Kwani kuna nini huko Wete?Zanzibar ataenda lini
Zanzibar ataenda kutapokuwa na Migogoro maana JK Mfalme wa AmaniZanzibar ataenda lini
Hahahaha unautani na mzee wa msoga Eeh!!Aww handsomeboy wa taifa
Hahahaha unautani na mzee wa msoga Eeh!!
Zanzibar ataenda kutapokuwa na Migogoro maana JK Mfalme wa Amani
Weee shindwa katika jina la Yesu kristo aliye haiiiii... Mfalme wa Amani ni mmoja tu.. . YEYE ALIYE JUU KITINI PA ENZII YAKE..Zanzibar ataenda kutapokuwa na Migogoro maana JK Mfalme wa Amani
Acha kutuletea udini kwenye mambo yakisiasa utaanzisha mitafaruku baina ya members!! siasa ibaki kama siasa na dini ibaki kama dini jitahidi uweze kutofautisha kati ya dini na siasaWeee shindwa katika jina la Yesu kristo aliye haiiiii... Mfalme wa Amani ni mmoja tu.. . YEYE ALIYE JUU KITINI PA ENZII YAKE..
MKUU NILIWAHI KUANDIKA MSUMBIJI KIMENUKA NAONA HALI IMEKUWA TETE KUNANKIPINDI NILIKUWA NAENDA PEMBA YA MAPUTO MOTO NILIOKUTA MAPUTO MJINI TUKAISHIA HAPO NA KURUDI MAKWETU..WANAUANA MBAYAKwani kuna vita msumbiji?
Au ndio taarifa
Lazima uweze kujua Rejesta zinatozumika kwa muhtadhaa mbalimbali...kwenye siasa hakuna neno Mfalme wa Amani.ila kuna Kisiwa cha Amani....Acha kutuletea udini kwenye mambo yakisiasa utaanzisha mitafaruku baina ya members!! siasa ibaki kama siasa na dini ibaki kama dini jitahidi uweze kutofautisha kati ya dini na siasa
Kuna tofauti kubwa kati ya mungu kama ulivyo andika wewe na Mungu na hiyo ya kwako inamaanisha mkuu wa giza au shetani pole sana maana ya hayo huwezi kujua hadi uwe sehemu ya wana wa aliye juu ya vyoteKwani akisema mfalme wa amani kuna tatizo gani? Tatizo mnakaririshwa bila ya kutafakari,baada ya kusema kwa jina la mungu mnasema kwa jina la ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, wakati yeye mwenyewe anasema ana baba yake.