DAR: Bashungwa aingia mtaani kujionea Polisi ilivyoimarisha usalama mkutano wa nishati

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
3,934
13,689

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amepita baadhi ya maeno Jiji la Dar es Salaam kujionea namna Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Usalama wanavyotekeleza majukumu yao wakati Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ukiendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere.

Bashungwa wakati akipita katika maeneo ya Jiji hilo, leo tarehe 28 Januari 2025, amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP. Camillus Wambura kwa kuendelea kushirikiana na Vyombo vingine vya Serikali kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaofanyika tarehe 27 na 28 Januari 2025.

“Watanzania wameona nchini yetu ipo imara, tunamshukuru Rais na Amri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kuwezesha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa timamu muda wote kwa kukabiliana na jambo lolote na lenye ukubwa wowote” amesema Bashungwa.
WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.26_73ac664f.jpg

WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.20_7ce98172.jpg

View attachment 3216689
WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.19_b09ad330.jpg
Bashungwa ameeleza kuwa Serikali inajivunia kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Jeshi la Polisi nchini pamoja na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama ambapo kwa pamoja wameendelea kuimarisha amani na utulivu nchini.

“Nikipita kila mahali ninawiwa nisimame kila Afisa na Askari nimpe pongezi, hata Watanzania wametoa pongezi nyingi sana. Mmetoa taswira nzuri kwa Dunia kuwa Tanzania ni sehemu salama” amesema Bashungwa

Kwa Upande wake, Mkuu wa Operesheni za kipolisi, DCP. Mihayo K. Msikhela amesema Jeshi la Polisi linaendelea kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ambapo maeneo yote usalama umeimarisha.
WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.39_6ead3568.jpg

WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.17_6810ab0c.jpg
Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi umewakutanisha Marais wa Nchi za Afrika 24, wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21, Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita (6), Washirika wa Maendeleo watano (5) pamoja na washiriki wengine wa ndani na nje ya Tanzania 2,600.
 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amepita baadhi ya maeno Jiji la Dar es Salaam kujionea namna Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Usalama wanavyotekeleza majukumu yao wakati Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ukiendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere.

Bashungwa wakati akipita katika maeneo ya Jiji hilo, leo tarehe 28 Januari 2025, amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP. Camillus Wambura kwa kuendelea kushirikiana na Vyombo vingine vya Serikali kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaofanyika tarehe 27 na 28 Januari 2025.

“Watanzania wameona nchini yetu ipo imara, tunamshukuru Rais na Amri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kuwezesha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa timamu muda wote kwa kukabiliana na jambo lolote na lenye ukubwa wowote” amesema Bashungwa.
Bashungwa ameeleza kuwa Serikali inajivunia kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Jeshi la Polisi nchini pamoja na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama ambapo kwa pamoja wameendelea kuimarisha amani na utulivu nchini.

“Nikipita kila mahali ninawiwa nisimame kila Afisa na Askari nimpe pongezi, hata Watanzania wametoa pongezi nyingi sana. Mmetoa taswira nzuri kwa Dunia kuwa Tanzania ni sehemu salama” amesema Bashungwa

Kwa Upande wake, Mkuu wa Operesheni za kipolisi, DCP. Mihayo K. Msikhela amesema Jeshi la Polisi linaendelea kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ambapo maeneo yote usalama umeimarisha.
Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi umewakutanisha Marais wa Nchi za Afrika 24, wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21, Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita (6), Washirika wa Maendeleo watano (5) pamoja na washiriki wengine wa ndani na nje ya Tanzania 2,600.
 

Attachments

  • VID-20250128-WA0033.mp4
    3.9 MB

BASHUNGWA AINGIA MTAANI KUJIONEA POLISI ILIVYOIMARISHA USALAMA MKUTANO WA NISHATI - DAR

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amepita baadhi ya maeno Jiji la Dar es Salaam kujionea namna Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Usalama wanavyotekeleza majukumu yao wakati Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ukiendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere.

