Clatous Chota Chama pole sana na hao ndiyo Yanga SC ambao ulidhani kwenda Kwao ungetukomoa Simba SC iliyokujenga na kukupa Thamani Kubwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,390
120,684
Ikifukie ya kwamba.....

1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga

2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC

3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC

4. Chama sasa haongei sana na Wachezaji wenzake wa Yanga SC

5. Chama amekuwa Mpweke

6. Chama muda wake mwingi sasa anatumia kuwatembelea Wachezaji wa Simba SC waliokuwa Maswahiba

7. Chama kaumia sana kwa Kitendo cha Kukopwa katika Usajili wake na hadi sasa hajamaliziwa alichoahidiwa

GENTAMYCINE ninaijua Simba SC ndani nje na kwamba ukiihama au ukiondoka kwa Mbwebwe na Nyodo hautoboi ng'o!!
 
Zarau kubwa sana ameoneshwa ,,Yan jitu linaenda kuoa huko, liko bize Dubai , liko linajitombea midada ya mjini haliko mazoezi , mara linaenda kutoa mahar mara sherehe za ndoa tatu , linaenda honeymoon,
Linarud linapangwa kwenye mechi mbele ya mchezaji ambaye alikua mazoezini mda wote ..zarau kubwa sana sana..
 
Ikifukie ya kwamba.....

1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga

2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC

3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC

4. Chama sasa haongei sana na Wachezaji wenzake wa Yanga SC

5. Chama amekuwa Mpweke

6. Chama muda wake mwingi sasa anatumia kuwatembelea Wachezaji wa Simba SC waliokuwa Maswahiba

7. Chama kaumia sana kwa Kitendo cha Kukopwa katika Usajili wake na hadi sasa hajamaliziwa alichoahidiwa

GENTAMYCINE ninaijua Simba SC ndani nje na kwamba ukiihama au ukiondoka kwa Mbwebwe na Nyodo hautoboi ng'o!!
Mangunguno na yule nwenzake Trey la wageni ndiye wanafunga nyota za wachezaji
 
Kocha mmoja wa Yanga aliwashawa kuwaita Yanga "Manyani" kwa kuendekeza tabia ya"Unyani" . Simpi pole Chama
 
Ikifukie ya kwamba.....

1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga

2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC

3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC

4. Chama sasa haongei sana na Wachezaji wenzake wa Yanga SC

5. Chama amekuwa Mpweke

6. Chama muda wake mwingi sasa anatumia kuwatembelea Wachezaji wa Simba SC waliokuwa Maswahiba

7. Chama kaumia sana kwa Kitendo cha Kukopwa katika Usajili wake na hadi sasa hajamaliziwa alichoahidiwa

GENTAMYCINE ninaijua Simba SC ndani nje na kwamba ukiihama au ukiondoka kwa Mbwebwe na Nyodo hautoboi ng'o!!
Huu mpira Gadiel Michael alikuwa juu akaja kwenu akadrop,Morrison alikuwa anaibeba timu ya Yanga akaja kwenu akadrop,Niyonzima moja ya viungo wazuri nae akaja kwenu ikawa vilevile, akakutana na ushindani wa namba kama Chama anavyo kutana nao Yanga. So hata Yanga waliumia ila ndio mpira na maamuzi yake ya heshimiwe hata Gadiel alikuwa akipiga simu kuomba arudi Yanga. Huu mpira sio uadui ulitaka Chama asiwatembelee marafiki zake, unaoekana sio mtu wa mpira.

Mbona morrison nae aliondoka kwa mbwembwe si bora Chama.
 
Ikifukie ya kwamba.....

1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga

2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC

3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC

4. Chama sasa haongei sana na Wachezaji wenzake wa Yanga SC

5. Chama amekuwa Mpweke

6. Chama muda wake mwingi sasa anatumia kuwatembelea Wachezaji wa Simba SC waliokuwa Maswahiba

7. Chama kaumia sana kwa Kitendo cha Kukopwa katika Usajili wake na hadi sasa hajamaliziwa alichoahidiwa

GENTAMYCINE ninaijua Simba SC ndani nje na kwamba ukiihama au ukiondoka kwa Mbwebwe na Nyodo hautoboi ng'o!!
Acha uchonganishi leo umetazama mechi iliyoisha hivi punde?
 
Huu mpira Gadiel Michael alikuwa wa juu akaja kwenu akadrop,Morrison alikuwa anaibeba timu ya Yanga akaja kwenu akadrop,Niyonzima moja ya viungo wazuri nae akaja kwenu ikawa vilevile. So hata Yanga waliumia ila ndio mpira na maamuzi yake ya heshimiwe hata Gadiel alikuwa akipiga simu kuomba arudi Yanga. Huu mpira sio uadui ulitaka Chama asiwatembelee marafiki zake, unaoekana sio mtu wa mpira.

Mbona morrison nae aliondoka kwa mbwembwe si bora Chama.
Ajib alikua tegemeo pale Uto wakati wa bakuli wakamrubuni akaenda kujifia.
 
Ikifukie ya kwamba.....

1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga

2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC

3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC

4. Chama sasa haongei sana na Wachezaji wenzake wa Yanga SC

5. Chama amekuwa Mpweke

6. Chama muda wake mwingi sasa anatumia kuwatembelea Wachezaji wa Simba SC waliokuwa Maswahiba

7. Chama kaumia sana kwa Kitendo cha Kukopwa katika Usajili wake na hadi sasa hajamaliziwa alichoahidiwa

GENTAMYCINE ninaijua Simba SC ndani nje na kwamba ukiihama au ukiondoka kwa Mbwebwe na Nyodo hautoboi ng'o!!
Mpiga ramli chonganishi
 
Ikifukie ya kwamba.....

1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga

2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC

3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC

4. Chama sasa haongei sana na Wachezaji wenzake wa Yanga SC

5. Chama amekuwa Mpweke

6. Chama muda wake mwingi sasa anatumia kuwatembelea Wachezaji wa Simba SC waliokuwa Maswahiba

7. Chama kaumia sana kwa Kitendo cha Kukopwa katika Usajili wake na hadi sasa hajamaliziwa alichoahidiwa

GENTAMYCINE ninaijua Simba SC ndani nje na kwamba ukiihama au ukiondoka kwa Mbwebwe na Nyodo hautoboi ng'o!!
Samaleko.
 
Back
Top Bottom