Kwa zama hizi kuwaweka foleni wateja kwa zaidi ya masaa matatu ++ haiingii akilini.
Wateja tunawafuata ila tija ya kutuhudumia tuondoke mapema kwenda kuzalisha ktk maeneo yetu imekuwa shida. Siku inaishia kwenu kusubiri huduma.
Wenye magari wanaumia kwa kutozwa parking charges kubwa kutokana na muda mrefu wa kukaa bank.
Siku account yako ikipata shida. Labda umetumiwa hela haijafika, wamekukata hela zaidi ya uliyotoa. Ndio utawafahamu kuwa ni wa....... Sana. Sina hamu nao kabisa. Halafu eti wanamsikiliza mteja. @#&%!(%#"*:;- kabisa
Siku account yako ikipata shida. Labda umetumiwa hela haijafika, wamekukata hela zaidi ya uliyotoa. Ndio utawafahamu kuwa ni wa....... Sana. Sina hamu nao kabisa. Halafu eti wanamsikiliza mteja. @#&%!(%#"*:;- kabisa