Mbona Miaka imeshaisha, tumebakiza siku.
ukiona mwanaume amekubali kuamishwa chama na mke wake unapaswa kumtilia shaka kila analotamka ispokuwa jina lake tu
hawamu ya 5 tunajivunia ndege na uwanja wa chato...
Kumbe ndio kisa mmekazania tununue tununue ndege! Kumbe ni kwa ajili ya uwanja Eeh! Zote zitaanzisha route ya kule au ndio mpango wa kuwasaidia wezi wa madini wasiwe wanapitia JINA au KIA ili wakaguriwe?hawamu ya 5 tunajivunia ndege na uwanja wa chato...
Ni kweli akili ni nywele ndo maana while wewe unaamini real politician in a country of 50 million plus people, others don't believe that...Kweli akili ni nywele. Kila mtu ana zake. If you can't fight them join them. Zitto Kabwe is the only person if not in the whole country who advocates the essence of real politics. Physical battles no longer lives
IndeedNi kweli akili ni nywele ndo maana while wewe unaamini real politician in a country of 50 million plus people, others don't believe that...
Hivi huyu ndio angechukua nchi enzi ya Nyerere si tungekuwa hoi zaidi ya Zimbabwe?
wewe km unajielewa kweli twambie unataka nini?Wanasiasa wote wa upinzani Tanzania ni wanafiki mnooooo..yaan hawajielewi ni nn wanataka.
Yaani Mungu mtu alichobakiza ni kwenda kutoa salaam makanisani tu.Nacheka sana kila nikifikiria ule moto alioanza nao, kila siku ni habari mpya.
Sasa hivi ni mwaka mmoja tu lakini nchi imechoka kama tumetoka kupata Uhuru jana.
Hivi huyu ndio angechukua nchi enzi ya Nyerere si tungekuwa hoi zaidi ya Zimbabwe?
Hujui historia ya Kafulila ndio maana umeandika ujinga. Kafulila alikuwa CDM na amerudi CDM sasa mkewe kaingiaje? Ameongea masuala muhimu Rais unabidi ajionje, ndio atajua afanye nini.ukiona mwanaume amekubali kuamishwa chama na mke wake unapaswa kumtilia shaka kila analotamka ispokuwa jina lake tu
Wapinzani wa kitanzania ni wanafiki au pengne wanatumia wanatake advantage ya unyumbu wa watu kama ww kujipatia umaarufu..huyu kafulila alikuwa mpiga kelele sana bungeni juu ya watendaji wala rushwa na wazembe bungeni..nakumbuka furaha yake ilikuwa ni kuwaona watu kama wakina werema wanafukuzwa ktk post zao lkn Leo hii anamkosoa magufuli kwa kufanya kitu the same alivyokuwa anataka yy..sasa kama siyo unafiki huo ni nn????Ameweka hoja ajibiwe kwa hoja. Usiwe mshamba Kuna haja gani kuattack personality yake?
Eleza na wewe kile alichofanya kizuriKweli akili ni nywele. Kila mtu ana zake. If you can't fight them join them. Zitto Kabwe is the only person if not in the whole country who advocates the essence of real politics. Physical battles no longer lives