaka yoyote ambayo ulikaa shuleni, ulifundishwa mambo mengi sana. Lakini kuna elimu moja muhimu sana ambayo hukufundishwa na ndiyo inayokutesa mpaka leo.

Ulifundishwa historia za mambo ya kale, jografia ya maeneo mbalimbali, sayansi ya viumbe wote na hisabati za kukokotoa mengi. Yote hayo ulikazaniwa sana kuyajua hata kwa kukariri.

Leo hii kwenye maisha yako, huyatumii kabisa hayo mengi uliyojifunza. Kwa maisha unayoishi na shughuli unazofanya, mengi sana uliyokazaniwa kuyajua huyatumii kabisa.

Lakini kuna kitu kimoja ambacho unakitumia kila siku ya maisha yako na hukufundishwa kabisa shuleni. Kitu hicho ni fedha.

Hakuna siku itakayopita kwenye maisha yako bila kufikiria kuhusu fedha. Ndiyo zinakufanya uwahi kuamka na uchelewe kulala. Unatumia muda wako wote kufikiria na kuhofu kuhusu fedha.

Pamoja na umuhimu huo mkubwa wa fedha, hukufundishwa kabisa shuleni. Na hilo ndiyo limepelekea swala la fedha kuwa gumu sana kwako.

Kwa sababu eneo la fedha ni ujuzi kama ilivyo ujuzi mwingine. Ili uwe vizuri kifedha ni lazima ujijengee ujuzi wa aina tatu.

Ujuzi huo ni KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha. Usipokuwa na ujuzi huo wa aina tatu kwa uhakika, utasumbuka sana kifedha.

TANGAZO-SEMINA.jpg

Rafiki, leo nina habari njema sana kwako kuhusu mahali sahihi unapoweza kupata elimu ya fedha uliyoikosa shuleni. Kuna fursa nzuri kwako kupata elimu na hatua za kuchukua ili kuwa vizuri kwenye eneo hilo la kifedha.


Mahali hapo ni SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 ambayo taarifa zake ziko hapo chini. Pitia kwa makini kisha chukua hatua mara moja.


View: https://youtu.be/llwvmiTDxCc

Karibu Kwenye SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024.

Semina hii inakwenda kukupa maarifa sahihi ya KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha kwa kutumia nguzo saba unazopaswa kuzijua.


Nguzo hizo saba za kukuwezesha kuwa imara kifedha ni kama ifuatavyo;


1. KIPATO; Kikubwa, Uhakika na Endelevu.

2. AKIBA; Dharura, Malengo na Nidhamu.

3. MATUMIZI; Mahitaji, Matakwa na Anasa.

4. MADENI; Mazuri, Mabaya na Kutokomeza.

5. MATOLEO; Sadaka, Misaada na Kodi.

6. UWEKEZAJI; Masoko, Hatifungani na Mali.

7. ULINZI (BIMA); Afya, Mali na Maisha

Kwenye nguzo hizo saba unakwenda kujifunza kwa vitendo na kutoka na hatua za kwenda kuchukua ili uwe imara kifedha.

Hupaswi kukosa SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 kama upo makini na fedha zako.

Semina itafanyika Mbezi Garden Hotel DSM tarehe 27/10/2024.

Ada ya kushiriki semina ni Tsh 65,000/= Kama utalipa kabla ya tarehe 01/10/2024 na kuanzia tarehe 01/10/2024 ada ya kushiriki itakuwa Tsh 100,000/=.

Kushiriki piga simu au tuma ujumbe wa kawaida au kwa wasap kwenda namba 0752977170 wenye maneno SEMINA 2024 na utapewa utaratibu mzima na nafasi ya kushiriki.

Karibu rafiki uchukue hatua sasa ili kufanya uwekezaji bora kabisa kwako, utakaoacha alama kubwa kifedha kwako.

Kutoka kwa rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,

Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE.

