Dunia inaniadhibu, nahitaji kuchukua maamuzi magumu

Vamigo

JF-Expert Member
Jul 21, 2022
367
773
Ndugu zangu naandika hapa nikiwa siko sawa mtanisamehe.

Mm ni mfanya biashara (wakala) WA huduma za kifedha mpaka kufikia mwaka Jana mwezi WA 3 nilikua na mtaji usipungua milion 5. Ndani ya mwezi mmoja pesa ikaanza kupukutika, nyumba ambayo ni ni flem tulipo weka biashara zetu iliuzwa Kwa mtu mwingine akapandisha Kodi mpka milion 1 Kwa mwaka.

katika mwezi huo huo WA 3 nikalipia milion Moja ya kodi nikalipia milion 1 laki Moja na elfu 5 kakupata mashine ya NMB ndani ya mwezi huo huo Kuna bro angu alikua anatumia till yangu ya mpesa nyingine a kaikopea na deni likahamishwa kwenye till yangu niliyo kua nafanyia mm kazi nikafyekwa milion 1.5 ila baadae bro tulikubaliana anilipe taratibu.

Ndani ya mwezi huo vibaka wakabomoa ofisi yangu ila hawakukuta chochote na Wala hawakuondoka na chochote Cha kunitia hasara tofauti na kurepea paliko bomolewa(nitafafanua kwenye comment maswala ya ulinzi kama mtaniliza na alivyo wajibishwa)

Sasa kwenye ulimwengu wa kawaida hayo matumizi yalikua sawa kabisa Kwa maendeleo ya ofisi yangu kumbe zile hela zilivo kua zinatoka mpka Leo haijawahi kurudi nimekua kwenye maporomoko huo mpka kufika sasa Sina mtaji tena na ofisi inaelekea kufa na kuifunga.

Niliomba Msaada Kwa Mzee wangu akanitumia sh 300k nibust mtaji Cha kushanga Sasa ambacho ndo misingi WA post hii ni hiki👉👉

Mimi ni baba wa moto mmoja WA kike mke wangu alinambia pasaka hii naomba niende Kijijini tukalie huko na wazee nikasema poa tu. nikampa nauli akatembea, nina jirani yangu ambae pia mke wangu aliondoka jumamos kwenenda kula pasako pia vijijini kwao.

Tulikua tumekaa (washikaji) ambao ni majirani Kwa sehemu tunazo ishi ni sehemu ambayo Kuna lorge na ukumbi WA wadau kunywa hua napenda kuangalizia pale mpira, kama mjuavyo ilikua sikukuu wadau wakaagiza konyagi kuvutia mda WA game ya rs bekane, nikawaza nikinywa hapa af nikaenda kuchukua pesa ofisini itakua ni risk sana maana naweza lewa na pesa ikapotea.

Nikasema acha niende ofisini nikaifiche hiyo pesa (laki na nusu) ili niwe salama nikafanya Ivo.

Kesho yake jumapili nikaja kuangalia usalama na pesa nikaikuta ipo nilipo ificha. jumapili hua napumzika mda huo nilikua na ratiba ya kwenda mahala na rafik angu (jirani ) nikasema acha niache humu humu nisje fanya matumizi yasiyo ya misingi maana pengine tunaweza kutana na wadau wakaleta agenda ya pombe (pombe natumia ila mala Moja Moja sana Kwa matumkioio) kwaio ile pesa nikaicha tena.

Jana pale nyumban kulikua na ka sherehe flani ka kusherehekea sikuu hua tunafanya sana sana Kwa ajili ya familia zetu tunakula, kunywa na mziki unakuwepo Kwa wadau WA pale pale home hivyo nikachelewa sana kulala Jana.

Leo nimeamkia misibani( jirani ninapo ishi ) Kuna dogo kakafariki nikaamkia pale mpaka mchana, mchana

Wife anakuja anakuta sijaenda kazini nikaona kama ka react tofauti kama kashikwa na hasira flani iva akaanza kunilaumu sijaenda kazini na maisha tuliyo nayo magumu, mm nikaona acha niodoke zangu nikaondoka nikachuka ufunguo mpka ofisini.

