Dalili 7 Kuonesha kuwa mwili wako Umejaa sumu na jinsi ya kuziondoa

Mzee23

JF-Expert Member
Oct 9, 2014
1,731
3,628
Habari wakuu,

Sumu mwilini hujumuisha vitu vyote vinavyodhuru au kudhoofisha utendaji wa mwili na huingia kwa kuvuta kwa hewa,chakula au mabaki mbalimbali ya mifumo ya mwilini na ili uendelee kuwa na afya lazima ziondolewe.

Mwili una njia asili za kuondoa sumu kama kutoa jasho,haja ndogo na kubwa na upumuaji lakini sumu zikizidi njia hizi huelemewa na mwili huonesha dalili hizi;

1. MAUMIVU SUGU YA KICHWA
Mara nyingi maumivu yasiyokoma ya kichwa ni kiashiria kuwa mwili umeelemewa sumu hasa mlundikano wa taka na vimiminika sumu ktk mfumo wa kati wa neva.

2. ULIMI KUWA WA NJANO AU MWEUPE
Rangi hizi ktk ulimi huashiria hali fulani mwilini na mara nyingi huonesha kiwango cha juu cha sumu mwilini hasa mabaki sumu ya chakula na utekamasi unaohusika na chakula hivyo huashiria kuwa mwili unapambana kuziondoa.

3. JASHO
Ni njia asili ya kutoa sumu mwilini na ukihisi joto la mwili linapanda sana na unatoa jasho jingi ujue kuna sumu nyingi mwilini.

4. KUKOSA USINGIZI(Insomnia)
Mlundikano wa sumu mwilini hasa mabaki ya estrogen hufanya mtu kupata shida kupata usingizi na ni dalili kuwa INI lako linahitaji kusafishwa.

5. MATATIZO YA NGOZI
Kama mfumo wa mwili utaelemewa na sumu basi ngozi itafanya kazi ya ziada kuziondoa hivyo waweza kuhisi hali mbalimbali ktk ngozi yako(skin conditions&rushes)

6.MWILI GOIGOI(Lethargy)
Mlundikano wa sumu mwilini hudhoofisha mfumo wa utendakazi wa mwilini na kufanya mwili kukosa nguvu/kuchoka mara kwa mara.

7. KUKUA KWA TUMBO LA CHINI(Belly)
Sumu hukusanyika ktk tumbo la chini na kufanya linenepe na njia pekee ya kuliondoa ni kusafisha sumu tu.
Chanzo: Healthfoodstar.com

NJIA ZA KUONDOA SUMU MWILINI

A. JUICE YA LIMAO
Kila siku asubuhi kamulia limao moja katika glasi moja ya MAJI VUGUVUGU,kunywa. Wataalamu wanasema kufanya hivyo ni sawa na kuoga ndani ya mwili!(taking shower in the inside)

B. UNGA WA MLONGE
Weka unga wa mlonge kijiko cha chai katika uji wa moto angalau mara moja kwa siku. Utaondoa sumu haraka sana.

C. KUNYWENI MAJI YAKUTOSHA JAMANI!!
 
Asante mkuu naomba tips za kunenepa au sumu kwa maana hiyo no 6 mwili goigoi ninayo Nina uwezo WA kulala mchana na usiku bila kukosa usingiz .

Uchovu kwangu hauisshi na mwili hauna nguvu wembamba kaaa fagio la chelewa.au Nina sumu mwilini nyingi labda
 
Habari wakuu,

Sumu mwilini hujumuisha vitu vyote vinavyodhuru au kudhoofisha utendaji wa mwili na huingia kwa kuvuta kwa hewa,chakula au mabaki mbalimbali ya mifumo ya mwilini na ili uendelee kuwa na afya lazima ziondolewe.

Mwili una njia asili za kuondoa sumu kama kutoa jasho,haja ndogo na kubwa na upumuaji lakini sumu zikizidi njia hizi huelemewa na mwili huonesha dalili hizi;

1. MAUMIVU SUGU YA KICHWA
Mara nyingi maumivu yasiyokoma ya kichwa ni kiashiria kuwa mwili umeelemewa sumu hasa mlundikano wa taka na vimiminika sumu ktk mfumo wa kati wa neva.

2. ULIMI KUWA WA NJANO AU MWEUPE
Rangi hizi ktk ulimi huashiria hali fulani mwilini na mara nyingi huonesha kiwango cha juu cha sumu mwilini hasa mabaki sumu ya chakula na utekamasi unaohusika na chakula hivyo huashiria kuwa mwili unapambana kuziondoa.

3. JASHO
Ni njia asili ya kutoa sumu mwilini na ukihisi joto la mwili linapanda sana na unatoa jasho jingi ujue kuna sumu nyingi mwilini.

