Dr. Jakaya Kikwete akitoa pole kwenye msiba wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu

ng'ombo

JF-Expert Member
Dec 1, 2014
418
619

Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete pichani akitoa mkono wa pole jana kwa wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki kwenye msiba wa aliyekuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu nyumbani kwake Tabata Kimanga jijini hapa Dar. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…