Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,715
- 4,455
Huko CCM nikadhani uchawa ni kwa mwenyekiti wao tu kumbe hadi wabunge sasa hivi wanafanyiwa uchawa?
Madiwani mmekuwaje lakini?
========================================
Diwani kata ya Zingiziwa, Maige Maganga amewataka Viongozi na Wananchi wa Zingiziwa na Jimbo la Ukonga kwa ujumla kujivunia uongozi wa Mbunge wao, Mheshimiwa Jerry Silaa kutokana na maendeleo makubwa aliyoyaleta katika jimbo hilo tangu awe Mbunge.
Diwani Maige ameenda mbali zaidi na kusema yupo tayari yeye akose Udiwani uchaguzi ujao lakini hayupo tayari kushuhudia Jerry Silaa akikosa ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka huu.
“Nani kama Jerry Silaa? Nawaapia nipo tayari kuona nakosa udiwani kuliko kushuhudia Mheshimiwa Silaa anakosa Ubunge katika uchaguzi ujao” Maige Maganga, Diwani Zingiziwa.
Madiwani mmekuwaje lakini?
========================================
Diwani kata ya Zingiziwa, Maige Maganga amewataka Viongozi na Wananchi wa Zingiziwa na Jimbo la Ukonga kwa ujumla kujivunia uongozi wa Mbunge wao, Mheshimiwa Jerry Silaa kutokana na maendeleo makubwa aliyoyaleta katika jimbo hilo tangu awe Mbunge.
Diwani Maige ameenda mbali zaidi na kusema yupo tayari yeye akose Udiwani uchaguzi ujao lakini hayupo tayari kushuhudia Jerry Silaa akikosa ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka huu.
“Nani kama Jerry Silaa? Nawaapia nipo tayari kuona nakosa udiwani kuliko kushuhudia Mheshimiwa Silaa anakosa Ubunge katika uchaguzi ujao” Maige Maganga, Diwani Zingiziwa.