Nimefungua nikaenda ile sehemu niloficha ile pesa nakuta pesa haipo.!! kama masihara nikaanza kuwaza niliiweka wapi na Jana nimekuja nimeiacha hapa nimetafuta bila mafanikio mpka hautua ya mwisho nimekubali kwamba nimeibiwa tayari, nimekuta kufuli zipo sawa kabisa hazijabomolewa, hapa ofisini Kuna tundu juu wezi waliwahi kutoboa nikaangalia naona hakuna dalili ya mtu aliye pita kwenye Hilo tundu naona mpka zile baibui Kwa ndani zilivo tanda

Mpaka mda huu nimekaa ndani ya ofisi nimejifungia sjui nafanya Nini sjui mwizi kaingilia wap pesa haipo na kufuli hazijavunjwa Wife hataki hata maelezo yangu yaani

Huu mkoa niliopo ndo nyumban tunatofautiana kata tu tuanzo ishi mfano kama ni dar home Tabata mie nipo tegeta nyuki huko kiukweli naona kukata tamaa naonaaibu sana mwezi ujao natakiwa kulipa Kodi ya pango milion 1 ili niendelee Sina, na pia natakiwa kulipia Kodi ninapo ishi.

Naona Sina thamani nawaza nikimbie tu niache familia sio Kwa kupenda ila Sina namna Naumia sana kumuacha mwanangu ila acha nikajipange huko ila nawaza nitaishije huko wakati Sina pesa na pesa imeibwa tayari kiasi kidogo kilicho Baki pengine kitafaa kumuachia wife apambane nacho ila nitakua baba na aina gani kukimbia familia.? Je nifanyeje nivuke hapa wadau niambieni chochote ndugu zangu nifanyeje mwenzenu.
 
Ndugu zangu naandika hapa nikiwa siko sawa mtanisamehe.

Mm ni mfanya biashara (wakala) WA huduma za kifedha mpaka kufikia mwaka Jana mwezi WA 3 nilikua na mtaji usipungua milion 5. Ndani ya mwezi mmoja pesa ikaanza kupukutika, nyumba ambayo ni ni flem tulipo weka biashara zetu iliuzwa Kwa mtu mwingine akapandisha Kodi mpka milion 1 Kwa mwaka.

katika mwezi huo huo WA 3 nikalipia milion Moja ya kodi nikalipia milion 1 laki Moja na elfu 5 kakupata mashine ya NMB ndani ya mwezi huo huo Kuna bro angu alikua anatumia till yangu ya mpesa nyingine a kaikopea na deni likahamishwa kwenye till yangu niliyo kua nafanyia mm kazi nikafyekwa milion 1.5 ila baadae bro tulikubaliana anilipe taratibu.

Ndani ya mwezi huo vibaka wakabomoa ofisi yangu ila hawakukuta chochote na Wala hawakuondoka na chochote Cha kunitia hasara tofauti na kurepea paliko bomolewa(nitafafanua kwenye comment maswala ya ulinzi kama mtaniliza na alivyo wajibishwa)


Sasa kwenye ulimwengu wa kawaida hayo matumizi yalikua sawa kabisa Kwa maendeleo ya ofisi yangu kumbe zile hela zilivo kua zinatoka mpka Leo haijawahi kurudi nimekua kwenye maporomoko huo mpka kufika sasa Sina mtaji tena na ofisi inaelekea kufa na kuifunga.


Niliomba Msaada Kwa Mzee wangu akanitumia sh 300k nibust mtaji Cha kushanga Sasa ambacho ndo misingi WA post hii ni hiki👉👉

Mimi ni baba WA moto mmoja WA kike mke wangu alinambia pasaka hii naomba niende Kijijini tukalie huko na wazee nikasema poa tu. nikampa nauli akatembea, nina jirani yangu ambae pia mke wangu aliondoka jumamos kwenenda kula pasako pia vijijini kwao.

