Pre GE2025 DC Rombo akabidhi mkopo wa Sh. Milioni 641 kwa vikundi bila riba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Aug 15, 2024
566
816
Jumla ya Vikundi 52 vya wajasiriamali wadogowadogo wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro vimekabidhiwa Mkopo wa Jumla ya Shilingi Milioni 641 unaotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri ya wilaya hiyo.

Zoezi lakukabidhi mikopo hiyo limefanyika leo Jumatano April 16, 2025 kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Rombo ambapo Mkuu wa wilaya hiyo Mwl. Raymond Mangwala amevikabidhi vikundi hivyo kwa niaba ya Halmashauri hiyo.

Akikabidhi Mikopo hiyo kwa vikundi hivyo ambavyo ni vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu Mkuu huyo wawilaya amewataka wanavikundi hao kuzingatia taratibu za mikataba katika urejeshaji wa mikopo husika huku akiwataka wanavikundi hao na vikundi vingine kuhakikisha kuwa vinashiriki mafunzo ya ukopoaji, matumizi na urejeshaki wa mikopo hiyo.

Mbali na hayo pia amewataka kuwa wakweli pindi wanapoandaa na kuandika andiko la miradi yao kwani wanavikundi wengi wamekuwa wakikosa sifa zakupata mikopo kutokana na kuwa wadanganyifu kwenye maandiko ya miradi.

Pia amewataka kuhakikisha kuwa wanafuata malengo ya mikopo waliyoichukua na siyo kwenda kinyume kwani watashindwa kurejesha.
 
🪖🦺🔨⛏️🪖🦺

SHEBWA MASONRY CONTRACTION
Simu: 0673817130 (WhatsApp), Social Media: SHEBWA MASONRY CONTRACTION, Tupo: Moshi na Arusha

Tunatoa Huduma Bora za Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba!

Je unatafuta huduma za ujenzi au ukarabati wa nyumba yako?
Kama jibu ni ndio Timu yetu ya mafundi ujenzi wenye uzoefu itakuhudumia kwa ubora wa hali ya juu. Tunahudunia wateja wa ndani na nje ya mkoa wa Arusha na Kilimanjaro

🪖🦺 Shebwa Masonry Contractor 🪖🦺
Tunajivunia kufanya kazi za viwango vya hali ya juu, usahihi, na ufanisi ili kuhakikisha tunatoa huduma iliyo bora,imara, salama, na yenye kuvutia. Tunaelewa kuwa nyumba yako ni uwekezaji wa thamani, ndiyo maana tunatoa huduma bora ambazo utafurahia.

Kwa Nini Utuchague?
🪖. Wataalamu wenye ujuzi wa kutatua changamoto za ujenzi kwa ubora wa hali ya juu.
🪖. Ubora wa kazi na wenye kufwata vigezo vyote vya ujenzi.
🪖. Gharama nafuu na huduma zinazolingana na bajeti yako.
🪖. Huduma za haraka, salama, na zenye viwango

Maelezo Zaidi Ya Huduma Zetu:
🔨. Uashi (Masonry): Ujenzi na ukarabati kwa kutumia matofali, mawe, au saruji (cement) kwa ajili ya kuta, misingi, n.k.

⛏️. Uwekaji wa Paa (Roofing):

🔨. Uwekaji wa Tailizi (Tiles Installation)

⛏️. Upakaji wa Rangi: Kupaka rangi ndani na nje ya nyumba.

🔨. Ukarabati wa Kuta na Upigaji Plasta: Kurekebisha nyufa, mashimo, au kuta zilizoharibika na kupiga plasta.

⛏️. Uwekaji na Ukarabati wa Sakafu: Kuweka sakafu mpya na kurekebisha sehemu zilizoharibika.

🔨. Ufungaji na Ukarabati wa Mifereji ya Maji:

⛏️. Ukarabati wa Dari: Kurekebisha nyufa, uharibifu wa maji, au kudorora kwa dari.

🔨. Uwekaji na Ukarabati wa Uzio:

⛏️. Upangaji wa Nje na Uwekaji wa Pevin

🔨. Uwekaji wa Mageti na Grili za Chuma

⛏️. Tuulize kuhusu huduma unayohitaji ambayo haija orodheshwa.

Huduma hizi zinahusu kumiliki mjengo mpya, kutunza, kurekebisha, na kuboresha majengo ya makazi na biashara yaliyochakaa. Karibu mteja.🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Jumla ya Vikundi 52 vya wajasiriamali wadogowadogo wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro vimekabidhiwa Mkopo wa Jumla ya Shilingi Milioni 641 unaotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri ya wilaya hiyo.

Zoezi lakukabidhi mikopo hiyo limefanyika leo Jumatano April 16, 2025 kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Rombo ambapo Mkuu wa wilaya hiyo Mwl. Raymond Mangwala amevikabidhi vikundi hivyo kwa niaba ya Halmashauri hiyo.

Akikabidhi Mikopo hiyo kwa vikundi hivyo ambavyo ni vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu Mkuu huyo wawilaya amewataka wanavikundi hao kuzingatia taratibu za mikataba katika urejeshaji wa mikopo husika huku akiwataka wanavikundi hao na vikundi vingine kuhakikisha kuwa vinashiriki mafunzo ya ukopoaji, matumizi na urejeshaki wa mikopo hiyo.

Mbali na hayo pia amewataka kuwa wakweli pindi wanapoandaa na kuandika andiko la miradi yao kwani wanavikundi wengi wamekuwa wakikosa sifa zakupata mikopo kutokana na kuwa wadanganyifu kwenye maandiko ya miradi.

Pia amewataka kuhakikisha kuwa wanafuata malengo ya mikopo waliyoichukua na siyo kwenda kinyume kwani watashindwa kurejesha.
View attachment 3308288
Lkn kwenye madawati wanataka wananchi tuchangie,,,mfano dawati Moja halizidi tshs 2 laki halafu wilaya Haina hyo Hela,,,,,
 
Back
Top Bottom