Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 4,570
- 14,002
Wizara ya Biashara ya China, leo imetangaza rasmi kuwa China imeongeza ushuru kwa bidhaa zote za Marekani kwa 40%
Sasa ushuru utapanda kutoka 85% kufikia 125%
Wakati hayo yakiendelea waziri mkuu wa Spain yupo China kwa ajili ya kuimarisha mahusiano ya kibiashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo
April 14-18 Xi atakuwa na state visit kwa mataifa ya Vietnam, Malyasia na Cambodia moja ya ajenda lazima iwe tariffs war
Mwezi July Xi atahost mkutano na viongozi kutoka mataifa ya Ulaya na kuna uwezekano EU kupunguza tariffs kwenye Chinese EVs
Mwache Trump aendelee kujitenga
China will never kiss Trump's ass. The game is on!
Sasa ushuru utapanda kutoka 85% kufikia 125%
Wakati hayo yakiendelea waziri mkuu wa Spain yupo China kwa ajili ya kuimarisha mahusiano ya kibiashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo
April 14-18 Xi atakuwa na state visit kwa mataifa ya Vietnam, Malyasia na Cambodia moja ya ajenda lazima iwe tariffs war
Mwezi July Xi atahost mkutano na viongozi kutoka mataifa ya Ulaya na kuna uwezekano EU kupunguza tariffs kwenye Chinese EVs
Mwache Trump aendelee kujitenga
China will never kiss Trump's ass. The game is on!