Tulikua tumekaa (washikaji) ambao ni majirani Kwa sehemu tunazo ishi ni sehemu ambayo Kuna lorge na ukumbi WA wadau kunywa hua napenda kuangalizia pale mpira, kama mjuavyo ilikua sikukuu wadau wakaagiza konyagi kuvutia mda WA game ya rs bekane, nikawaza nikinywa hapa af nikaenda kuchukua pesa ofisini itakua ni risk sana maana naweza lewa na pesa ikapotea.

Nikasema acha niende ofisini nikaifiche hiyo pesa (laki na nusu) ili niwe salama nikafanya Ivo.

Kesho yake jumapili nikaja kuangalia usalama na pesa nikaikuta ipo nilipo ificha. jumapili hua napumzika mda huo nilikua na ratiba ya kwenda mahala na rafik angu (jirani ) nikasema acha niache humu humu nisje fanya matumizi yasiyo ya misingi maana pengine tunaweza kutana na wadau wakaleta agenda ya pombe (pombe natumia ila mala Moja Moja sana Kwa matumkioio) kwaio ile pesa nikaicha tena.

Jana pale nyumban kulikua na ka sherehe flani ka kusherehekea sikuu hua tunafanya sana sana Kwa ajili ya familia zetu tunakula, kunywa na mziki unakuwepo Kwa wadau WA pale pale home hivyo nikachelewa sana kulala Jana.

Leo nimeamkia misibani( jirani ninapo ishi ) Kuna dogo kakafariki nikaamkia pale mpaka mchana, mchana

wife anakuja anakuta sijaenda kazini nikaona kama ka react tofauti kama kashikwa na hasira flani iva akaanza kunilaumu sijaenda kazini na maisha tuliyo nayo magumu, mm nikaona acha niodoke zangu nikaondoka nikachuka ufunguo mpka ofisini.

nimefungua nikaenda ile sehemu niloficha ile pesa nakuta pesa haipo.!! kama masihara nikaanza kuwaza niliiweka wapi na Jana nimekuja nimeiacha hapa nimetafuta bila mafanikio mpka hautua ya mwisho nimekubali kwamba nimeibiwa tayari, nimekuta kufuli zipo sawa kabisa hazijabomolewa, hapa ofisini Kuna tundu juu wezi waliwahi kutoboa nikaangalia naona hakuna dalili ya mtu aliye pita kwenye Hilo tundu naona mpka zile baibui Kwa ndani zilivo tanda

Mpka mda huu nimekaa ndani ya ofisi nimejifungia sjui nafanya Nini sjui mwizi kaingilia wap pesa haipo na kufuli hazijavunjwa Wife hataki hata maelezo yangu yaani

Huu mkoa niliopo ndo nyumban tunatofautiana kata tu tuanzo ishi mfano kama ni dar home Tabata mie nipo tegeta nyuki huko kiukweli naona kukata tamaa naonaaibu sana mwezi ujao natakiwa kulipa Kodi ya pango milion 1 ili niendelee Sina, na pia natakiwa kulipia Kodi ninapo ishi.

Naona Sina thamani nawaza nikimbie tu niache familia sio Kwa kupenda ila Sina namna Naumia sana kumuacha mwanangu ila acha nikajipange huko ila nawaza nitaishije huko wakati Sina pesa na pesa imeibwa tayari kiasi kidogo kilicho Baki pengine kitafaa kumuachia wife apambane nacho ila nitakua baba na aina gani kukimbia familia.? Je nifanyeje nivuke hapa wadau niambieni chochote ndugu zangu nifanyeje mwenzenu.
Nimesoma stori yako kwa makini. Umefanya vizuri kuanzisha biashara ila umekosea kitu kimoja ambacho ni LOCATION. Ilitakiwa uende ukafungulie mkoani huko.
 
Hadi unaamdika Uzi huu bila Shaka unazo asset kubwa MBILI yaani AKILI na AFYA njema. Hebu shukuru kwa hivyo vitu.

Wenzako wapo hospitali, na hawajuhi kama watapona na wanadaiwa kila Sacco's, bank, NK

Unaweza kuanza na sifuri, yaana kuanza kama kibarua kwenye mashine za kufyatua tofari, na ukapita hapo ulipokuwa umefika!
 
Pole man! Nakuelewa sana!!sisi tulioanza negative ndio tukafika zero na Sasa positive 1 tunaelewa sans!!

Nenda Kwa baba Yako mzazi umweleze Kwa kina Hali yote na akushauri Cha kufanya kuliko kukimbia familia!!

Anaweza kukupa hazina aliyonayo Ili akusaidie!!

Kuna Moment kwenye maisha "maendeleo husimama kabisa" na tunabaki kutafuta Hela ya kula TU na SI kingine!usiikwepe moment hiyo!!

Pia kumbuka"NI NYAKATI NZURI KATIKA MAISHA AMBAZO HUBADILIKA GHAFULA NA KUWA NYAKATI MBAYA BILA HATA KUTARAJIA!!!WAKATI AMBAO UNASEMA SASA NAKULA MATUNDA BAADA YA MSOTO NDIO JAMBO ZITO LA AJABU HUTOKEA BILA HATA KUTARAJIA"!!

ANZA TENA!!!
 
Ndugu zangu naandika hapa nikiwa siko sawa mtanisamehe.

Mm ni mfanya biashara (wakala) WA huduma za kifedha mpaka kufikia mwaka Jana mwezi WA 3 nilikua na mtaji usipungua milion 5. Ndani ya mwezi mmoja pesa ikaanza kupukutika, nyumba ambayo ni ni flem tulipo weka biashara zetu iliuzwa Kwa mtu mwingine akapandisha Kodi mpka milion 1 Kwa mwaka.

katika mwezi huo huo WA 3 nikalipia milion Moja ya kodi nikalipia milion 1 laki Moja na elfu 5 kakupata mashine ya NMB ndani ya mwezi huo huo Kuna bro angu alikua anatumia till yangu ya mpesa nyingine a kaikopea na deni likahamishwa kwenye till yangu niliyo kua nafanyia mm kazi nikafyekwa milion 1.5 ila baadae bro tulikubaliana anilipe taratibu.

Ndani ya mwezi huo vibaka wakabomoa ofisi yangu ila hawakukuta chochote na Wala hawakuondoka na chochote Cha kunitia hasara tofauti na kurepea paliko bomolewa(nitafafanua kwenye comment maswala ya ulinzi kama mtaniliza na alivyo wajibishwa)

Sasa kwenye ulimwengu wa kawaida hayo matumizi yalikua sawa kabisa Kwa maendeleo ya ofisi yangu kumbe zile hela zilivo kua zinatoka mpka Leo haijawahi kurudi nimekua kwenye maporomoko huo mpka kufika sasa Sina mtaji tena na ofisi inaelekea kufa na kuifunga.

Niliomba Msaada Kwa Mzee wangu akanitumia sh 300k nibust mtaji Cha kushanga Sasa ambacho ndo misingi WA post hii ni hiki👉👉

Mimi ni baba wa moto mmoja WA kike mke wangu alinambia pasaka hii naomba niende Kijijini tukalie huko na wazee nikasema poa tu. nikampa nauli akatembea, nina jirani yangu ambae pia mke wangu aliondoka jumamos kwenenda kula pasako pia vijijini kwao.

Tulikua tumekaa (washikaji) ambao ni majirani Kwa sehemu tunazo ishi ni sehemu ambayo Kuna lorge na ukumbi WA wadau kunywa hua napenda kuangalizia pale mpira, kama mjuavyo ilikua sikukuu wadau wakaagiza konyagi kuvutia mda WA game ya rs bekane, nikawaza nikinywa hapa af nikaenda kuchukua pesa ofisini itakua ni risk sana maana naweza lewa na pesa ikapotea.

Nikasema acha niende ofisini nikaifiche hiyo pesa (laki na nusu) ili niwe salama nikafanya Ivo.

Kesho yake jumapili nikaja kuangalia usalama na pesa nikaikuta ipo nilipo ificha. jumapili hua napumzika mda huo nilikua na ratiba ya kwenda mahala na rafik angu (jirani ) nikasema acha niache humu humu nisje fanya matumizi yasiyo ya misingi maana pengine tunaweza kutana na wadau wakaleta agenda ya pombe (pombe natumia ila mala Moja Moja sana Kwa matumkioio) kwaio ile pesa nikaicha tena.

