Mkuu wangu uchunguzi muhimu kaka, unaweza kufurahia kuoa kumbe umewaolea watu.
Maisha magumu siku hizi kuanza kulea watoto wa wenzio!!
Wadau,
Hopefully mmesheherekea vizuri sikukuu hii ya leo. Back to our topic mimi kuna mdada namfukuzia, naona kama anaelekea kuingia king na infact nataka niweke ndani kabisa. Hapa juzi-kati zimezuka story za eti nusu ya wababa wamesingiziwa watoto walio nao. Hii inaleta picha kua wadada au wamama wengi sio waaminifu. Ila sasa kuna issue hapa nataka niifanye ili nijihakikishie kua huyu mdada atakua mtu muafaka kwangu.
Katika kupiga nae story za hapa na pale amenitajia boyfirnd wake aliepita alivyo na why waliachana. Sasa nataka nimtafute huyo jamaa ili nimdadisi mambo mawili matatu kuhusu huyu mdada. Najua nikimuingia ki-gentleman nikamdadisi ataniwelewa tu na kunipa mawili matatu kuhusu huyu EX wake.
Ninewaza wazazi wake wanaweza kua wanamjua huyu mtoto wao ila inaweza kua ngumu kidogo sababu sijajitambulisha kwao, na hata ningejitambulisha pia wanaweza kumtetea mtoto wao. Pia wale sio rika langu ni watu wazima hivyo story za mimi na wao zinaweza zikawa haziendi ki hivyo.
Nimewaza kua mimi mtu au mwanaume mwenzangu akinifuata kirafiki akaniuliza kuhusu demu yeyote niliyepitia basi mimi nitampa live tu chochote atakachokiuliza kuhusu huyo demu bila kuficha, yaani mazuri yake na mabaya yake. Hivyo basi nami nadhani nikitumia approach nzuri basi Ex wa huyu mdada naemfukuzia hatonificha.
Haya ni mawazo yangu tu mimi kama Shark, labda wadau wangu hapa mnaonaje hii approach nayotaka kuitumia? Inaweza ikasaidia?
Karibuni
Wadau mimi natamani kwenda philipines... Ninavyowacheki mademu wa kule ktk tamthilam nawasoma kabisa .walivyo na K Laini.
Samahani,nje ya mada kidogo... Ina maana yule uliyekuwa nae kipindi yanatangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu ndo ulimmwaga kweli kama ulivyosema?
Mkuu wangu uchunguzi muhimu kaka, unaweza kufurahia kuoa kumbe umewaolea watu.
Maisha magumu siku hizi kuanza kulea watoto wa wenzio!!
Yule tusingewezana, yule uchunguzi niliufanya mimi mwenyewe bila kwenda kwa mtu, hivyo matokeo ya uchunguzi ule yako reliable kwa 100%Samahani,nje ya mada kidogo... Ina maana yule uliyekuwa nae kipindi yanatangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu ndo ulimmwaga kweli kama ulivyosema?
ha ha ha sasa na wewe shangilia kijani mbele ya mumeo uone balaa lake
Mkuu shida ya huyu ni kua anakaa KWAO kwa wazazi wake, sio KWAKE.Mkuu hali hiyo inawatokea wanaume wengi tu,ngoja nikupe mbinu itakayokusaidia:
Kama unaishi kwako au umepanga nyumba na unaishi mwenyewe basi fanya uwezavyo uishi na huyo binti kwa miezi hata mitatu kabla ya kumuoa au hata kabla ya kujitambulisha kwao. Hiyo itakusaidia kumfahamu vizuri kitabia na hata kama anakuficha vitu flan flan utajua.
Kama umeishika dini vilivyo najua ni makosa ila hilo huwa linasaidia sana kabla hujafanya maamuzi.
Mkuu hali hiyo inawatokea wanaume wengi tu,ngoja nikupe mbinu itakayokusaidia:
Kama unaishi kwako au umepanga nyumba na unaishi mwenyewe basi fanya uwezavyo uishi na huyo binti kwa miezi hata mitatu kabla ya kumuoa au hata kabla ya kujitambulisha kwao. Hiyo itakusaidia kumfahamu vizuri kitabia na hata kama anakuficha vitu flan flan utajua.
Kama umeishika dini vilivyo najua ni makosa ila hilo huwa linasaidia sana kabla hujafanya maamuzi.
Hahahahaa Mpwa wewe sio muoaji bhana! Waowaji hatuko hivyo, unachukua tu utakachokutana nacho utafurahi au utakua mwana Falsafa! Unaweza kuoa mtu aliekulia kwenye maadili makali balaa lakini akaja kubadilika usiamini au ukaoa Changu na akatulia na kukusaidia hadi ukashangaaa.
Tatizo la 49% sio la akina Mama peke yao ni la kwetu sote maaana sio kwamba alibebeshwa hio mimba na mwanamke mwenzie; lah hasha ni kidume chengine! Kwahio kama sisi wanaume tungetulia wanawake wangekosa wa kuzaa nao nje ya ndoa na hivyo hio 49% isingekuepo. Au mimba za nje zinanuniliwa siku hizi? Pengine wanaenda kununua na kutubambika?