Dunia ngumu sana sasahivi ukiacha upolisi jiandae kufa, niwekeeni barua za Afande Olomi kuacha kazi hapa ntalipa fidia, Mh DC ubungo wakumbuka...

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,182
8,946
Dunia ya Sasa ni ngumu sana
Enyi.ndugu wa MAREHEMU Afande Olomi niwekeeni barua ya Afande Olomi kuacha kazi jeshi la polisi,
Nijulisheni baada ya kuacha kazi aliendelea kusoma degree ya SHERIA chuo kikuu.cha tumaini da resalaam?

Nijuavyo na ilivyokuwa mipango

Jamaaa alikuwa bado.afande na alikuwa kipenyo mtamu sana

Pili alikuwa anasoma Kuna mchongo wa juu sana uliishapangwa dhidi yake Tena wa maana

TATU Afande nje ya hapo Kuna WALIO mnyetisha mchongo Fulani na ndo WALIO mmaliza.
Mh DC ubungo unakumbuka last talk yako na mshikaji?.
Nina mengi kifuani
Nchi ya ajabu hii sasahivi upolisi ukiuacha na kama ulikuwa wale wasio vaa gwanda unakuwa hatarini.kutoweshwa

Mwamba pumzika ila ramani ilichorwa KABLA ujaanza safari.
 
Dunia ya Sasa ni ngumu sana
Enyi.ndugu wa MAREHEMU Afande Olomi niwekeeni barua ya Afande Olomi kuacha kazi jeshi la polisi,
Nijulisheni baada ya kuacha kazi aliendelea kusoma degree ya SHERIA chuo kikuu.cha tumaini da resalaam?

Nijuavyo na ilivyokuwa mipango

Jamaaa alikuwa bado.afande na alikuwa kipenyo mtamu sana

Pili alikuwa anasoma Kuna mchongo wa juu sana uliishapangwa dhidi yake Tena wa maana

TATU Afande nje ya hapo Kuna WALIO mnyetisha mchongo Fulani na ndo WALIO mmaliza.
Mh DC ubungo unakumbuka last talk yako na mshikaji?.
Nina mengi kifuani
Nchi ya ajabu hii sasahivi upolisi ukiuacha na kama ulikuwa wale wasio vaa gwanda unakuwa hatarini.kutoweshwa

Mwamba pumzika ila ramani ilichorwa KABLA ujaanza safari.
Nilichojifunza kwenye kisa hiki (kama ni kweli) ni waajiriwa kujitahidi kuridhika na mishahara wanayolipwa pamoja na posjo za halali. Hakuna marefu yasiyo mwisho
 
Back
Top Bottom