Jana pale nyumban kulikua na ka sherehe flani ka kusherehekea sikuu hua tunafanya sana sana Kwa ajili ya familia zetu tunakula, kunywa na mziki unakuwepo Kwa wadau WA pale pale home hivyo nikachelewa sana kulala Jana.

Leo nimeamkia misibani( jirani ninapo ishi ) Kuna dogo kakafariki nikaamkia pale mpaka mchana, mchana

Wife anakuja anakuta sijaenda kazini nikaona kama ka react tofauti kama kashikwa na hasira flani iva akaanza kunilaumu sijaenda kazini na maisha tuliyo nayo magumu, mm nikaona acha niodoke zangu nikaondoka nikachuka ufunguo mpka ofisini.

Nimefungua nikaenda ile sehemu niloficha ile pesa nakuta pesa haipo.!! kama masihara nikaanza kuwaza niliiweka wapi na Jana nimekuja nimeiacha hapa nimetafuta bila mafanikio mpka hautua ya mwisho nimekubali kwamba nimeibiwa tayari, nimekuta kufuli zipo sawa kabisa hazijabomolewa, hapa ofisini Kuna tundu juu wezi waliwahi kutoboa nikaangalia naona hakuna dalili ya mtu aliye pita kwenye Hilo tundu naona mpka zile baibui Kwa ndani zilivo tanda

Mpaka mda huu nimekaa ndani ya ofisi nimejifungia sjui nafanya Nini sjui mwizi kaingilia wap pesa haipo na kufuli hazijavunjwa Wife hataki hata maelezo yangu yaani

Huu mkoa niliopo ndo nyumban tunatofautiana kata tu tuanzo ishi mfano kama ni dar home Tabata mie nipo tegeta nyuki huko kiukweli naona kukata tamaa naonaaibu sana mwezi ujao natakiwa kulipa Kodi ya pango milion 1 ili niendelee Sina, na pia natakiwa kulipia Kodi ninapo ishi.

Naona Sina thamani nawaza nikimbie tu niache familia sio Kwa kupenda ila Sina namna Naumia sana kumuacha mwanangu ila acha nikajipange huko ila nawaza nitaishije huko wakati Sina pesa na pesa imeibwa tayari kiasi kidogo kilicho Baki pengine kitafaa kumuachia wife apambane nacho ila nitakua baba na aina gani kukimbia familia.? Je nifanyeje nivuke hapa wadau niambieni chochote ndugu zangu nifanyeje mwenzenu.
Pole sana .
Mpaka sasa ni kiasi gani ulicho nacho ?
 
Fikra na mawazo yako yanaumba! Ukiamini na kufikiria dunia inakuadhibu itakuadhibu kweli kweli hamna rangi utaacha kuona.

Tuliza halmashauri ya kichwa chako hayo ni mapito tu kila kitu kitakuwa sawa.

Kaa chini tafakari hatua ya kuchukua na songa mbele, yaliyopita ya mtaji wa milioni tano achana nayo, focus unachopaswa kufanya urudi kwenye game ukiwa stable.
 
Mpaka Sasa nimebakiwa na 80k
Huwezi kazi nyingine mbali na uwakala ? Hiyo mashine ya benki uza ongeza mtaji endelea na biashara .

Sidhani kama kwako hauna vitu vya thamani ,uza hivyo vitu anza kupambana tena ,usikimbie familia itakuja kukusumbua kimawazo na kiuchumi hapo badaye .
Pole sana .
Ningekushauri vizuri zaidi ila niko bar madini yanakuja alafu yanapotea mdogo wangu
 
Pole Mkuu mbona hayo Madogo.. Cha kufanya wewe na mkeo kawa one wazazi kama wapo, Halafu vitu hamisha ulipopanga ukae na wazazi japo wiki mbili,

Msimu huu wa mavuno Nunua mazao ulangue hata kwa kuanzia gunia tano.. Fanya hivyo halafu utuletee mrejesho... Unatakiwa uanguke ndiyo usimame tena..
 
Back
Top Bottom