4. KUKOSA USINGIZI(Insomnia)
Mlundikano wa sumu mwilini hasa mabaki ya estrogen hufanya mtu kupata shida kupata usingizi na ni dalili kuwa INI lako linahitaji kusafishwa.

5. MATATIZO YA NGOZI
Kama mfumo wa mwili utaelemewa na sumu basi ngozi itafanya kazi ya ziada kuziondoa hivyo waweza kuhisi hali mbalimbali ktk ngozi yako(skin conditions&rushes)

6.MWILI GOIGOI(Lethargy)
Mlundikano wa sumu mwilini hudhoofisha mfumo wa utendakazi wa mwilini na kufanya mwili kukosa nguvu/kuchoka mara kwa mara.

7. KUKUA KWA TUMBO LA CHINI(Belly)
Sumu hukusanyika ktk tumbo la chini na kufanya linenepe na njia pekee ya kuliondoa ni kusafisha sumu tu.
Chanzo: Healthfoodstar.com

NJIA ZA KUONDOA SUMU MWILINI

A. JUICE YA LIMAO
Kila siku asubuhi kamulia limao moja katika glasi moja ya MAJI VUGUVUGU,kunywa. Wataalamu wanasema kufanya hivyo ni sawa na kuoga ndani ya mwili!(taking shower in the inside)

B. UNGA WA MLONGE
Weka unga wa mlonge kijiko cha chai katika uji wa moto angalau mara moja kwa siku. Utaondoa sumu haraka sana.

C. KUNYWENI MAJI YAKUTOSHA JAMANI!!
Aiseeh kuna dawa m0ja ya mitishamba niliwai ketewa toka bukoba inaitwa "SAFISHA" aseeh ni kiboko hata kama una sumu ya aina gani inatoka daaah sijui ntaipata wapi tena ile dawa, ila wakuu utaendesha hadi useme poooh
 
Asante mkuu naomba tips za kunenepa au sumu kwa maana hiyo no 6 mwili goigoi ninayo Nina uwezo WA kulala mchana na usiku bila kukosa usingiz .

Uchovu kwangu hauisshi na mwili hauna nguvu wembamba kaaa fagio la chelewa.au Nina sumu mwilini nyingi labda
Ohoo!.. mwili goigoi/dhaifu usio na nguvu ni kuzingatia mlo kamili yaani vyakula vyenye virutubisho hasa wanga na protini. Pia kuna uzi nimeweka humu 'pata mlonge tajirika kiafya' upitie mimi nautambua mlonge kama 'ile dawa ya nguvu'
 
Ohoo!.. mwili goigoi/dhaifu usio na nguvu ni kuzingatia mlo kamili yaani vyakula vyenye virutubisho hasa wanga na protini. Pia kuna uzi nimeweka humu 'pata mlonge tajirika kiafya' upitie mimi nautambua mlonge kama 'ile dawa ya nguvu'
Uhakika wwa mlo kamili kwa familia upo mbona wengine wananenepa tuuu ILA mm sio najiuliza saana ngoja niutafute unga WA mlonge nione
 
Aiseeh kuna dawa m0ja ya mitishamba niliwai ketewa toka bukoba inaitwa "SAFISHA" aseeh ni kiboko hata kama una sumu ya aina gani inatoka daaah sijui ntaipata wapi tena ile dawa, ila wakuu utaendesha hadi useme poooh
Ni kweli mkuu,zipo dawa za kienyeji za kutoa sumu kwa kuharisha au kutapika ila wengine huwa zinawaua kabisa maana unaweza toa vyote tumboni!
 
Ni kweli mkuu,zipo dawa za kienyeji za kutoa sumu kwa kuharisha au kutapika ila wengine huwa zinawaua kabisa maana unaweza toa vyote tumboni!
Mkuu niliharisha nikasema utumbo unatoka ila the next day mwili ulikuwa poa sana....inahitaji uvumilivu
 
Ohoo!.. mwili goigoi/dhaifu usio na nguvu ni kuzingatia mlo kamili yaani vyakula vyenye virutubisho hasa wanga na protini. Pia kuna uzi nimeweka humu 'pata mlonge tajirika kiafya' upitie mimi nautambua mlonge kama 'ile dawa ya nguvu'
Kuuliza sio ujinga,"unga wa mlonge"ndio nin,inshort siufahamu au unaweza kuta naufahamu lkn sijui kama ndio mlonge,hauna jina lingine
 
Kuuliza sio ujinga,"unga wa mlonge"ndio nin,inshort siufahamu au unaweza kuta naufahamu lkn sijui kama ndio mlonge,hauna jina lingine
Search ktk jukwa hili la jf doctor kwa title hii 'pata mlonge,tajirika kiafya' ujifunze
 
Back
Top Bottom