MubengaJr
Senior Member
- Oct 14, 2022
- 141
- 323
Kwa muda takribani wiki sasa, nimekuwa nikijaribu kutuma maombi ya kazi kupitia mfumo wa ajira wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) bila mafanikio. Niwaombe Mamlaka watoke hadharani na kutoa tamko kuhusu changamoto hizi na mwelekeo (Way forward).
Kuna wakati napata hisia mbaya kwamba tayari wameandaa watu wao. Aidha kwa wale ambao mmefanikiwa kutuma maombi tunaomba mtushirikishe namna ambavyo mmeweza kufanikisha utumaji wa maombi.
Kwa upande wangu nimejaza taarifa zote lakini kila nikitaka kufanya maombi napata ujumbe uliopo kwenye kiambatisho hapa chini
Naomba kuwasilisha.
Kuna wakati napata hisia mbaya kwamba tayari wameandaa watu wao. Aidha kwa wale ambao mmefanikiwa kutuma maombi tunaomba mtushirikishe namna ambavyo mmeweza kufanikisha utumaji wa maombi.
Kwa upande wangu nimejaza taarifa zote lakini kila nikitaka kufanya maombi napata ujumbe uliopo kwenye kiambatisho hapa chini
Naomba kuwasilisha.