Daktari |Mwandishi |Kocha |Mkufunzi

Tengeneza link kwa washiriki wasioweza kufika huko hata wwakikulipa 10K itatosha
 
Rafiki yangu mpendwa,

Kwa miaka yoyote ambayo ulikaa shuleni, ulifundishwa mambo mengi sana. Lakini kuna elimu moja muhimu sana ambayo hukufundishwa na ndiyo inayokutesa mpaka leo.

Ulifundishwa historia za mambo ya kale, jografia ya maeneo mbalimbali, sayansi ya viumbe wote na hisabati za kukokotoa mengi. Yote hayo ulikazaniwa sana kuyajua hata kwa kukariri.

Leo hii kwenye maisha yako, huyatumii kabisa hayo mengi uliyojifunza. Kwa maisha unayoishi na shughuli unazofanya, mengi sana uliyokazaniwa kuyajua huyatumii kabisa.

Lakini kuna kitu kimoja ambacho unakitumia kila siku ya maisha yako na hukufundishwa kabisa shuleni. Kitu hicho ni fedha.

Hakuna siku itakayopita kwenye maisha yako bila kufikiria kuhusu fedha. Ndiyo zinakufanya uwahi kuamka na uchelewe kulala. Unatumia muda wako wote kufikiria na kuhofu kuhusu fedha.

Pamoja na umuhimu huo mkubwa wa fedha, hukufundishwa kabisa shuleni. Na hilo ndiyo limepelekea swala la fedha kuwa gumu sana kwako.

Kwa sababu eneo la fedha ni ujuzi kama ilivyo ujuzi mwingine. Ili uwe vizuri kifedha ni lazima ujijengee ujuzi wa aina tatu.

Ujuzi huo ni KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha. Usipokuwa na ujuzi huo wa aina tatu kwa uhakika, utasumbuka sana kifedha.

TANGAZO-SEMINA.jpg

Rafiki, leo nina habari njema sana kwako kuhusu mahali sahihi unapoweza kupata elimu ya fedha uliyoikosa shuleni. Kuna fursa nzuri kwako kupata elimu na hatua za kuchukua ili kuwa vizuri kwenye eneo hilo la kifedha.


Mahali hapo ni SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 ambayo taarifa zake ziko hapo chini. Pitia kwa makini kisha chukua hatua mara moja.


View: https://youtu.be/llwvmiTDxCc

Karibu Kwenye SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024.

Semina hii inakwenda kukupa maarifa sahihi ya KUPATA, KUTUNZA na KUZALISHA fedha kwa kutumia nguzo saba unazopaswa kuzijua.


Nguzo hizo saba za kukuwezesha kuwa imara kifedha ni kama ifuatavyo;


1. KIPATO; Kikubwa, Uhakika na Endelevu.

2. AKIBA; Dharura, Malengo na Nidhamu.

3. MATUMIZI; Mahitaji, Matakwa na Anasa.

4. MADENI; Mazuri, Mabaya na Kutokomeza.

5. MATOLEO; Sadaka, Misaada na Kodi.

6. UWEKEZAJI; Masoko, Hatifungani na Mali.

7. ULINZI (BIMA); Afya, Mali na Maisha

Kwenye nguzo hizo saba unakwenda kujifunza kwa vitendo na kutoka na hatua za kwenda kuchukua ili uwe imara kifedha.

Hupaswi kukosa SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 kama upo makini na fedha zako.

Semina itafanyika Mbezi Garden Hotel DSM tarehe 27/10/2024.

Ada ya kushiriki semina ni Tsh 65,000/= Kama utalipa kabla ya tarehe 01/10/2024 na kuanzia tarehe 01/10/2024 ada ya kushiriki itakuwa Tsh 100,000/=.

Kushiriki piga simu au tuma ujumbe wa kawaida au kwa wasap kwenda namba 0752977170 wenye maneno SEMINA 2024 na utapewa utaratibu mzima na nafasi ya kushiriki.

Karibu rafiki uchukue hatua sasa ili kufanya uwekezaji bora kabisa kwako, utakaoacha alama kubwa kifedha kwako.

