Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,563
Usiende ukabadilika kuwa mhimili mwingine nitakutoa hata kama umemaliza mwaka mmoja tu, maneno ya hovyo sana hayaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mpya Charles Kichere, aliyeapishwa jana Novemba 04, amekabadhiwa ofisi na Mtangulizi wake Prof. Mussa Assad leo Novemba 05, katika makao makuu ya ofisi hiyo yaliyopo jijini Dar es Salaam.View attachment 1254515View attachment 1254516
Eti Tanroad.Hivi kichere amewahi kufanya ukaguzi wapi????????
Ova
Hivi kichere amewahi kufanya ukaguzi wapi????????
Ova
Ingekuwa haina maana,kwasababu ingeminya uhuru wa kujieleza,kila mtu ana haki ya kutoa maoni anavyojisikia,usilazimize kufanana,tayari kuna sheria na taratibu za jf na zinafuatwa.JF wangeweza ku-vet michango kabla ya kuwa posted, Jukwaa lingependeza. Mtu akipost pumba, mnawekea kapuni
Umasikini unamsumbua.Hili tutusa lililosema 'Assad akafungue madrasa', nahisi lilizaliwa kwa bahati mbaya na lipo duniani kwa makosa sana!
.A true man of principles
Huenda baada ya utawala wa magufuli ikawa ndio mwisho wa ccm na mwanzo Mpya ya Tanzania ikiongozwa na chama bora na makini cha chadema
Mkuu hii ndio ikupe picha ni watu gani wanatumbuliwa zaidiView attachment 1254549
ALIYEKUWA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano na Mazingira), January Makamba amemkabidhi rasmi ofisi waziri mpya wa Wizara hiyo Simbachewene. Makabidhiano hayo yamefanyika leo Julai 24, 2019, jijini Dar es salaam
- - - -
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mpya Charles Kichere, aliyeapishwa jana Novemba 04, amekabadhiwna ofisi a Mtangulizi wake Prof. Mussa Assad leo Novemba 05, katika makao makuu ya ofisi hiyo yaliyopo jijini Dar es Salaam.
= = = =
Tunalazimishwa kuamini kuwa hii ni 'dress code' ya kukabidhi ofisi ama ni kitu gani kinaendelea...!?