mzama chumvini
JF-Expert Member
- Mar 14, 2016
- 730
- 642
Sabakher Wadau;
Nimekaa Nalo Moyon Nimeamua Niseme!
Jux Alikuwa Ana Mahusiano Moto Na Mtoto Jack!! Naami Katika Mahusiano Yao Yale Maneno Baby Nakupenda! Siko Tayar Kukuacha! Nitakufa Kwa Ajil Yako Yalikuwepo! Sasa Bahat Mbaya Mtoto Akakamatwa China Na Kufungwa! Ni katika Harakat Za Maisha! Then Ukamuimbia Nitasubir! Nilifurah Sana!
Sasa Baada Ya Hapo Ukazama Kwa Vanesa! Et Ooh! Mim Ckutegemea Kam Anapiga hzo mambo! Sasa Wakat Unaimba nitasubir! Ulikuwa Hujajua bado! Mbona Unaharibu Sifa za Wanaume? Na Kama Ndo Ungekamatwa Wew Demu Angechepuka We Ungemuonaje?
Wanaume Tuwe Na Misimamo Kwa Wanawake Tunaowapenda Na Tukumbuke Ahad Zote Tunazowapa Wanawake!
Mtoto Next Year Anarud! Tena Mupya Maana Haijatumiwa kwa 3 yearz!! Lazima Uumie.
Jamani inamani yako na Dua zinaweza kumrejesha,usimkatishe mwenzio tamaaa...........Unawezaje kumsubiri mtu ambaye hana hata dalili ya kurudi!
na wewe unayezunguka kila kona vipi hujapata ajiraKaka siku hizi kila kona thiredi yako tuuu, bado ajira hujapata?
Kwani jack kahukumiwa miaka mingpmmmh ila mambo mengine magumu kuvumilia, ebu jiulise ungekua wewe ungevumilia?? halafu ukumbuke yule alikua hawara hakuwa mke wala mchumba, sasa ulitaka akae single kipind chote hicho??? loh
we ni mchagammmh ila mambo mengine magumu kuvumilia, ebu jiulise ungekua wewe ungevumilia?? halafu ukumbuke yule alikua hawara hakuwa mke wala mchumba, sasa ulitaka akae single kipind chote hicho??? loh
Wengine hatumjui huyo jack hata ka picha bathi....maana wanasema vizuri saa nyingine vinaliwa Kwa macho...