Dini sio asili ya muafrika, dini ni itikadi au mila na desturi za mataifa nje ya africa, muafrica hana dini

Sergio69

Senior Member
Mar 12, 2025
140
246
Habari za muda huu wadau wa jf hapa labda twende kenye kinaga ubaga

Isingekuwepo ujio wa mataifa ya mashariki na mataifa ya kaskazin mwa dunia kujakufanya kilimo, uchimbaji wa madini na zile biashara za utumwa tusinge zijua hizo dini ambazo zinatugawa ki matabaka as we all knows.

Asili ya muafrika nikufanya matambiko na kuitii mizimu, Asili ya muafrika ni kuzienzi ngoma za asili na kuendeleza mikoba ya koo ziwe ni ya uchawi, uganga au umwenye.

Imani za uabudu, kukesha kulia manisani, kukesha ukisubiri muda ufike ule daku kuzingatia muda wa ibada za kuanguka mara5 per day misikitini na masinagogi ni imani zakurithishwa na wazungu ama waarabu zisizo na asili ya muafrica hata kidogo

Na niimani ambayo haushaliwi usiifuate ila kama wewe ni Muafrica unashauliwa usiisahau asili.

NOTHING SWEET THAN TRADITIONAL!!
 
Habari za muda huu wadau wa jf hapa labda twende kenye kinaga ubaga

Isingekuwepo ujio wa mataifa ya mashariki na mataifa ya kaskazin mwa dunia kujakufanya kilimo, uchimbaji wa madini na zile biashara za utumwa tusinge zijua hizo dini ambazo zinatugawa ki matabaka as we all knows.

Asili ya muafrica nikufanya matambiko na kuitii mizimu, Asili ya muafrica ni kuzienzi ngoma za asili na kuendeleza mikoba ya koo ziwe ni ya uchawi, uganga au umwenye.

Imani za uabudu, kukesha kulia manisani, kukesha ukisubiri muda ufike ule daku kuzingatia muda wa ibada za kuanguka mara5 per day misikitini na masinagogi ni imani zakurithishwa na wazungu ama waarabu zisizo na asili ya muafrica hata kidogo
Na niimani ambayo haushaliwi usiifuate ila kama ww ni Muafrica unashauliwa usiisahau asili.

NOTHING SWEET THAN TRADITIONAL!!
Umeanza kuvutia bangi.Kwani Imani ni nini?
 
Back
Top Bottom