figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,717
- 55,819
Tukio hilo limetokea katika jiji la Bangalore nchini humo ambalo hivi karibuni liliwekwa kwenye vichwa vya habari duniani baada ya baadhi ya wakazi wa jiji hilo kumvamia na kumdhalilisha mwanafunzi wa kike Mtanzania anayesoma nchini humo.
Maana Tumechoka sasa lazima wajue Chui huyu tumemfuga kwa kanuni na taratibu za misituWangatwe tu maana hakuna namna.. in Pinda's voice! !
BACK TANGANYIKA
hahaha bila shakaIla huyo jamaa mi nilimshangaa sana kwanini aliamua kukutana na chui wakati pembeni yake kulikua na swimming pool si angejitupia humo? Afu chui kamchania suruali kwa nyuma inamaana alitaka kung'ata tak.o atoke na mnofu mkubwa au?
Maana Tumechoka sasa lazima wajue Chui huyu tumemfuga kwa kanuni na taratibu za wanyama poriWangatwe tu maana hakuna namna.. in Pinda's voice! !
BACK TANGANYIKA
Sidhani kama wanyama jamii ya paka akiwemo chui huwa wanakula nyama ya binadamu; matukio mengi nimesikia wameishia kushambulia au kuua then wanasepa.Ila huyo jamaa mi nilimshangaa sana kwanini aliamua kukutana na chui wakati pembeni yake kulikua na swimming pool si angejitupia humo? Afu chui kamchania suruali kwa nyuma inamaana alitaka kung'ata tak.o atoke na mnofu mkubwa au?
Sidhani kama wanyama jamii ya paka akiwemo chui huwa wanakula nyama ya binadamu; matukio mengi nimesikia wameishia kushambulia na kuua then wanasepa.Ila huyo jamaa mi nilimshangaa sana kwanini aliamua kukutana na chui wakati pembeni yake kulikua na swimming pool si angejitupia humo? Afu chui kamchania suruali kwa nyuma inamaana alitaka kung'ata tak.o atoke na mnofu mkubwa au?
Sidhani kama wanyama jamii ya paka akiwemo chui huwa wanakula nyama ya binadamu; matukio mengi nimesikia wameishia kushambulia na kuua then wanasepa.Ila huyo jamaa mi nilimshangaa sana kwanini aliamua kukutana na chui wakati pembeni yake kulikua na swimming pool si angejitupia humo? Afu chui kamchania suruali kwa nyuma inamaana alitaka kung'ata tak.o atoke na mnofu mkubwa au?
Simba pia ni jamii ya paka, anakula binadamu. Sema Chui na Duma ndo hawalia binadamu wanajeruhi au kuua na kusepa.Sidhani kama wanyama jamii ya paka akiwemo chui huwa wanakula nyama ya binadamu; matukio mengi nimesikia wameishia kushambulia na kuua then wanasepa.