Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,093
- 5,590
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu leo tarehe 22 Aprili, 2015 amefika Makao Makuu ya Chama hicho Jijini Dar es Salaam kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akidokeza kuwa yupo tayari kuchuana na Mgombea wa CCM Samia Suluhu Hassan ikiwa Chama chake cha ACT Wazalendo kitamuidhinisha kuwania nafasi hiyo.
Soma pia:
"Leo nimechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Chama cha Ishara kuwa nipo tayari kumkabili Rais Samia na CCM ambao wameshindwa kumkomboa mtanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii.Hii ni ishara ya utayari wangu wa kuongoza mapambano ya kulinda thamani ya kura na kutetea demokrasia"
Soma pia:
- Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Dorothy Semu atangaza nia ya kuwania Urais mwaka 2025
- Othman Masoud achukua Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo
"Leo nimechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Chama cha Ishara kuwa nipo tayari kumkabili Rais Samia na CCM ambao wameshindwa kumkomboa mtanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii.Hii ni ishara ya utayari wangu wa kuongoza mapambano ya kulinda thamani ya kura na kutetea demokrasia"