T Truth Matters JF-Expert Member Apr 12, 2013 2,245 4,431 Jun 13, 2017 #1 Kumekuwa na dawa nyingi za malaria sokoni mpaka mtu unashindwa uchague ipi. Hata hivyo ufanisi wa hizi dawa nao ni wakutiliwa mashaka! Ipi dawa yako unayoiamini ya kutibu malaria?
Kumekuwa na dawa nyingi za malaria sokoni mpaka mtu unashindwa uchague ipi. Hata hivyo ufanisi wa hizi dawa nao ni wakutiliwa mashaka! Ipi dawa yako unayoiamini ya kutibu malaria?
THOMASS SANKARA JF-Expert Member Nov 13, 2014 2,055 4,695 Jun 13, 2017 #4 Ninayoiamini ni ARTEQUICK mkuu
Beka Mpole JF-Expert Member Feb 4, 2017 490 375 Jun 14, 2017 #10 Beka Mpole said: Chemsha mua4) Click to expand... Chemsha mua40