Bashungwa wakati akipita katika maeneo ya Jiji hilo, leo tarehe 28 Januari 2025, amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP. Camillus Wambura kwa kuendelea kushirikiana na Vyombo vingine vya Serikali kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaofanyika tarehe 27 na 28 Januari 2025.

“Watanzania wameona nchini yetu ipo imara, tunamshukuru Rais na Amri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kuwezesha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa timamu muda wote kwa kukabiliana na jambo lolote na lenye ukubwa wowote” amesema Bashungwa.

Bashungwa ameeleza kuwa Serikali inajivunia kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Jeshi la Polisi nchini pamoja na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama ambapo kwa pamoja wameendelea kuimarisha amani na utulivu nchini.

“Nikipita kila mahali ninawiwa nisimame kila Afisa na Askari nimpe pongezi, hata Watanzania wametoa pongezi nyingi sana. Mmetoa taswira nzuri kwa Dunia kuwa Tanzania ni sehemu salama” amesema Bashungwa

Kwa Upande wake, Mkuu wa Operesheni za kipolisi, DCP. Mihayo K. Msikhela amesema Jeshi la Polisi linaendelea kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ambapo maeneo yote usalama umeimarisha.

Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi umewakutanisha Marais wa Nchi za Afrika 24, wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21, Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita (6), Washirika wa Maendeleo watano (5) pamoja na washiriki wengine wa ndani na nje ya Tanzania 2,600.
 

Attachments

  • BASHUNGWA AMPONGEZA IGP KUIMARISHA ULINZI DAR.MP4
    59.9 MB
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.16.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.16.jpeg
    680.2 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.18.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.18.jpeg
    519.6 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.19.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.19.jpeg
    548.6 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.21.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.21.jpeg
    610.4 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.22.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.22.jpeg
    745 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.25.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.25.jpeg
    606.6 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.27.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.27.jpeg
    553.6 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.29.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.29.jpeg
    840.6 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.33.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.33.jpeg
    708.6 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.36.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.36.jpeg
    738.1 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.38.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.38.jpeg
    475.8 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.39.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.39.jpeg
    435.1 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.40.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-28 at 16.47.40.jpeg
    600.8 KB · Views: 2

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amepita baadhi ya maeno Jiji la Dar es Salaam kujionea namna Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Usalama wanavyotekeleza majukumu yao wakati Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ukiendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere.

Bashungwa wakati akipita katika maeneo ya Jiji hilo, leo tarehe 28 Januari 2025, amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP. Camillus Wambura kwa kuendelea kushirikiana na Vyombo vingine vya Serikali kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaofanyika tarehe 27 na 28 Januari 2025.

“Watanzania wameona nchini yetu ipo imara, tunamshukuru Rais na Amri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kuwezesha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa timamu muda wote kwa kukabiliana na jambo lolote na lenye ukubwa wowote” amesema Bashungwa.
Bashungwa ameeleza kuwa Serikali inajivunia kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Jeshi la Polisi nchini pamoja na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama ambapo kwa pamoja wameendelea kuimarisha amani na utulivu nchini.

“Nikipita kila mahali ninawiwa nisimame kila Afisa na Askari nimpe pongezi, hata Watanzania wametoa pongezi nyingi sana. Mmetoa taswira nzuri kwa Dunia kuwa Tanzania ni sehemu salama” amesema Bashungwa

Kwa Upande wake, Mkuu wa Operesheni za kipolisi, DCP. Mihayo K. Msikhela amesema Jeshi la Polisi linaendelea kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ambapo maeneo yote usalama umeimarisha.
Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi umewakutanisha Marais wa Nchi za Afrika 24, wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21, Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita (6), Washirika wa Maendeleo watano (5) pamoja na washiriki wengine wa ndani na nje ya Tanzania 2,600.
Huyu ni nani
 

Attachments

  • IMG-20250128-WA0054.jpg
    IMG-20250128-WA0054.jpg
    142.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom