Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

mzama chumvini

JF-Expert Member
Mar 14, 2016
730
642
Sabakher Wadau;
Nimekaa Nalo Moyon Nimeamua Niseme!
Jux Alikuwa Ana Mahusiano Moto Na Mtoto Jack!! Naami Katika Mahusiano Yao Yale Maneno Baby Nakupenda! Siko Tayar Kukuacha! Nitakufa Kwa Ajil Yako Yalikuwepo! Sasa Bahat Mbaya Mtoto Akakamatwa China Na Kufungwa! Ni katika Harakat Za Maisha! Then Ukamuimbia Nitasubir! Nilifurah Sana!
Sasa Baada Ya Hapo Ukazama Kwa Vanesa! Et Ooh! Mim Ckutegemea Kam Anapiga hzo mambo! Sasa Wakat Unaimba nitasubir! Ulikuwa Hujajua bado! Mbona Unaharibu Sifa za Wanaume? Na Kama Ndo Ungekamatwa Wew Demu Angechepuka We Ungemuonaje?
Wanaume Tuwe Na Misimamo Kwa Wanawake Tunaowapenda Na Tukumbuke Ahad Zote Tunazowapa Wanawake!
Mtoto Next Year Anarud! Tena Mupya Maana Haijatumiwa kwa 3 yearz!! Lazima Uumie.
 
mmmh ila mambo mengine magumu kuvumilia, ebu jiulise ungekua wewe ungevumilia?? halafu ukumbuke yule alikua hawara hakuwa mke wala mchumba, sasa ulitaka akae single kipind chote hicho??? loh
 
@vampirehunter007 mkuu asante kwa kuchangia! Hilo jina uliloniita sijalipenda jamaa!! Twend kwny mada!
 


Kwani mbona hata yeye ni punda nambari uno. Yule mlamba midomo
 
kwanza binti mwenyewe ukute harudi karne hii we unadhani jamaa atajiunga na CHAPUTA wakati watoto wakali wapo
 
Kama ungejua historia ya huyo Jack wala usingemtetea,

Jack aliolewa ndoa ya kifahari na yule mfanyabiashara mashuhuri,
Baadae yule mumewe akakamatwa na madawa na kufungwa, Jack kama alienda ni zile siku za mwanzon mwanzoni, baadae akajiachia, full matanuzi mjini, mume wa ndoa anasota jela, baadae akaanza mahusiano na Jux,
Baadae na yy akashikwa katiwa ndani kwa madawa hayo hayo,
Mumewe alitoka na kishafunga ndoa na bibie Salha amesahau machungu yote,
Jux na yeye kawa na Vanesa,

So, kilichomtokea Jack ni funzo kwake, hata yy hakuwa na msimamo wala ubinaadamu.
 
Wachina kwenye kesi kama ile hawana mzaha!
Yule ndio harudi tena Jux akiweza afunge ndoa kabisa!
 
jack kwa uzura aliokua nao vanesa anasubir akiamua kurudiana nae anarudiana kiulain
 
peterchoka thanx wajina! Kwa kunijibia huyu Human Being!! Kwa kuongezea lazima uelewe life is too short! Bila ya kupost na kufurah humu 2tapata presha
 
mmmh ila mambo mengine magumu kuvumilia, ebu jiulise ungekua wewe ungevumilia?? halafu ukumbuke yule alikua hawara hakuwa mke wala mchumba, sasa ulitaka akae single kipind chote hicho??? loh
Kwani jack kahukumiwa miaka mingp
 
Wengine hatumjui huyo jack hata ka picha bathi....maana wanasema vizuri saa nyingine vinaliwa Kwa macho...
 
Wengine hatumjui huyo jack hata ka picha bathi....maana wanasema vizuri saa nyingine vinaliwa Kwa macho...

Akiwa na Jux,
Akiwa na mumewe cliff.
 

Attachments

  • 1458762521132.jpg
    8.8 KB · Views: 71
  • 1458762535272.jpg
    54.2 KB · Views: 77
  • 1458762544258.jpg
    64.8 KB · Views: 83
  • 1458762555987.jpg
    6.5 KB · Views: 82
  • 1458762564701.jpg
    45.8 KB · Views: 71

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…