Kutoka kwa rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,

Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE.

Daktari |Mwandishi |Kocha |Mkufunzi

Huyu ni tapeli km yule kiboko ya wachawi, eti ukichelewa utalipa laki moja. Haoni ht haya.
 
Asante kwa taarifa kiongozi,. Uzuri ni kwamba Watakaokuja hawana mda wa kuandika upuuzi hapa,.

So hizi toxic comments wala zisikukatishe tamaa,.

Haya anayetaka nimlipie aseme asaidiwe ili mpunguze makasiriko
Naona umekuja kuokoa jahazi la mwenza wako,
Anyway usichukulie too serious comments za hapa JF,hao unaohisi kua hawana hela,wengine tulisha vuka hiyo stage ambayo ndio kwanza kaifika mleta mada.
 
Naona umekuja kuokoa jahazi la mwenza wako,
Anyway usichukulie too serious comments za hapa JF,hao unaohisi kua hawana hela,wengine tulisha vuka hiyo stage ambayo ndio kwanza kaifika mleta mada.
Nakuheshimu sana aisee,. Mwenza ametoka wapi tena??
Pole naona umeichukulia comment yangu too personal wakati na mimi niliandika tu kama nyie mlivyo andika😄😄

Usinijibu tena tafadhali,. Good morning 🍵
 
Nakuheshimu sana aisee,. Mwenza ametoka wapi tena??
Pole naona umeichukulia comment yangu too personal wakati na mimi niliandika tu kama nyie mlivyo andika😄😄

Usinijibu tena tafadhali,. Good morning 🍵
Huna mamlaka ya kuniambia nisikujibu tena,JF is an open forums,tambua hilo kwanza,

Kama ni dharau,wewe ndiye uliyeanza kuionyesha kwetu,mpaka kufikia kutuambia kua eti sijui utatulipia,mara useme tunaandika upuuzi and toxic,hiyo ni hela ya lunch tu kwa hapa nilipo wala hakuna aliyeomba umlipie,

Kuhusu kuniheshimu au kutokuniheshimu,it's up to u coz sikufuata heshima hapa JF,am free,hua namjibu mtu kama anavyokuja tu,akiniheshimu nami pia namuheshimu,akinidharau nami namdharau,simple tu.
 
Huna mamlaka ya kuniambia nisikujibu tena,JF is an open forums,tambua hilo kwanza,

Kama ni dharau,wewe ndiye uliyeanza kuionyesha kwetu,mpaka kufikia kutuambia kua eti sijui utatulipia,hiyo ni hela ya lunch tu kwa hapa nilipo,

Kuhusu kuniheshimu au kutokuniheshimu,it's up to u coz sikufuata heshima hapa JF,am free,hua namjibu mtu kama anavyokuja tu,akiniheshimu nami pia namuheshimu,akinidharau nami namdharau,simple tu.
So unataka kuniambia wote waliosoma uzi hawakuona comment yangu,. Kiasi cha kwamba wewe uwabebeee maumivu??

Nilikuaga nakuona una akili sana ila leo ndio nimeamini kua una inferiority complex kama wengine wanavyosema

Am sorry anyways
 
So unataka kuniambia wote waliosoma uzi hawakuona comment yangu,. Kiasi cha kwamba wewe uwabebeee maumivu??

Am sorry anyways
Kwahiyo wewe ulitaka mimi niwasubiri hao wengine waone comment yako ila mimi nisiione? kuna member wenye mamlaka ya kuona comment yako na kuna member wengine hawana mamlaka ya kuona comment yako? kwahiyo niwe na akili za kushikiwa kusubiri wengine wanisemee? what a rubbish!

Wewe mbona umeumia na kumbebea maumivu mleta mada? kwani hao wengine hawakuziona hizo comment za kipuuzi na toxic ila ukaziona wewe tu? kabla ya kuniuliza hilo swali lako,ulitakiwa wewe ndiye ujiulize hilo swali.
 
Back
Top Bottom